Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataingia wapi sasa wakati JIWE anafichwa hivyo. Nimeona Mwigulu Nchemba anajibu hoja ya Lissu facebook kwa vitisho badala ya kutuhabarisha nini kinajiri.Shida ni taarifa yao wameipata kutoka kwa Lissu. Wangeingia wenyewe kujua ukweli. Wao wameishia kum-quite lissu
Uadui unatengenezwa na wewe mwenyew kwa kutenda mema au kutenda mabaya
Kama anafichwa Lissu kajuaje? Walitakiwa wawe na informers Kama hao ambao Lissu anawatumia kupata taarifa na sio kusubiri Lissu aseme na wao ndio watoe habari.Wataingia wapi sasa wakati JIWE anafichwa hivyo.Nimeona Mwigulu Nchemba anajibu hoja ya Lissu facebook kwa vitisho badala ya kutuhabarisha nini kinajiri!
Kwa kawaida ili maombi yawe effective lazima utaje tatizo/ugonjwa unaosumbua ili uweze kuondoka. Mungu ni specific, kumbuka yule kipofu Bartholomayo aliyeomba rehema kwa Yesu. Yesu alimuuliza unataka nikufanyie nini? Yesu alimuuliza wakati anajua kabisa huyu ni kipofu. Mpaka batholomayo aliposema nataka kuona, ndipo akapokea uponyaji. Na sasa Jiwe&Co nao weleze tuombe juu ya nini?Whether he is sick or not I pray for him. Mkono wa Mungu umguse na ulinzi utamalaki na awe mzima kuanzia sasa kwa jina la Yesu.
Ameen.Whether he is sick or not I pray for him. Mkono wa Mungu umguse na ulinzi utamalaki na awe mzima kuanzia sasa kwa jina la Yesu.
Huu mnaoita uzushi angalia usije kuwa ,'Breaking News''BBC wameondoa ule uzushi kwenye website yao ...
Ukweli ni upi?BBC wameondoa ule uzushi kwenye website yao ...
The man is under ventilators in one of the private hospitals in Nairobi, Kenya.Magufuli jitokeze hadharani.
Mnachofurahisha hamjiulizi why BBC wamefuta [emoji23]. Mmeingizwa chaka lingine! Viwanda vya uongo!Ukweli ni upi?
Source ya hizi habari ni zile zile financed by mabeberu! Hii itawavua nguo hasa Lissu! Aibu! Aibu!Naona Washington post na wao wameichomolea hii habari,Haipo mtandaoni au tuseme TCRA wameshafanya yao.
Hao ndio wanaojiita wenyewe wapinzani tena kwa ujasili kabisa hivyo ndio wapinzani wetu hao nchini Tz.
Magufuli sio mara ya kwanza kumzushia kuumwa na hadi kifo,akienda Chato wanasema anakimbia Corona na wakawa wanasema kuwa ameshachanjwa chanjo ya corona ila hawatoona noma kuzusha anaumwa corona pamoja hiyo chanjo waliyomzushia.
Wapinzani wa bongo sjawahi kuwachukulia serious maana sidhani hata kama wao wapo serious naona wanaburudisha tu.
Maraisi msimu wao umefikaRais mstaafu wa Somalia nae kafariki leo huko huko Nairobi kwa COVID-19.
Unakumbuka alikuwaje usoni?
Duh hadi Washington Post?The man is under ventilators in one of the private hospitals in Nairobi, Kenya.Pray for him to get well soon!! For more info open the link underneath:
Pia usisahau BBC swahili service ofisi zao kuu kwa sasa ziko jijini Nairobi, hatua kadhaa kukaribia Nairobi Hospital. Ukiona wanaripoti kitu kinahusu tukio lililotokea Nairobi basi ujue 99% ni ukweli mtupu.