Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
Pole sana kwa familia, na wafiwa wote, sote safari ni huko, tofauti ni muda! Ila Tuishi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Somo yake sio😂, pole bwana Yusufuu.Mimi jina langu naitwa Yusuph , Leo imekuwa siku nzito Sana kwangu .
Nadhani that was a sign kuwa somo wangu anaondoka.
Ngada na pia alikuwa na pacemaker.Alikuwa anasumbuliwa na nini?
MmeanzaImagine angekufa kipindi cha JPM 😎
Apumzike mahali pema peponi, Amen
AiseePole kwa familia, pumzika kwa amani.... Yule dereva alishatoka yuko kijijini yuko porini analima nyanya kwa heka heka alizopitia gerezani na minyoosho kaamua atulie..... Risasi ya mguuni kwenye ile kesi ilimfanya awe kilema na alipoteza kila kitu miaka 12 gerezani mke, watoto mali!. Najua jf wanapita wengi wanaojua hii code wataelewa.. Ile gereji ni muda muafaka wa kufungwa na ulioko kule dodoma michezo ile iache.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila baya alitupiwa JPMMmeanza
Vumilia tuuKweli kabisa mkuu,Magufuli ndo aliuwekea vyuma moyo wa Manji,Magufuli alikuwa hafai kabisa
Kwani uongo?mbona mazuri mnataka asifiwe yeye tuKila baya alitupiwa JPM
Hata ukiishi nao vibaya lazima upiteDunia tunapita tuishi na watu vizuri...!
Sawa, em kufa ww sasaKIFO ni alama ya ushindi
Duuu kaziacha wapi tukazizoe?R.I.P
Kifo kwa kweli hakichagui daah pesa zote jamaa kaziacha
Fanya vyovyote utakavyo tuu mkuuJamani nimelia mimi nitafanya nini 😭😭
Ana majonzi makubwaUmekosa kabisa maneno ya kiswahili hapa?
Mbaya kwako ila kwangu ndie rais bora kuliko wote ndio mana mpaka sasa hata ukiweka kura atashinda yeye hata kama n mfuJiwe mtu mbaya sana
N kweliKwa kutaka kujua tu, je kuna ushahidi wa Manji kutamka maneno "Siongei na mbwa naongea na mwenye mbwa"