TANZIA Zahara wa Afrika Kusini afariki Dunia. Imedaiwa aliwekewa Sumu na Ndugu yake katika Sherehe ya Baada ya Mahari

I am truly saddened by this uncalled for loss to Africa. I loved her voice really loved her.
 
...hakuna namna, mpatie, machozi ni tiba na msibani hawazuiliwi kulia maana ndiyo namna bora ya kumsahau marehemu kwa mabaya yake na kuyaishi mazuri yake
Bora nikaushe tu maana anaupenda hatari wala hatakagi kujua maana yake wala alie uimba... yeye nikuusikiliza kutwa
 
Dunia ilipofikia usimuamini mtu yoyote,jiamini mwenyew watu wabaya sana bora hata wanyama wana huruma
Tusiamini mtu ?

Wewe mbona umeamini hili li story la kuambiwa la kulishwa sumu na uvumi na umbea wa familia ya marehemu ?

Mmemfanyia toxicology exam kutafuta sumu kwenye figo, damu na mkojo ?

Au mshazika tayari?

Waafrika bana! Tunaishi kama Homo Erectus.
 
Aiseee, huyu sister kafariki!? Mimi ni mmoja ya mashabiki zake wakutupwa. Apumzike salama Zahara. Destiny ni wimbo wangu bora kabisa kati ya nyimbo kali nyingi alizowahi kutoa.
Destiny ndo wimbo wa kwanza kwangu pia kumfahamu huyu dada aisee [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Zaharaaaaa 😭😭😭

Loliwe daahhh


R. I. P madam 😭😭
 
Duniani alijichetua chetua kwa Yesu mara asifunike nywele ....saivi anaenda kukutana na aliyemuumba ajibu (Allah)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…