Zaa kwa mahesabu, sio uzae watoto waje kufanywa Watumwa huku Duniani

Zaa kwa mahesabu, sio uzae watoto waje kufanywa Watumwa huku Duniani

Mimi hawa wawili wanatosha ,Kuna jamaa mmoja hivi anao wanne, hana shamba , kapanga nyumba, mke wake ni house wife, unene sio afya lakini jamaa hata kamwili kuja hakuna na yuko kazini tena serikalini zaidi ya miaka kumi , ameajiriwa ndio lakini ajira mbuzi ndio maana ana mahasira muda wote na anahangaika na maushirikina ili apate ubosi wakati Hana connection
dah Mkuu ni Hatari... kuzaa watoto wengi haifai kwa kweli hamna mashamba
 
Sasa tusipozaa hivyo vibarua vitafanywa na nani ?watu wote hawawezi kuwa maboss nguvu kazi ni kwa cheap labours
Akili kazi ni kwa maboss
Sasa watoto wote tuwaandalie mazingira ya uboss boda boda tutapata wapi?
Watoto wote wakiwa maisha safi madomo zege wataponea wapi
Yani skani inakuwa na baba, mama na watoto wawili yani jumla wanne aise mbona hapanogi

Familia inatakiwa kuwa na watu kuanzia 12 kwenda mbele yani uyu teacher, uyu fundi, mwingine jambazi , malaya, tapeli, engineer, chawa, dalali, boda boda, ccm ,

Acha tuzae watoto wanakuwa tu hawa life halina formula chamsingi upendo ni mwendo wakumwaga ndani hadi naondoka duniani duniani kila mtu na vita yake

NB: usizae watoto wengi kweny nyumba za kupanga jenga kwanza ukishakuwa na kwako usiogope kumwaga ndani usiogope maisha hakuna maisha mazuri yakumridhisha binadam [emoji41]
 
Kuna mtawala mmoja aliwahi kutawala Tanzania huku sijui akiwa amesahau kauli ya Rais ina Power pia ni Sheria alitamka kwenye mkutano wa hadhara kwamba "watanzania zaeni sana" nikajiuliza kwani nchi ina uhaba wa watu? maana mimi ninavyojua Watu ni rasilimali ya nchi pia katika kukuza Maendeleo.
Tanzania ina watu wa kutosha na wengi hawana ajira ni majobless. hujawapa kazi hawa bado unataka watu wazae he was not serously!



Rafiki yangu mmoja ana watoto saba mama tofauti anaishi nyumba ya kupanga he have not stability of finacial. aysee hapana watoto tunawapenda lakini tuangaliale na utaraibu wa kuzaa jamani nadhani hata na uelewa wengi hawana.
hakuna mashamba kama zamani ya kulima nowadays ushindani wa ajira ni mkali sana. ukuwaji wa technology kila kukicha unakuwa na wengi wanapoteza ajira due to ukuwaji wa tehema.
 
[emoji1787][emoji1787]

Watu wa hivi ni wabinafsi alafu hawana Upendo WA dhati.
Ni hatari kwenye jamii.
Haya maisha usithubutu kujiattach na watoto au wanawake utakosa furaha ndo maana wazee wazamani walikua wana watoto 40 wake 8 cha msingi jiattach kwenye pesa achana na love, love is scamm

Unakuta mtu anakatoto kamoja anag'ang'aniana na mwanamke hadi wanapelekana mahakamani " https://jamii.app/JFUserGuide you

Mwaga mbegu kidume utakuwa free from love
 
Kuna mtawala mmoja aliwahi kutawala Tanzania huku sijui akiwa amesahau kauli ya Rais ina Power pia ni Sheria alitamka kwenye mkutano wa hadhara kwamba "watanzania zaeni sana" nikajiuliza kwani nchi ina uhaba wa watu? maana mimi ninavyojua Watu ni rasilimali ya nchi pia katika kukuza Maendeleo.
Tanzania ina watu wa kutosha na wengi hawana ajira ni majobless. hujawapa kazi hawa bado unataka watu wazae he was not serously!



Rafiki yangu mmoja ana watoto saba mama tofauti anaishi nyumba ya kupanga he have not stability of finacial. aysee hapana watoto tunawapenda lakini tuangaliale na utaraibu wa kuzaa jamani nadhani hata na uelewa wengi hawana.
hakuna mashamba kama zamani ya kulima nowadays ushindani wa ajira ni mkali sana. ukuwaji wa technology kila kukicha unakuwa na wengi wanapoteza ajira due to ukuwaji wa tehema.
Muheshimiwa alikuwa sahihi na huo ujinga wakufikiria ajira ndo unaleta uoga na upumbavu kwani kila mtu ataajirwa?
Hii mentality yakufikiria ajira tu kila mtu anataka kuwa ofisini ni utumwa pia tena inatakiwa ajira zipunguzwe zaidi ili watu wazoee hali watoke kweny utumwa huyu muheshimiwa alifungua milango kwa wafanyabiashara wadogo pia waendelee kujitegemea hii nchi inatakiwa iwe ya kibiashara ili isonge mbele iwe na watu wengi ili tutoke kwenye mawazo mgando yani ukifikiria ajira unakuta kuna wenzako kama elfu 50 hawana..

System inatakiwa ituforce tuwe wapambanaji tu kwenye biashara

Mkuu alikuwa sahihi ndo maana hakuajiri [emoji123][emoji123][emoji123]
 
Aise ukiwaangalia waliofanikiea hakika wamepanga uzazi kabisa
Kina Mo na matajiri wengine watoto ni wawili wawili tu
Ingawa hawa matajiri wa mifugo na mashamba wanao mpaka kumi😂😂
 
Kuna watu hawajali,
Wanaona kabisa Hali ngumu, wanaona kabisa hawana vitu vya kuwarithisha watoto wao, hasa Ardhi na mashamba ya uzalishaji,
Wanajiona kabisa wao ni misukule au Watumwa wanalipwa mishahara ya punda, lakini bado mtu anazaa watoto wengi ili wapatikane vibarua wengi zaidi wakutumikishwa.
Hiyo ni laana.

Kuzaa watoto wengi ni Enzi zile Ardhi ipo ya kutosha. Tena yenye rutuba. Unawakatia tuu vipande watoto wako.
Lakini siku hizi tabia ya nchi sio rafiki, hata ukimpa mtoto shamba bado anaweza kuhenyeshwa
Mkuu, mimi nipo morogoro nina mashamba matatu ya mpunga hekari 3 each.

Nikizaa watoto 6 nikawapa kila mmoja 1.5 heka, how it's gonna looks like.
 
Back
Top Bottom