ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Unataka wahalifu wasidakwe!!?Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Ukiona ivyo ujue jalada lake bado lipo mezan mwaa boss mpya wa TAKU so lzm ayamalize viporoHuyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Masikini! Alafu umeandika kwa kujiamini!Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Upo sahihi mkuu hata kesi za uhujumu uchumi zimepungua sn, ilikuwa awamu ya kipumbavu snKipindi hiki cha awamu ya sita, kuhojiwa na TAKUKURU haitishi sana kama ktk awamu ya tano ambayo watendaji walioteuliwa na mwendazake hawakuwa huru na walikuwa ktk shindikizo la kukomoana na pia awamu ya tano haikusisitiza haki kutendeka.
Hivyo tufuatilie kwa ukaribu kuona kama haki itatendeka kufuatana na matamko ya awamu ya sita.
Hawezi kufanya hivyo naoWasije wakambambikizia kesi ya uongo, maana TAKUKURU ni mabingwa wa kutengeneza kesi za kubumba!
Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Wakati wanakuja hakukuwa na huo unyanyasaji wako ambao umeuanza tena na hakika endapo watajua umeanza manyanyaso yao hawatakuwa tayari kutekeleza ahadi zao sawasawaUnawasemea wawekezaji ?!!!
Umeyafumba macho kuwaona kuwaona akina Dangote ,Mwanamfalme wa Dubai ,Mwanamfalme wa Saudia na wengineo wakitiririka kama mvua katika nchi hii ya amani ?!!
#KaziIendelee
Manji hana kinga ya kutokushtakiwa, au kukwepa uwajibikaji kwa njia yoyote.
Sheria ipi Mbona Doto aliyekuwa katibu mkuu wizara ya fedha haguswi na Sheria licha ya kufanya ufisadi mkubwaSheria Ni msumeno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manji anapata watetezi toka chadema?Takukuru mnafanya mambo ya kipuuzi ,mtafanya matajiri wasirudi nchini ,jiwe na bashite walimfirisi ,quality plaza imebaki magofu lakini bado tu mnaye,mmechukua fedha zake zote kwenye account lakini bado tu mnae!! Acheni ujinga takukuru.....BOT viongozi wa serikali wamepiga mabilioni lakini hakuna hata mmoja mliyemuohoji.
Anza na ununuzi wa Ndege ujenzi wa chato kienyeji pasipo idhini ya bunge washitakiwe wote walioshiriki kwanza kabla ya kuangalia chochoteManji hana kinga ya kutokushtakiwa, au kukwepa uwajibikaji kwa njia yoyote.
Zipo wapi zile trilion 1.5 ?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Manji anapata watetezi toka chadema?
Aisee... Lakini haishangazi maana bavicha wanasubiri hela zirudi mtaani ili muwe mnaziokota na wakuzirudisha mnaamini ni hao kina Manji
Wambie waanze kuwahoji wote walioshiriki kwenye ununuzi wa Ndege kufunga maduka ya kubadili fedha za kigeni na zipo wapi fedha zao?Manji ahojiwe kama hana hatia ataachiwa huru, sioni sababu ya kulalamika, his past record speaks for itself hasa linapozungumziwa suala la kodi, na Samia kuwepo madarakani hakuna maana kwamba ndio alegeze kila kitu kijiendee tu, wabongo kulia lia sasa too much.
Dah! Umenisaidia sana kujua kumbe taarifa za uchunguzi kama kuna Rushwa imefanyika anayezifanya ni CAG halafu akijiridhisha anawapa TAKUKURU.Huyu mama anaanza kunipa wasiwasi
Ni kama anacopy ujinga wa jiwe..
Alikemea takukuru walikuwa wanafanya kazi zisizowahusu lakini na yeye anawatumia kwa kazi zisizowahusu..yani anapita mlemle kwa jiwe..
Kazi za kiuchunguzi wa ubadhirifu wa fedha anatakiwa kwanza apewe CAG au timu ya uchunguzi.Ripoti ya CAG/timu ya uchunguzi ndiyo inayokabidhiwa kwa takukuru kama CAG/timu wakiona dalili za rushwa..
Hawa ccm vipi?!!!!
Fedha za yanga na kodi si ni kesi za polisi? Kwani rushwa hiyo!!! Hawa takukuru vipi?View attachment 1806523
Daah Manji kajamba kwenye Maji.