Mrudisheni kama hamtakiWataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Karibu mwamba, tuwashughulikie @simbasports kikamilifu..Mfanyabiashara maarufu nchini Yusuph Manji amerejea jioni ya leo Juni 01,2021 kupitia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA)
Manji alipowasili leo alizuiliwa kwa muda na maofisa Uhamiaji waliotaka kujiridhisha na uraia wake na kisha aliruhusiwa baada ya Maofisa hao kujiridhisha na uraia wake.
Manji amewahi kuhudumu akiwa Mwenyekiti na Mfadhili mkubwa wa Klabu maarufu ya Yanga.
*Mtanzania
Naona bado mzimu wa mwendazake haujakuachiaWataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
Wao sio wajinga ni wazoefu kwenye mambo hayo ndiomana wanaiba kwa kutumia mbinu ili sheria zisije kuwatia hatiani.Ndiomana hata ukiibia kampuni,ikishindwa kukutia hatiani itafukuza.Kushindwa kutiwa hatiani kisheria haina maana hukuhusika kwenye wizi.Daa!Sasa hayo yote alikuwa anayafanya pekee yake?tu!!inaonekana hakuwa anatumia nguvu kuyafanya hayo sasa hao waliomsaidia mbona ktk mahakama ya mafisadi hadi leo cjasikia mtu amekwenda kunyea ndoo?!!kifupi hao matajiri wote na ccm lao ni moja tu, nani asiyemjua yule ambaye aliachana na siasa uchwara, enzi za jk na kila ufisadi hakukosa, lakini awamu ya jpm, ndio akawa swaiba wake mkubwa, hadi akamuomba kugombea ubunge?!!, yule aliyekuwa akiibia tra, mamilioni kwa dakika yuko wapi, ila mwendazake jamani!!!
Aliachiwa aje na hivyo vyombo vya dola uchwara?Nikikumbuka Tambo za bwana Manji kipind ametajwa na Makonda kama Drug dealer, hapo ndo napata uhakika kuwa vyombo vya dola vina nguvu kuliko pesa ya MTU hasa vikifanya kazi kizalendo. Wakati wa kesi zake alitia huruma sana huyu boss. Mwenye picha yake tafadhali naomba.
Wewe utoto unakusumbua. Kwani hizi Nyumba za msajili si wao walijenga Nyerere akawanyang'anyaAlafu hawa jamaa uwa hawajengi nyumba za kuishi, labda huko dar. Zaidi Uwa wanafakamia nyumba za msajili
Siongei na kula kulala mimiPabaya wapi, Wengi wa Watanzania walishazoea Kula chakula cha kutupiwa kama mbwa, na wanaowatupia chakula hicho ndio hao mnaowatetea leo!!
Shida ni uvivu na kukosa uchungu wa kwanini ulizaliwa Tz na upo Tz ili iwe nini, wengi hawaelewi, ispokuwa wanafurahia tu kuwepo Tz pasina kuelewa Ni kivipi kwenye nchi za wengine mtu akiwa mkwepa Kodi Adhabu yake huwa ni kubwa na kali Sana,
Tofauti na Hapa kwetu, mtu akiwa mkwepa Kodi, atayemfuatilia alipe Kodi ataonekana ndiye hafai na ananyanyasa watu
Nchi yangu ya ajabuu sana
Utajiri wa dhulma pia ni dhambi.Wacha kutetea wezi.Africa tunashindwa kuutetea ukweli ndiomana Bara hili ni maskini na litaendelea kutajirisha mataifa mengine.Kwa sababu tu unafaidika na mfumo unakunufaisha wewe hata kama unaleta madhara kwenye Taifa utautetea,hii sio sawa.Naona bado mzimu wa mwendazake haujakuachia
Acha wivu na visasi tafuta pesa kijana
Huku Duniani kila mtu anatafuta breakthrough ukiona yako haijafunguka
Endelea kumuomba Mungu.
Umasikini ni dhambi.
Ujanjaujanja Umerudi TenaWadosi kavu tu
unachoyo, maono mafupi na akili mbovuWataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!
BAVICHA hawawezi kukueiewaHivi akija muhindi aka anzisha kiwanda au pengine akachukua kiwanda kilichotelekezwa mfano kiwanda cha Tumbaku/Nguo nk, akaajiri watanzania wa kawaida tena ambao hawana ujuzi zaidi ya 300, akasaidia wakulima wa Pamba/ Tumbaku wakapata bei nzuri, huku akiwalipa wafanyakazi/watanzania mishahara waendeshe maisha yao; Kipi bora? tuache kiwanda kiwe gofu?
Acheni basi kuwa na ukoloni wa fikra.
Ujue maskini na matajiri wanategemeana; Bila hao kina Manji na masikini hawawezi kupata hela
Wewe uliza vizuri manji amejenga nyumba nyingi sana hata anayokaa upanga ni yake ya kujenga mwenyeseAlafu hawa jamaa uwa hawajengi nyumba za kuishi, labda huko dar. Zaidi Uwa wanafakamia nyumba za msajili
Mapema hii mupewe ulinziYanga watalinga. Mashabiki wa Yanga wapewe ulinzi.
Kwanza hoja huna zaidi ya dhihaka za kipumbavu tupu
Wewe uliza vizuri manji amejenga nyumba nyingi sana hata anayokaa upanga ni yake ya kujenga mwenyese
Wimbo wenu wa kodi umechujuka. Wawekezaji wanaleta AJIRA na hao waajiriwa watalipa kodi. Ndivyo ilivyo ktk mfumo wa kibepari duniani. Vinginevyo mtabaki na umachinga na walaghai wengine.Wataanza kurudi kuja kufanya biashara zao kwani wameishaona kuna uchochoro umefunguka!!! Tusijidanganye na hawa wakina Manji kuwa wana uzalendo hasa hawa jamaa zetu wahindi; akili yao yote iko kwenye kutengeneza faida halafu kuwekeza nje !!! Ili kupata faida kubwa wanakwepa kodi!!!! Tusiwachekee sana hawa mwisho nchi itakujavuna mabua!!! Hakuna mfanyabiashara anaependa kulipa kodi!!!