Ukwelinasema
JF-Expert Member
- Feb 10, 2021
- 454
- 542
- Thread starter
-
- #181
Umenena vyemaWanawake kwa asilimia kubwa ni wazuri katika kupanga matumizi hasa ya nyumbani na inawapa fahari fulani ukimpa madaraka ya nyumbani anakuwa anajisikia kuwajibika kwa kiasi fulani. Mimi huwa na mpa mke wangu pesa za matumizi yeye ndio boss wa mambo ya ndani mimi na deal na mambo ya nje. Tunagawana madaraka ila wanawake kwa ujumla ni wazuri katika kusimamia budget ya nyumbani.
Hakika nyumba yako haitopungukiwaMimi nanunua vitu muhim kama sukari, unga, mchele, mafuta n.k..alafu naacha kodi ya meza daily maana wakati mwingine wife akiwa pekeeyake hapiki ananunua msosi. Pia namkabidhi akiba wife incase of anything mf Siku naweza kwama.
Nilikua nishaanza kuteseka nampata je huyu mtu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeteseka wewe mume wa watu
Mimi huwa nikitoka mikoani nakuja na vyakula, huwa nanunua vitu kama Samaki na nyama maana wife na watu ninaoishi nao hawajui kuchagua haswa samaki wazuri wa kutoka ziwa Victoria, Wife huwa nampa pesa ya matumizi kama kawaida maana ukitaka upate tabu jifanye aumpi mke pesa ya matumiziHabari za saizi wakuu,
Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.
Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
sitamnyima kabisa fedhaHongera
Kwan kwenda sokon lazima adrive? Kwahiyo wasio na magari hawaendi sokon?Kutoka kwangu mpaka dukani kuna umbali wa 1.5 Km wife hajui kudrive, mwanzo wa mwezi inabidi niende kununua vitu vya jumla vya mwezi mzima!
Kila Jumamosi naenda gulioni namnunulia vitu vya wiki nzima kutokana hivyo hata nikimuachia hela hawezi kudrive kwenda sokoni! Je nakosea!??
Mkuu nimejizungumzia mazingira yangu yalivyo na kinachonipelekea kwenda mwenyewe sokoni.Kwan kwenda sokon lazima adrive? Kwahiyo wasio na magari hawaendi sokon?
Ugumu unakuja kwakua anatumia tofauti na malengo...,Kwaiyo kumwachia mkeo pesa ya matumizi kunafanya pesa kua ngumu zaidi??
Balaa lake si la nchi hiiMimi huwa nikitoka mikoani nakuja na vyakula, huwa nanunua vitu kama Samaki na nyama maana wife na watu ninaoishi nao hawajui kuchagua haswa samaki wazuri wa kutoka ziwa Victoria, Wife huwa nampa pesa ya matumizi kama kawaida maana ukitaka upate tabu jifanye aumpi mke pesa ya matumizi
Unalijua sana jikoOgopa sana wanaume tunaojua hadi soy source vinegar mustard cumin n.k
Ukiolewa na sisi r.i.p in advance
Mwanaume gani unaogopa mkeo kukupiga kaela ka mboga tu?? Ivo viela vidogo vidogo apewe na staff wenzio sioWanawake wengine wapigaji ni bora ukaweka tu ndani.
On my own behalf, natamani mwanaume anayenunua kila kitu aweke ndani, nikihitaji kitu binafsi nimuombe.Habari za saizi wakuu,
Poleni kwa majukumu ya kila siku moja kwa moja niende kwenye point.
Kati ya hawa ni yupi mzuri zaidi, mwanaume anaeacha pesa ya matumizi nyumbani na mwanamke ndio anaepanga matumizi au mwanaume anaenunua kila kitu cha ndani na kama kuna matumizi ya ziada yakubidi uombe pesa kwa kutolea maelezo.
fungu lake lipo siolazima inflate price ndio apateMwanaume gani unaogopa mkeo kukupiga kaela ka mboga tu?? Ivo viela vidogo vidogo apewe na staff wenzio sio
Sana bby.....yani huniambiii kituUnalijua sana jiko
Nyie ndowakosoaji mboga ikizidi chumviOgopa sana wanaume tunaojua hadi soy source vinegar mustard cumin n.k
Ukiolewa na sisi r.i.p in advance