roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Kama nikweli litakuwa piga Kwa wabunge wa chama tawala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo ni kudanganya tu kwa uongo simple "nina tatizo la kiafya daktari kasema nisivae viatu vya kuziba"Kwenye kikao cha familia, kwenye hharusi itakuwaje while umepewa u chairman wa sherehe?
Hatutaki...Ok tumepokea taarifa turejee kwenye bandari
Umeona shughulii ya ngende?Hana mtoto aliyerithi mikoba yake, tukampe rambirambi [emoji12]
Kabisa rafiki.shetani hawajawi kuwa mwema, shetani ni muovuu tuu
ila ya mke mmoja nyepesi sana ... muambie shemeji basi mkapate hela za bure bure rafiki🤣🤣Kabisa rafiki.
avatar hizo ndio Cute Wife nini mzee 🤭🤭Umeona shughulii ya ngende?
Umeona shughulii ya ngende?
Sasa ndio amekufa, waliopo Kwenye mkataba itakuwaje!?Nini Siri ya hayo masharti. Baada ya muda utayumba na utatakiwa kurudi tena, ndo utaongezewa masharti, baada ya muda utafikia point of no return, sio kazi rahisi kama mnavyofkria.
Shart la Kwanza ni kianzio tu, utakuwa unaongezewa masharti bila kuliacha lile la Kwanza .....It is costfull not easy in the long run
Shukuru walau ukimaliza imagine unaendelea na zoezi wajeda Hawa hapa.Ukimaliza wajeda wana wewe
Sio bure unataka tucharazwe na huo ufukara rafiki sababu nyie Me mnajijua vizuri ile sijui ndo mnaitaga necha inavyo wahangaishaga.ila ya mke mmoja nyepesi sana ... muambie shemeji basi mkapate hela za bure bure rafiki🤣🤣
😅😅😅😅😅 ila hiyo nyepesi sana.. nyama ni ile ile ni namna unavyo turn akili yako tu.. wanawake wapo kila aina ukiendekeza tamaa utakufa.. inafikia kipindi unakomaa na mwenza wako tu kufa na kuzikanaSio bure unataka tucharazwe na huo ufukara rafiki sababu nyie Me mnajijua vizuri ile sijui ndo mnaitaga necha inavyowahangaishaga.
Yaani mi nilivyo kifutu na cheusi mangala lazima ipo siku atataka kipotabo unadhania itakuwaje hapo. 🤣🤣🤣
Sasa mpaka kifikie hicho kipindi ni leo rafiki. 😂😂😅😅😅😅😅 ila hiyo nyepesi sana.. nyama ni ile ile ni namna unavyo turn akili yako tu.. wanawake wapo kila aina ukiendekeza tamaa utakufa.. inafikia kipindi unakomaa na mwenza wako tu kufa na kuzikana
Rafiki, Namshukuru Mungu mie nipo mzima kabisa wa afaya na afamilia. Natumai wewe pia na wajomba hawajamboo ua umeongeza mjomba mwingine 🤭🤭Sasa mpaka kifikie hicho kipindi ni leo rafiki. 😂😂
I hope uko muzima pia rafiki. 🤝
Hahahaaa. Lol.Rafiki, Namshukuru Mungu mie nipo mzima kabisa wa afaya na afamilia. Natumai wewe pia na wajomba hawajamboo ua umeongeza mjomba mwingine 🤭🤭
😅😅😅😅😅 haya rafikiHahahaaa. Lol.
Ntakufaindi rafiki. 🙏