TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

Kuna mwana juzi hapa alileta uzi hapa sikumbuki heading yake vizuri lkn alikuwa akipinga hisia za ya kwamba ukitajirika watu wako wa karibu wana kuchukia (kwamba siyo kweli) lkn hapa kwa ZAHARA wakati akipigania uhai ndunguze wakampokonya kadi za h

Wapingaji Wakuu wa uwepo wa uchawi ndiyo Makungwi hasa katika uchawi, jiongeze...
 
Kama siyo Mungu, ndugu wangetamba sana yaani
 
Pumzika kwa Amani Zahara .Nyimbo yako iliwahi kunipa laki 3 kwenye karaoke...
 
LIKUD kama ni kweli kuba watu wamehusika na kifo cha huyu mama walaaniwe, waadhibiwe kadri ya walichomtendea. Majuzi hapa kuna sehemu nilikuwa napita niliisikia nyimbo yake nzuri sana ya "LoLiwe" ikipigwa nikaidownload hapo hapo na kuanza kuisikiliza kwenye simu yangu hata jana na leo hii pia niliisikiliza mpaka nilipokuja kuona ujumbe huu ulionitia simanzi. Nimeumia sana kwakweli.
 
Sasa usipowaeleza michango ya harusi itatoka wapi
 
Kuna mtu nikimpa hizi taarifa kuwa muimbaji wa wimbo wa "ndiza" kafariki atalia sana
...hakuna namna, mpatie, machozi ni tiba na msibani hawazuiliwi kulia maana ndiyo namna bora ya kumsahau marehemu kwa mabaya yake na kuyaishi mazuri yake
 
Ugonjwa wa Ini unasababishwa na unjwaji pombe kali uliopitiliza.
Zara alikunywa sana na kwenye interview yake alikiri kunywa sana lakini hakuona ni shida.

Wachangiaji wengi ukiwambia kuhusu figo na ini wanakwambia kila mtu atakufa, hya kupanga ni kuchagua, endelee kuweka heshma baa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…