Zabuni (tender) ya kununua vitu vya kawaida kabisa anapewa mchina viongozi wa Afrika ni wabinafsi sana

Zabuni (tender) ya kununua vitu vya kawaida kabisa anapewa mchina viongozi wa Afrika ni wabinafsi sana

Magu alikuwa na mawazo kama yako awainue makandarasi wazawa,kilichomkuta akawarudia wachina tu.
Mbongo sio mtu huwaza tumbo kwanza na sio nchi kwanza.
Banio TU la maji unadesign ndani ya masaa sita mbongo anatumia miezi sita kukamilisha mchoro.
Mfumo mbovu wa malezi
 
Tender ina amuliwa na vitu viwili tu, commercial and Technical sasa kwa hii uliyoitaja hapa naweza kusema kikubwa hii ni commercial, ina maana mwenye bei rahisi na deliver time better ndio atashinda. Sasa ukisema apewe mzawa tu basi tunahitaji tuwe na criteria tatu. Commercial+technical+wazawa.

Kikubwa huwezi kushindana na wachina wao wanatoa vitu bei ya kutupwa wanalijuwa soko lao sisi ni hata tukishinda tutarudi huko huko kwa wa China kununua hapo ndipo tutapigwa kila siku kwenye tender.
 
Tender ina amuliwa na vitu viwili tu, commercial and Technical sasa kwa hii uliyoitaja hapa naweza kusema kikubwa hii ni commercial, ina maana mwenye bei rahisi na deliver time better ndio atashinda. Sasa ukisema apewe mzawa tu basi tunahitaji tuwe na criteria tatu. Commercial+technical+wazawa.

Kikubwa huwezi kushindana na wachina wao wanatoa vitu bei ya kutupwa wanalijuwa soko lao sisi ni hata tukishinda tutarudi huko huko kwa wa China kununua hapo ndipo tutapigwa kila siku kwenye tender.
Mleta mada ameshinda kuweka sababu za kwanini tumpe mchina ilihali tuna wazawa wapo hapa hapa! Wakina Shelly's ila kiukweli kama tutatazama ubora wa bidhaa na huduma, binafsi nampa Mchina, au Mjapani!
 
Back
Top Bottom