TANZIA Zacharia Hanspope, Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba afariki Dunia kutokana na Covid-19

wakati anaumwa alisema mwenyewe ana uviko alipokuwa amelazwa..
Sasa tusemeje?
Mimi nimemjibu, aliyeonekana kumshangaa jamaa aliyeuliza alikuwa hajachanjwa?kuwa heshima ni kitu cha bure, inaonekana alikuwa hajui kinachoendelea
 
Oooh,sorry

Kumbe alisema mwenyewe,

Out of the topic

Kwanini ukachagua ID ya hili jina
Alihojiwa na Efm, akasema mwenyewe!!hiyo ID, inategemea na utakavyoitafsiri, kwani hata wanaokwenda anga za mbali huko mbele, ndio hao, wanatengeneza midude ya ajabu yenye kuleta manufaa kwa jamii ni wao, sio ule wetu!!wenye kuleta mateso na mahangaiko kwa jamii
 
Jamaa alithubutu kujaribu kumuangusha mzee mchonga, hakuwa mtu wa kawaida!! Wasalimie sana akina afande komandoo tamimu mohamed, mwendo umeumaliza!
Pumzika peponi komredi Zacharia
Alikuwa ni mmoja wa Makamanda wa Chadema Iringa Mjini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…