Zabuni (tender) ya kununua vitu vya kawaida kabisa anapewa mchina viongozi wa Afrika ni wabinafsi sana

Zabuni (tender) ya kununua vitu vya kawaida kabisa anapewa mchina viongozi wa Afrika ni wabinafsi sana

Mpigania uhuru wa pili

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
3,380
Reaction score
6,376
Copy & paste

Zabuni ya kununua na kusambaza mashine za kufulia katika vituo vya afya na hospitali unampa mchina. Zabuni ungempa mwekezaji mzawa na kukuza mtaji wake. Mchina anapeleka pesa kwao. Zabuni anapewa Shenzhen Anglell Technology Co. Ltd ambao walichelewa kuwasilisha zabuni zao.

UKiangalia Tanzania kwa sasa hivi hali ni ngumu sana kwa wananchi wa kawaida sababu hakuna "tricke down effect" nikimaanisha kuanzia kwenye miradi mikubwa hadi midogo ya kununua washing machine wanapewa foreigner na hawa foreigner huku Tanzania na Afrika ni kwa kuvunia fedha hawaekezi kabisa huku Afrika

Viongozi wasipobadilika hali itakua mbaya sana
 
Miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na sheria ambayo haikuwa rasmi inayokataza mtanzania mzawa mweusi kumiliki benki . Kwa hio usishangae hili la tenda ya mashine za kufulia kupewa mchina.

Na ndio maana top ten ya matajiri Tanzania wote ni wahindi na warabu kwa sababu mtu mweusi anapigwa vita kimya kimya.
 
Natamani ungekua unaelewa how govt tender worjs kwa nchi za kiwaki kama zetu.

Iko hv, hadi hyo zabuni inatangazwa na kupewa mchina, lazma ma teni pasenti kibao yashawekwa humo kati.

Mchina anafuata mashine huko kwao at a throw away price analeta, hapati hasara yoyote.

MZawa sasa, utanunua mashine kwa bei kubwa, utazifanyiq logistics mpka zifike hapo ni gharama ya kutosha..

Hyo hela ikitoka, kuna cheni ya watu kama 8 hv wote wanataka mgao, hapo unapata faida gani??
 
Copy & paste
Zabuni ya kununua na kusambaza mashine za kufulia katika vituo vya afya na hospitali unampa mchina. Zabuni ungempa mwekezaji mzawa na kukuza mtaji wake. Mchina anapeleka pesa kwao. Zabuni anapewa Shenzhen Anglell Technology Co. Ltd ambao walichelewa kuwasilisha zabuni zao.

UKiangalia Tanzania kwa sasa hivi hali ni ngumu sana kwa wananchi wa kawaida sababu hakuna "tricke down effect" nikimaanisha kuanzia kwenye miradi mikubwa hadi midogo ya kununua washing machine wanapewa foreigner na hawa foreigner huku Tanzania na Afrika ni kwa kuvunia fedha hawaekezi kabisa huku Afrika

Viongozi wasipobadilika hali itakua mbaya sana
ni vizur kua waaminifu na wenye uwezo. Janja janja inapoteza kuaminika na kukwepwa kupatiwa zabuni 🐒
 
Natamani ungekua unaelewa how govt tender worjs kwa nchi za kiwaki kama zetu.
Iko hv, hadi hyo zabuni inatangazwa na kupewa mchina, lazma ma teni pasenti kibao yashawekwa humo kati.
Mchina anafuata mashine huko kwao at a throw away price analeta, hapati hasara yoyote.
MZawa sasa, utanunua mashine kwa bei kubwa, utazifanyiq logistics mpka zifike hapo ni gharama ya kutosha..
Hyo hela ikitoka, kuna cheni ya watu kama 8 hv wote wanataka mgao, hapo unapata faida gani??
Mimi nilishafanya kazi za tender kipindi kile wanatumia taneps mamba ya bid security, bank declaration, boq, nayajua sana,

Kuna mambo ya hovyo na mchezo mchafu wanatumia viongozi wa kisiasa walioko nyuma ya makampuni yanashinda tender hii ni nchi ni ya hovyo sana
 
Miaka kadhaa iliyopita kulikuwa na sheria ambayo haikuwa rasmi inayokataza mtanzania mzawa mweusi kumiliki benki . Kwa hio usishangae hili la tenda ya mashine za kufulia kupewa mchina.

Na ndio maana top ten ya matajiri Tanzania wote ni wahindi na warabu kwa sababu mtu mweusi anapigwa vita kimya kimya.
Umeongea vema mwafrika anapigwa vita mpaka na nchi yake
 
Copy & paste
Zabuni ya kununua na kusambaza mashine za kufulia katika vituo vya afya na hospitali unampa mchina. Zabuni ungempa mwekezaji mzawa na kukuza mtaji wake. Mchina anapeleka pesa kwao. Zabuni anapewa Shenzhen Anglell Technology Co. Ltd ambao walichelewa kuwasilisha zabuni zao.

