Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Eti umri umri acha hizo banaNa wao wenye umri umri ndio wanatangulia huko
Uzuri wenyewe hawaamini katika hilo,hivyo hawana haja ya kujisumbua.Mkuu wanaonekana ndio maana hawajauliziwa ,si umeona hadi na nyie Lumumba hamjauliza Mbowe na Mnyika? Alafu Kile Kindoo cheupe pale Lumumba cha lita 20 mbona kidogo sana kutosha kunawa mikono wana Lumumba wote? Badilisheni wekeni TANK Kubwa au Pipa.
yuko kwake chanikaaa anakula kuku wa kienyeji tuWana roho za kishetani!
Kwasasa uaskofu hauna maanaMama Samia tulikuwa naye juzi kwenye sherehe za miaka 44 ya CCM pale Mabwepande jimboni kwake askofu Gwajima!
Wana majukumu gani kiserikali hata waonekane hadharani?Kwahiyo hapo Ufipa mnaumwa maana siyo Mbowe wala Mnyika anayeonekana hadharani?
Wewe nae siku zingine no mwezi mchangaMlimsingizia maalimu Seif lakini Mungu amewaumbua!
Kwa Kiingereza kibovu hivi haishangazi ulivyo mmbeyaHe is very seriously be ill .
Hii english Ni magufuli versionHe is very seriously be ill .
Serikali pana kama simba.Huyu akiwa na udhuru mwingine anashika. Boko out kagere in. Mpango kazi nyingine muhimuNauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA.
Jana nimemuona Mwigulu Nchemba akitumikia majukumu ya Waziri wa Fedha pale bungeni ndio nikajiuliza huyu Waziri nyeti kabisa yu wapi hadi Dkt. Mwigulu anatamalaki bungeni kwa niaba yake?
Maendeleo hayana vyama!
Umbea tu unakusumbuaNauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA.
Jana nimemuona Mwigulu Nchemba akitumikia majukumu ya Waziri wa Fedha pale bungeni ndio nikajiuliza huyu Waziri nyeti kabisa yu wapi hadi Dkt. Mwigulu anatamalaki bungeni kwa niaba yake?
Maendeleo hayana vyama!
Yupo kwenye majukumu makubwa ya kitaifa na kimataifa.Nauliza tu maana mara ya mwisho nilimuona luningani akiwasimamisha kazi baadhi ya watoza ushuru wa TRA.
Jana nimemuona Mwigulu Nchemba akitumikia majukumu ya Waziri wa Fedha pale bungeni ndio nikajiuliza huyu Waziri nyeti kabisa yu wapi hadi Dkt. Mwigulu anatamalaki bungeni kwa niaba yake?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa sababu ni wazalendo kuwazidi mafisadi wa CcmYupo likizo kidogo chadema huwa na maombi mabaya tu why?
Ok sawa.... Nileteeni gwajimaaaaaaaaMama Samia tulikuwa naye juzi kwenye sherehe za miaka 44 ya CCM pale Mabwepande jimboni kwake askofu Gwajima!
Nadhani watakuwa na roho za kichawiChadema wanapenda wenzao wafe. Sijui wana roho gani hawa