Unakuwa na nguvu kama mfumo wa CCM upo na wewe - as soon as ukikutema umekwisha !! Nawapongeza sana wana CCM wote waliogombea USPIKA na majina yao hayakurudi, wangejaribu kwenda kugombea kama wagombea binafsi ingekuwa majanga makubwa mno kwao.
Hii ndiyo CCM yetu, ni lazima ujue kuishi nayo wa akili.
Hii ndiyo CCM yetu, ni lazima ujue kuishi nayo wa akili.