Zai Kijiwe Nongwa na nongwa zake

Ile nilicheka mpk sio powa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Eti mume anaenda kazini, unajua kazi ya maana kumbe anaenda kutumwa kuosha vyombo na wahindi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile interview nilicheka mno.
Diva alikuwa anacheka hadi machozi...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ile interview nilicheka mno.
Diva alikuwa anacheka hadi machozi...

Kuna ile wanaume wa uswazi gheto wana siki (Pilipili) zao eti wamejaza mbilimbi nyingi, ukienda na vichips vyake gheto yeye anatoa siki iliyogwaduka msindikizie chips [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna ile wanaume wa uswazi gheto wana siki (Pilipili) zao eti wamejaza mbilimbi nyingi, ukienda na vichips vyake gheto yeye anatoa siki iliyogwaduka msindikizie chips [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nilioona...Mimi Zai ananiburudisha mno jamani..
 
Acha tu nijipoze na U fresh, kwan kitu gani? Aliachwa malkia Elizabeth na UK iliendelea kushine itakuwa mimi?!!! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
kwa maneno hayo ndio maana uliachwa πŸ˜‚πŸ˜‚
 

Ningewaomba vyeti vya ndoa kabla sijaanza kuwakausha uzazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anaogopa utamkataa, hakuna watu wanaumia wakikataliwa km wanaume
Sio kweli, nishawahi kutoswa mara mbili na pisi za maana. Haikuniuma wala nini

Baada ya two years wakajaa[emoji1787][emoji1787] alafu sasa ndio nilikua deep kweli kwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…