kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Umejuaje? Kaa tulia kwanza acha ndotoKatika kifo hiki ndio tunaweza kuujua unafiki na uzandiki wa wanahabari wa michezo nchini. Maana macho yatakuwa kwa manara badala ya msiba.
MohammedMtume yupi?
Mkristo huyo shombe ya kijerumaniHivi huyu ni mkristo au muislam ?Apumnzike kwa amani. Kwani alikuwa hajachanja ?
So,kama ningeandika "Rest in peace" ningekua upande upi?Mohammed
كلو نفسى ضليكاتيل ماوتكل نفس ذائقة الموت
Kivipi mkuu??Hali ni mbaya sana
Uyu jamaa naskia Kuna kipind alitaka kumpindua nyerere,Kizazi cha enz za nyerere kinaondoka mmoja mmoja kupisha new generations.
Ndio maana kina gulam dewji, bakhressa wameshawaachia watoto waendeshe biashara zao. Wao wanapiga sana ibada wanajiandaa kusepa duniani