Zaa kwa mahesabu, sio uzae watoto waje kufanywa Watumwa huku Duniani

True
 
[emoji4][emoji4]
Sahani zipo nyingi Sana.
Tatizo nyingi Kati ya hizo sahani zipo kwenye Meza ya usukule na utumwa
Kuzaa manamba , watumwa na vijakazi . Tena bora wangekuwa manamba wanaolipwa maslahi yenye future ,ni hands to mouth ,vicious cycle ya ukapuku generation after generation.
 
Wakiambiwa uzazi wa mpango wanasema mabeberu wanataka tusizae watutawale ,what a stupid argument ,kuna watu ni wapumbaf nchi hii basi tu
 
Jitu linazaa watoto 10 halafu hata kodi halitaki kulipa , linataka hao watoto wasome bure na kupata huduma za afya bure ,at whose expense ,angalia mamikopo nchi hii inavyotoboka eti ujenzi wa madarasa ,ujenzi gani wa madarasa huo usio isha ,pesa zinatumika kufanya mambo yale yale ,kuchimba vyoo za kujenga madarasa
 
Unaongea hivyo huku umebinua kinyelo kwenye makochi ya shemeji yako hapo ,unajiona mjanja as sio ?
 
Point, zaa ambao unaweza kulea na kama huwezi kulea usizae. Hakuna mtu atakusaidia kulea.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hiyo ya kumtoa kafara mshua Noma sana
Kwanini wasikutoe kafara , umezaa tu watu waje wateseke huku ,nani anataka kuwa mtumwa na kuteseka ? ,Lazima wakupige na kitu kizito ili ukome ,ni kuwahiana siku hizi
 
Maisha hayana kanuni wewe bwabwaja ulale.
Kuna mtu kazaliwa peke yake lkn wazazi wameshindwa kumtunza na sasa ni kuli.
Kuna wapo walizaliwa wawili na wazi matajiri lkn sasa mwingine kahaba na mwingine mbwia unga.

Nwabwaja roho yako isuuzike ulale
Unaongea ujinga hao watoto wa matajiri wanaoishia kuwa hivyo ni kujitakia , tunazungumzia tabia chafu ya ubinafsi unazaaa kama panya huku ili watoto waje wateseke kwa kuishi kilofa kama watumwa huku duniani
 
Unaongea ujinga hao watoto wa matajiri wanaoishia kuwa hivyo ni kujitakia , tunazungumzia tabia chafu ya ubinafsi unazaaa kama panya huku ili watoto waje wateseke kwa kuishi kilofa kama watumwa huku duniani
Narudia...maisha hayana kanuni moja.
 

Nadhani hata wewe hapo nyumbani Kwako unae h.girl/h.boy,vip wasingezaliwa hizo kazi ungefanya wewe?acheni hizo mambo na muheshimu uzao wa watu.wapo waliolazimika kuwa watumwa wa watu kutokana na wazazi kupoteza maisha pengine kwa ajali
 
Nadhani hata wewe hapo nyumbani Kwako unae h.girl/h.boy,vip wasingezaliwa hizo kazi ungefanya wewe?acheni hizo mambo na muheshimu uzao wa watu.wapo waliolazimika kuwa watumwa wa watu kutokana na wazazi kupoteza maisha pengine kwa ajali

Wapi nimesema tusiheshimu watu Mkuu.
Mimi nimetoa tuu tahadhari hasa Kwa watu wenye upendo Kwa watoto wao.

Lakini Kwa ambao hawajali na makatili basi waendelee
 
Wakati mwingine unakuwa na akili, wakati mwingine dishi linayumba 180Β°
 
Kuna watu ukiwaua sio dhambi.
Ila kwa serikali ni kosa kisheria.

Mama yake kabla sijamuoa anajua mumewe ni mtu wa namna gani.

Mimi sio Wale wakuvumilia mambo ya kipuuzi hasa yaliyo ndani ya uwezo wangu na ndani ya familia yangu
Hayo ni maneno tu hata kwenye khanga yapo
 
Swala la kuzaa niwezavyo sihitaji ushauri, sababu ninayo na nia ninayo. Siri ni moja mtu mvivu huogopa kuzaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…