Daa!Sasa hayo yote alikuwa anayafanya pekee yake?tu!!inaonekana hakuwa anatumia nguvu kuyafanya hayo sasa hao waliomsaidia mbona ktk mahakama ya mafisadi hadi leo cjasikia mtu amekwenda kunyea ndoo?!!kifupi hao matajiri wote na ccm lao ni moja tu, nani asiyemjua yule ambaye aliachana na siasa uchwara, enzi za jk na kila ufisadi hakukosa, lakini awamu ya jpm, ndio akawa swaiba wake mkubwa, hadi akamuomba kugombea ubunge?!!, yule aliyekuwa akiibia tra, mamilioni kwa dakika yuko wapi, ila mwendazake jamani!!!