Yupi ni kocha bora wa kigeni kuwahi kufundisha ligi ya Bongo?

Siang'a, Phiri na Masoud Jumaa wa Simba. Mi naamini mafanikio ya Simba msimu uliopita yalichangiwa sana na chemistry ya wachezaji iliyoimarishwa na Masoud Jumaa.
 
Umri unavyosogea na akili inapungua pia
 
Victor stantclaus, Tambwe Leya,Raul Shungu,Rudi Guntendorf, Micho, Plujim(Yanga),/Nabi Camara,Samsorov,Edil Silva, Popadi, Sianga, Patrick Phiri,Omog, Lenchentre na Patrick Aussem( Simba)
Samsorov tulikuwa tunamuita Sambusa Mbovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…