Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂Emanuel amunike
Nakubaliana na wewe mkuuJames Siang'a
Milutin Sredojević micho
Uko sahihi mkuu, alileta mageuzi makubwa Jangwani. Nasikia alishafarikiTAMBWE LEYA
Maximo alifanikiwa kwenye timu ya Taifa, ila kwa level ya klabu hakuwa na wakati mzuri sana mkuumaximo [emoji28]
Bado yupo incharge so tumpe muda wa kuendelea kumpimaMwinyi Zahera
Alikuwa yuko vizuri na nadiriki kusema kuwq ni kocha bora wa kigeni kuwahi kufundisha klabu ya Simba S.CJames siang'a, labda miaka ya CHINI ya 2000 ila zaidi ya hapo hakuna mwingine.
Vyovyote vile utakavyoona inafaaUnataka tumpime kwa vigezo gani ? Au hisia zetu tu zinatosha ?
Shungu alikuwa habari nyingine, ila kati ya yeye na Tambwe Leya nani alikuwa zaidi?Raul Shungu
James Siang'a
Milutin Sredojević micho
POPADIC ..wachache watanielewa
Alishatangulia mbele ya hakiNzoyisaba Tauzany
Afu hakuwa kocha wa football, alijishughulisha na NetballAmeshatangulia mbele za haki huyo mama mkuu tumuache apumzike kwa amani
Umri unavyosogea na akili inapungua piaHuyu kocha alikua mzuri baadae akaenda kwao Zambia akalogwa aliporudi tena simba akawa kama kichaa kila mchezaji mzuri anamuweka benchi kuanzia tambwe maguri na vijana wengine kibao matokeo yake akavuruga timu nzuri sana iliyokua imejaa vijana na wakongwe wachache!!.. simba hatuna hamu tena na huyu kipara mbabe!!
Ernie Brandts jamaa nilikuwa namkubali mno, sijui ni kwanini Yanga tulimtimua.Ernie Brandts
James Siang'a
Micho
Samsorov tulikuwa tunamuita Sambusa MbovuVictor stantclaus, Tambwe Leya,Raul Shungu,Rudi Guntendorf, Micho, Plujim(Yanga),/Nabi Camara,Samsorov,Edil Silva, Popadi, Sianga, Patrick Phiri,Omog, Lenchentre na Patrick Aussem( Simba)
james anastahili heshima kubwa sana hata huko kaburini alikopumzika, alinifanya nivutiwe na soka la nyumbani kwetu nikiwa na umri mdogo sana.Hao watu wawili James na Popadic kwangu ni top list.