Pre GE2025 Za ndani kabisa 2025, Fomu ya urais ndani ya CCM ni zaidi ya moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
🀣 🀣 🀣
 
Kiuhalisia inatakiwa iwe hivyo maana anamalizia miaka ya mwenda zake, kutoka 2015-2025, sasa baada ya hapo unafanyika mchujo kama ilivyokuwa 2015 mpaka akina mizengo pinda walikuwa kwenye kinyang'anyiro alipokatwa akazimia kwanza
🀣 🀣 🀣
 
Mkuu uzoefu ni tofauti ndani ya CCM.

Hasa kwenye mchakato wa uchaguzi kipindi cha uchaguzi Raisi aliyepo huwa hana uthibiti wa hatma ya kitakachojiri.

Fanya rejea vizuri.
 
Mkuu uzoefu ni tofauti ndani ya CCM.

Hasa kwenye mchakato wa uchaguzi kipindi cha uchaguzi Raisi aliyepo huwa hana uthibiti wa hatma ya kitakachojiri.

Fanya rejea vizuri
ccm hata watoe fomu zaidi ya 10. Still watakayemleta hatokuwa na tofauti na waliyopo! Corrupt cartel of con-politicians
πŸ™‹β€β™‚οΈπŸŽ―πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘ŠπŸ‘πŸ€πŸ™
 
πŸ€”πŸ€”πŸ’­πŸŒ€οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…