Yusuf Manji arejea Tanzania

Yusuf Manji arejea Tanzania

Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Mrudisheni kama hamtaki
 
Mfanyabiashara maarufu nchini Yusuph Manji amerejea jioni ya leo Juni 01,2021 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA)

Manji alipowasili leo alizuiliwa kwa muda na maofisa Uhamiaji waliotaka kujiridhisha na uraia wake na kisha aliruhusiwa baada ya Maofisa hao kujiridhisha na uraia wake.

Manji amewahi kuhudumu akiwa Mwenyekiti na Mfadhili mkubwa wa Klabu maarufu ya Yanga.



*Mtanzania
Karibu mwamba, tuwashughulikie @simbasports kikamilifu..
 
Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Naona bado mzimu wa mwendazake haujakuachia
Acha wivu na visasi tafuta pesa kijana
Huku Duniani kila mtu anatafuta breakthrough ukiona yako haijafunguka
Endelea kumuomba Mungu.
Umasikini ni dhambi.
 
Daa!Sasa hayo yote alikuwa anayafanya pekee yake?tu!!inaonekana hakuwa anatumia nguvu kuyafanya hayo sasa hao waliomsaidia mbona ktk mahakama ya mafisadi hadi leo cjasikia mtu amekwenda kunyea ndoo?!!kifupi hao matajiri wote na ccm lao ni moja tu, nani asiyemjua yule ambaye aliachana na siasa uchwara, enzi za jk na kila ufisadi hakukosa, lakini awamu ya jpm, ndio akawa swaiba wake mkubwa, hadi akamuomba kugombea ubunge?!!, yule aliyekuwa akiibia tra, mamilioni kwa dakika yuko wapi, ila mwendazake jamani!!!
Wao sio wajinga ni wazoefu kwenye mambo hayo ndiomana wanaiba kwa kutumia mbinu ili sheria zisije kuwatia hatiani.Ndiomana hata ukiibia kampuni,ikishindwa kukutia hatiani itafukuza.Kushindwa kutiwa hatiani kisheria haina maana hukuhusika kwenye wizi.
Sawa niwawekezaji lkn wametajilikia kupitia ujanja huo,kwakuwa tumeshindwa kuwatia hatiani basi nasi tutafute mbinu za kufanya nao biashara ili wasiendelee kututia hasara.
 
Nikikumbuka Tambo za bwana Manji kipind ametajwa na Makonda kama Drug dealer, hapo ndo napata uhakika kuwa vyombo vya dola vina nguvu kuliko pesa ya MTU hasa vikifanya kazi kizalendo. Wakati wa kesi zake alitia huruma sana huyu boss. Mwenye picha yake tafadhali naomba.
Aliachiwa aje na hivyo vyombo vya dola uchwara?
 
Alafu hawa jamaa uwa hawajengi nyumba za kuishi, labda huko dar. Zaidi Uwa wanafakamia nyumba za msajili
Wewe utoto unakusumbua. Kwani hizi Nyumba za msajili si wao walijenga Nyerere akawanyang'anya
Sasa mnawapangishia.
Alafu mnaita National Housing.
 
Pabaya wapi, Wengi wa Watanzania walishazoea Kula chakula cha kutupiwa kama mbwa, na wanaowatupia chakula hicho ndio hao mnaowatetea leo!!

Shida ni uvivu na kukosa uchungu wa kwanini ulizaliwa Tz na upo Tz ili iwe nini, wengi hawaelewi, ispokuwa wanafurahia tu kuwepo Tz pasina kuelewa Ni kivipi kwenye nchi za wengine mtu akiwa mkwepa Kodi Adhabu yake huwa ni kubwa na kali Sana,

Tofauti na Hapa kwetu, mtu akiwa mkwepa Kodi, atayemfuatilia alipe Kodi ataonekana ndiye hafai na ananyanyasa watu

Nchi yangu ya ajabuu sana
Siongei na kula kulala mimi
 
Naona bado mzimu wa mwendazake haujakuachia
Acha wivu na visasi tafuta pesa kijana
Huku Duniani kila mtu anatafuta breakthrough ukiona yako haijafunguka
Endelea kumuomba Mungu.
Umasikini ni dhambi.
Utajiri wa dhulma pia ni dhambi.Wacha kutetea wezi.Africa tunashindwa kuutetea ukweli ndiomana Bara hili ni maskini na litaendelea kutajirisha mataifa mengine.Kwa sababu tu unafaidika na mfumo unakunufaisha wewe hata kama unaleta madhara kwenye Taifa utautetea,hii sio sawa.
Fikiria kwa mfano Tanzanite inayochimbwa na watanzania, lkn anayekuja kuingia kwenye list ya matajiri duniani ni muhindi tena kupitia tanzanite😄,tuamke waafrica
 
Alikimbia nchi enzi za ufalme katili wa Kayafa?
The-Terrible.jpg
 
Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
unachoyo, maono mafupi na akili mbovu
 
Hivi akija muhindi aka anzisha kiwanda au pengine akachukua kiwanda kilichotelekezwa mfano kiwanda cha Tumbaku/Nguo nk, akaajiri watanzania wa kawaida tena ambao hawana ujuzi zaidi ya 300, akasaidia wakulima wa Pamba/ Tumbaku wakapata bei nzuri, huku akiwalipa wafanyakazi/watanzania mishahara waendeshe maisha yao; Kipi bora? tuache kiwanda kiwe gofu?
Acheni basi kuwa na ukoloni wa fikra.
Ujue maskini na matajiri wanategemeana; Bila hao kina Manji na masikini hawawezi kupata hela
BAVICHA hawawezi kukueiewa
 
Alafu hawa jamaa uwa hawajengi nyumba za kuishi, labda huko dar. Zaidi Uwa wanafakamia nyumba za msajili
Wewe uliza vizuri manji amejenga nyumba nyingi sana hata anayokaa upanga ni yake ya kujenga mwenyese
 
Tumuombee aendelee kununua ufuta na mbaazi kwa bei ileile
 
Kwahiyo hadi leo , uhamiaji hawafahamu kama Manji ni raia wa Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe uliza vizuri manji amejenga nyumba nyingi sana hata anayokaa upanga ni yake ya kujenga mwenyese

Huyu atakua tofauti na wenzie, mhindi kumkuta na nyumba au gari ya kutembelea nadra sana labda wachache tena za bei chee.

Washihiri/mahara na wahindi hawapishani sana
 
Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Wimbo wenu wa kodi umechujuka. Wawekezaji wanaleta AJIRA na hao waajiriwa watalipa kodi. Ndivyo ilivyo ktk mfumo wa kibepari duniani. Vinginevyo mtabaki na umachinga na walaghai wengine.

Sent from my G80 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom