white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,566
- 13,770
Mimi nimemjibu, aliyeonekana kumshangaa jamaa aliyeuliza alikuwa hajachanjwa?kuwa heshima ni kitu cha bure, inaonekana alikuwa hajui kinachoendeleawakati anaumwa alisema mwenyewe ana uviko alipokuwa amelazwa..
Sasa tusemeje?
Sasa kama mwenyewe akiwa hospital alisema kuwa anumwa corona!!wewe ni nani wa kubisha?!!Una uhakika
Oooh,sorrySasa kama mwenyewe akiwa hospital alisema kuwa anumwa corona!!wewe ni nani wa kubisha?!!
Alihojiwa na Efm, akasema mwenyewe!!hiyo ID, inategemea na utakavyoitafsiri, kwani hata wanaokwenda anga za mbali huko mbele, ndio hao, wanatengeneza midude ya ajabu yenye kuleta manufaa kwa jamii ni wao, sio ule wetu!!wenye kuleta mateso na mahangaiko kwa jamiiOooh,sorry
Kumbe alisema mwenyewe,
Out of the topic
Kwanini ukachagua ID ya hili jina
Alikuwa ni mmoja wa Makamanda wa Chadema Iringa MjiniJamaa alithubutu kujaribu kumuangusha mzee mchonga, hakuwa mtu wa kawaida!! Wasalimie sana akina afande komandoo tamimu mohamed, mwendo umeumaliza!
Pumzika peponi komredi Zacharia
Lakini inauma sana roho za waTz kuendelea kuteketea wakati chanjo kwa hili janga wakati chanjo zipoHeshim ani jambo la bure tu
hata marehemu huyu alichanjwaLakini inauma sana roho za waTz kuendelea kuteketea wakati chanjo kwa hili janga wakati chanjo zipo
Hata ukichanjwa utakufa tuLakini inauma sana roho za waTz kuendelea kuteketea wakati chanjo kwa hili janga wakati chanjo zipo
Nenda kamuulizealikuwa hajachoma chanjo
It's true...Hali ni mbaya sana
Ok .Asante kwa majibu.Mkristo huyo shombe ya kijerumani
Asante mama J fc.Poleni sana makorokoro fc