UKiangalia Tanzania kwa sasa hivi hali ni ngumu sana kwa wananchi wa kawaida sababu hakuna "tricke down effect" nikimaanisha kuanzia kwenye miradi mikubwa hadi midogo ya kununua washing machine wanapewa foreigner na hawa foreigner huku Tanzania na Afrika ni kwa kuvunia fedha hawaekezi kabisa huku Afrika

Viongozi wasipobadilika hali itakua mbaya sana
Kuna mzawa anatengeneza hizo mashine? Labda tender inataka kununua kwa mzalishaji na siyo mtu wa kati
 
Binafsi naunga mkono suala hili kwa sababu hizi:
1. Ni jambo la kawaida kuona watanzania wakiwa ni wavivu na wagumu kufikiria! Zabuni inahitaji mtu ambaye ni muadilifu sana na wenye uwezo wa kutoa huduma kwa kiwango cha juu. Sio ajabu kuona wageni wakifanya vyema zaidi kuliko hata wazawa.
2. Tuongeeni ukweli wabongo wengi tuna DNA za upigaji, sio ajabu kuona akitoa quotation ya 200 Million basi kuna 60 Million za kupiga yeye binafsi. Mwisho wakifanya upembuzi wanakutana na madudu! Na linapokuja suala la vifaa vya Kiafya au Hospitali inahitaji umakini Mkubwa sana. Mfano tu wa kawaida, Hisense 14Kg Top Load Auto Washing Machine ambayo inauza 770K, mgeni anaweza kuweka bei 850K ila mbongo atakwambia hiyo ni 1.2 Million sasa hapo unamuuliza je Hisense 6Kg Front Load Automatic Mashine Machine ambayo ni 980K, kipi ni kipi?!
3. Sababu ya mwisho ni kuwa, tuache kumbeza huyu Shenzhen Anglell Technology Co. Ltd kwa sababu huyu hutengeneza vifaa tiba na pia husafirisha yeye mwenyewe, Je tulitaka kumpa SHELYS PHARMACEUTICALS au PRINCE PHARMACEUTICAL, au SALIBABA PELLET ?! Acha apewe mchina tu.​
 
😄 🤣 yaani mpewe tenda
Uaminifu ni muhimu sana na pia mtaji lakini kubwa ni uaminifu
Unapewa tenda za washing mashine sema 1000 zingine hazifiki au unasainiwa zote 1000 umepeleka kumbe mmegawana na masanja
 
Copy & paste
Zabuni ya kununua na kusambaza mashine za kufulia katika vituo vya afya na hospitali unampa mchina. Zabuni ungempa mwekezaji mzawa na kukuza mtaji wake. Mchina anapeleka pesa kwao. Zabuni anapewa Shenzhen Anglell Technology Co. Ltd ambao walichelewa kuwasilisha zabuni zao.

UKiangalia Tanzania kwa sasa hivi hali ni ngumu sana kwa wananchi wa kawaida sababu hakuna "tricke down effect" nikimaanisha kuanzia kwenye miradi mikubwa hadi midogo ya kununua washing machine wanapewa foreigner na hawa foreigner huku Tanzania na Afrika ni kwa kuvunia fedha hawaekezi kabisa huku Afrika

Viongozi wasipobadilika hali itakua mbaya sana
Wachina wanatoa rushwa sana, ukiongeza na hilo la ubinafsi wetu na roho mbaya, inakuwa ni majanga tu
 
  • Thanks
Reactions: apk
Binafsi naunga mkono suala hili kwa sababu hizi:
1. Ni jambo la kawaida kuona watanzania wakiwa ni wavivu na wagumu kufikiria! Zabuni inahitaji mtu ambaye ni muadilifu sana na wenye uwezo wa kutoa huduma kwa kiwango cha juu. Sio ajabu kuona wageni wakifanya vyema zaidi kuliko hata wazama.
2. Tuongeeni ukweli wabongo wengi tuna DNA za upigaji, sio ajabu kuona akitoa quotation ya 200 Million basi kuna 60 Million za kupiga yeye binafsi. Mwisho wakifanya upembuzi wanakutana na madudu! Na linapokuja suala la vifaa vya Kiafya au Hospitali inahitaji umakini Mkubwa sana. Mfano tu wa kawaida, Hisense 14Kg Top Load Auto Washing Machine ambayo inauza 770K, mgeni anaweza kuweka bei 850K ila mbongo atakwambia hiyo ni 1.2 Million sasa hapo unamuuliza Hisense 6Kg Front Load Automatic Mashine Machine ni 980K, kipi ni kipi?!
3. Sababu ya mwisho ni kuwa, tuache kumbeza huyu Shenzhen Anglell Technology Co. Ltd kwa sababu huyu hutengeneza vifaa tiba na pia husafirisha yeye mwenyewe, Je tulitaka kumpa SHELYS PHARMACEUTICALS au PRINCE PHARMACEUTICAL, au SALIBABA PELLET ?! Acha apewe mchina tu.​
Kwa akili hizi tutaendelea kuwa maskin milele
Jambo ambalo hulijui hata hao wachina kuna miaka walikua maskini wakabadilika wakafika walipofika leo hawakua hivi
 
Shida ni sisi wazawa wenyewe hata tukipe hizo tenda ni majanga tupu zinaishia mifukoni mwetu huku wananchi wakiteseka
 
Back
Top Bottom