TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

TANZIA Yusuf Manji, Mfanyabiashara maarufu aliyewahi kuwa mdhamini wa Yanga SC afariki dunia nchini Marekani

Pole kwa familia, pumzika kwa amani.... Yule dereva alishatoka yuko kijijini yuko porini analima nyanya kwa heka heka alizopitia gerezani na minyoosho kaamua atulie..... Risasi ya mguuni kwenye ile kesi ilimfanya awe kilema na alipoteza kila kitu miaka 12 gerezani mke, watoto mali!. Apate msaada hata kidogo. Najua jf wanapita wengi wanaojua hii code wataelewa.. Ile gereji ni muda muafaka wa kufungwa na ulioko kule dodoma michezo ile iache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwa familia, pumzika kwa amani.... Yule dereva alishatoka yuko kijijini yuko porini analima nyanya kwa heka heka alizopitia gerezani na minyoosho kaamua atulie..... Risasi ya mguuni kwenye ile kesi ilimfanya awe kilema na alipoteza kila kitu miaka 12 gerezani mke, watoto mali!. Najua jf wanapita wengi wanaojua hii code wataelewa.. Ile gereji ni muda muafaka wa kufungwa na ulioko kule dodoma michezo ile iache.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee
 
Back
Top Bottom