Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,621
- 4,322
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mnavyofikiri kila anayeikosoa ccm na serikali ni chadema au anatumika na mabeberu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mnavyofikiri kila anayeikosoa ccm na serikali ni chadema au anatumika na mabeberu.
Poole ya nin ndugu?Poleni sana watanzania...
Huenda yuko mahali kapunzika na kufunga ili kuomba apate mtu sahihi wa kushika nafasi ya katibu mkuu wa CCMAtawashangaza watu pale atakapo kuja na teuzi ya katibu Mkuu CCM.
Kwani bwashee kwa hali ya sintofhamu kama hii unaona hakuna ulazima wa kuuhabarisha umma kuhusu fununu hizi? Kumbuka urais tumempa sisi. Hivyo tuna haki ya kufahamu.Kwanini bwashee?
Kila panapokuwepo na ulazima wa kuhabarisha umma juu ya jambo lolote kurugenzi ya mawasiliani ikulu imekuwa ikituhabarisha.
Kama ni maombi hakuna siku inapita bila watu wa dini akina sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam na wenzake kumuombea affya na amaniNampenda sana Rais wangu. Watwambie kama ni mgonjwa tuanze kufanya sala kwa bidii ili apone. Hatuwezi kuanza zoezi hilo bila ukweli kufahamika. Maana unaweza kuanza kuwombea mara unamwona huyo............ anashika kikapu chake kwenda feri kunua samaki., kama yuko Dar. Au mara unamwona huyooo.......... anapanda kwenye mwamba na kulala hapo akiota jiwe, kama yuko Dodoma.
Jamani! Labda kny mazoeziNimeona magari ya jeshi yamebeba mizinga.
Sijui wanaelekea wapi?[emoji26][emoji26][emoji26]
Mihayo yeneye.Nahene bebe ilembage, untemi wise asatile eshitale kunombela mhola duhu. Apile wize ayihabule eng’hana, giki ekorona ete ya kwiguseja.
Kama ni maombi hakuna siku inapita bila watu wa dini akina sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam na wenzake kumuombea affya na amani
[emoji16]Huenda yuko mahali kapunzika na kufunga ili kuomba apate mtu sahihi wa kushika nafasi ya katibu mkuu wa CCM
Unadhani kama hutaki kuamini, basi wote wana akili duni kama yako!???
😁😁😁😁😁😁😁😁
Hata kichaa hua anadhani watu wengine woote ni vichaa isipokua yeye. Sio wa kubishana nao watu sampuli ya wewe.
Mwenendo usio sahihi.
[emoji16][emoji16]Unadhani kama hutaki kuamini, basi wote wana akili duni kama yako?
Utajua kua hujui mwishoni.Good 4 nothing boy.
Nyerere alisema maumivu yakifika kwenye mfupa watu hurudi kwenye lugha ya mama.