Huu ndio ujinga wako, kuhalalisha mauaji ya watanzania wenzio wasio na hatia, kisa Mau Mau na kwingine wapo waliouliwa wasiokuwa na hatia.
Wewe ni msukule wa waarabu, umeshaambiwa two wrongs can't make it right, sasa kwanini wewe unashindwa kukemea huo uhalifu waliofanyiwa watanzania wenzio? au wewe ni mkimbizi unayeishi hapa Tanzania?
Hujielewi, usilitumie jina la Nyerere na nukuu yake kwenye ujinga wako, Nyerere hakuwa mnafiki kama wewe.
Umekuwa mpiga kelele tu na hoja zako za kitoto zisizo na mashiko, kuwadanganya wajinga wenzio kwa mipasho, very cheap.
IDF hawaondoki Gaza mpaka wamalize kuwatandika magaidi wa Hamas hata ikifikia miaka miwili.
1. Mamlaka ya kumwita mtu kuwa mjinga unayapata wapi mburula wewe?
2. Huna mamlaka ya kuniita lolote kwa sababu tu ya kuguswa na hoja zangu vilivyo.
3. Kwa taarifa yako wanao niunga mkono ni wengi sana bila kusahau 3 + 2 = 5 bila kujali wapumbavu wangapi mnasema ni 30.
4. Nyerere?! Sina shaka yoyote kuwa Nina great admiration kwake na waumini wake wengi popote waliko.
5. Kwani unaweza kutumia nukuu ya nani mburula wewe ambaye bila shaka hata jalalani huna credentials hata za kukuwezesha kuweka mguu pale?
6. Ukimbizi? Kwa nini mkimbizi usiwe wewe ndugu? Kwa andiko langu tu ni dhahiri kuwa uzalendo wangu ni wa damu, mwili na roho!
7. Wabinafsi kama ninyi haipo shaka kuwa si wazalendo na bila shaka ukimbizi na huo urwanda muukimbiliao maji yakizidi unga wapumbavu huutumia Kwa wapumbavu wakimbizi wenzenu.
8. Shabiki wa mwarabu? Hata wa Simba, Yanga, arsenal, Chadema au u CCM Sina! Uje kuwa wa mtu au taifa gani? Ama kweli Kwa kuwa shabiki wako tu kwa lolote, nisiache kukufahamisha huo ndiyo ubumunda wenyewe. "Ya kuwa, indeed wewe ni bumunda!"
9. Watanzania walikufa?! Sijakuona ukiwalilia kina Ben, Lijenje, Azory, Mawazo, au waliokuwa kwenye viroba. Au hao kwako hao ilikuwa sawa?
9. Usisahau ndugu: wewe huna mamlaka yoyote juu yangu kuniamrisha au kunitaka kufanya au hata kunitaka ku behave utakavyo. Zingatia wewe Waka si mke wangu!
BTW who are you?