Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
Kuna mawaziri kama wanne ni wagonjwa sana...
JESHI tayari limetoa tahadhari juu ya hatari iliyo mbele ya taifa kwa AmiriJeshi , na imempa mapendekezo kadhaa hasa baada ya hali kuendelea kuwa mbaya , tayari kuna mabrigedia jennerali kama sita wali active na wastaafu wamefariki ndani ya hizi wiki mbili za second wave ....na kuna maafisa wa juu na maafisa wengi tu wako hoi , wakiwamo pia maafisa wa hadhi hiyo wa TIS
ANATAKIWA KUCHUKUA HATUA BEFORE IT IS TOO LATE ASIJIFICHE KUNYE KUKANA TATIZO
JESHI tayari limetoa tahadhari juu ya hatari iliyo mbele ya taifa kwa AmiriJeshi , na imempa mapendekezo kadhaa hasa baada ya hali kuendelea kuwa mbaya , tayari kuna mabrigedia jennerali kama sita wali active na wastaafu wamefariki ndani ya hizi wiki mbili za second wave ....na kuna maafisa wa juu na maafisa wengi tu wako hoi , wakiwamo pia maafisa wa hadhi hiyo wa TIS
ANATAKIWA KUCHUKUA HATUA BEFORE IT IS TOO LATE ASIJIFICHE KUNYE KUKANA TATIZO