Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

Status
Not open for further replies.
Mkuu nadhani sababu ya kumtoa nairobi na kumkimbiza kule kwa ma-kanjibhai ni kwamba waliona akiendelea kubaki kenya habari zake nyingi zitakuwa zikivuja na wao (system) hawalitaki hilo!!
 
jiwe ndo bai bai mizimga iandaliwe then raus atayekuja tunauza ndege zote alizonunua futilia mbali kabisa
Unauza wewe na nani?😂😂.....Kwamba mnaota kuwa Rais ajae atatoka kwenye hako kagenge kenu? Hata akifa huyu nyinyi kutawala nchi subirini miaka 100000000 ijayo.
 
kumbe unajua kama kila mtu atakufa, hata wew pia utakufa sio wao tu
1615541882606.png
 
Mkuu nadhani sababu ya kumtoa nairobi na kumkimbiza kule kwa ma-kanjibhai ni kwamba waliona akiendelea kubaki kenya habari zake nyingi zitakuwa zikivuja na wao (system) hawalitaki hilo!!
Kilichofanya stori-uongo huu wa kutungwa na kubumba uhamishiwe India fasta ni kwa vile wazabizabina hawa hawakugundua mapema Nairobi would be very unlikely place kuvumisha uzushi wao, na pia ni rahisi vyombo husika kuwaumbua wafitini hawa kwa kusema ukweli wa mambo.Then India ikabaki kuwa option yao bcz ni almost impossible kudabo check haraka.
 
wadogo kivip. mi nashangaa kuona watu wakiseherkea mtu akipa matatizo. waafrika ndio maana hawaendelei kwa roho mbaya, Libya mfano mzuri sana
Swala la msingi ni kujiuliza kwanini watu wafurahie matatizo ya mtu? Huyu mtu aliwakwaza wapi?
 
Swala la msingi ni kujiuliza kwanini watu wafurahie matatizo ya mtu? Huyu mtu aliwakwaza wapi?
Nimeanza kuyaamini maneno ya DC Ole Sabaya: ^Siku maadui zangu wakiniunga mkono na kunichekelea na kunisifu na kunitahani na kunipongeza, basi hapo nitajua kabisa safari yangu ya kisiasa imefika mwisho.^
 
Yaani leo mie ndio napiga chini, ndugu zangu watanzania mna vichwa ngumu sana. Yaani mapenzi ya kitu wanawafanyeni hata ukweli muukane kweupe! Yaani kwa mapenzi ya CCM mnahiyari muonekane wajinga kiasi hiki. Jamaa kawaambieni hakuna corona Tanzania (bila ya evidence yeyote ile) mkashangiria, kawaambieni msiogope kufa (ingawa yeye akitoka analindwa na askarizaidi ya 100) mnashangiria. Haonekani hadharani karibu wiki tatu na mnabisha kuwa ni mzina na wala haumwi. Kawakemea wanaokwenda kupata chanjo nje ya nchi, mnasherehekea. Corona imemtembelea boom kakimbilia nje kutafuta tiba na chanjo, bado mnasherehekea. Kama kweli jiwe haumwi kwa nini hatoki hadharani? Si afanye tu kama alivyofanya waziri kikohozi?
 
Hatuamini maana imani yake na mafundisho ya dini yupo vizuri kuliko maaskofu na papa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom