Zaidi ya mwezi wa 6+ leo Israel angali anapigana na nani Gaza?

Zaidi ya mwezi wa 6+ leo Israel angali anapigana na nani Gaza?

Wapalestina wote ni HAMAS labda awamalize wote na si rahisi.Anachoogopa siku wakija kupata silaha ndo itakuwa mwisho wa mayahudi.Anawaza iwaje hawana silaha na wako ngangari ?? Je wakizipata ? itabidi mayahudi wakimbilie baharini kama wale panya wa mpiga filimbi wa Hamelini
Imeandikwa, Myahudi hawezi malizwa na mtu yeyote yule ila ipo siku ambayo ni kweli watachapika vibaya na nyakati hizo ndo Masihi atakuja kuwaokoa
 
Wapalestina wote ni HAMAS labda awamalize wote na si rahisi.Anachoogopa siku wakija kupata silaha ndo itakuwa mwisho wa mayahudi.Anawaza iwaje hawana silaha na wako ngangari ?? Je wakizipata ? itabidi mayahudi wakimbilie baharini kama wale panya wa mpiga filimbi wa Hamelini

Mkuu ulichoandika ni ukweli mtupu wenye kuweza kumfanya mwenye akili zake acheke, kama ni mazuri vile.

Viva resistance. Viva HAMAS. Viva Palestine!
 
Imeandikwa, Myahudi hawezi malizwa na mtu yeyote yule ila ipo siku ambayo ni kweli watachapika vibaya na nyakati hizo ndo Masihi atakuja kuwaokoa

Ila imeandikwa, nani atamalizwa na nani?
 
Hata Netanyahu akiondoka bado vita dhidi ya ugaidi iko pale pale.
Hamna kurudi nyuma
Hakuna vita dhidi ya ugaidi pale ni wizi wa ardhi na rasilimali za wapalestina , ndio maana walioelimika wanafahamu tatizo ukiliangalia wakristo wa tanzania ndio wamekariri kuhusu taifa teule.
Southafrica ni wakristo ila walichukua hatua kwa sababu wameelimika
Tatizo la tanzania ni elimu , mfumo wetu wa elimu umefeli ndio maana tunapata graduates wa type ya mwinjaka
Ndio maana unakuta watu wanaambiwa wakaanyage mafuta matatizo yao yataisha
 
brazaj umepoteza muelekeo siku nyingi sana mjomba, sasa umebaki kuimba tu wewe sio muislamu, huijui haki wala maana yake, wewe ni mshabiki na ndio maana huwa unajibiwa humu kwa namna ile ile unayokuja nayo, ajabu hujioni!.

Unaona haki za wapalestina tu siku zote, huo kama sio unafiki ni kitu gani? wacha kujidanganya na haya mapambio yako.

1. Utalaamu wako wa kupima mielekeo uliupata wapi ndugu? Au kama ndoto za mchana?

2. Utalaamu wako wa kupima kwako kujua kwangu maanavya haki uliupata wapi?

3. Kusema miye siye anayedhaniwa na awaye yote kumbe kwa uelewa wako ni nyimbo?

4. Kwani utalaamu wako wakutofautisha kauli na nyimbo nao uliupata wapi?

5. Kwamba Kuna jibu la mpumbavu au wapumbavu bila kujali idadi yao kuwa 2 +3 siyo 5, na unadhani hapo nina haja ya kushughulika na watu kama ninyi hao?

6. Post #2 iliwatambua Siku nyingine utakuwepo pale wenzio wenye angalau afueni hujisemea "hiiiiii..iii!" Wakajipitia kimya kimya. Hutoninyamzisha Leo, Jana Wala kesho

Habari ndiyo hiyo.

7. Kwamba sijioni? Na wewe ndiyo nyani unayesema? Kwani wewe ni nyani yupi spesheli huwa ati kuwa kumbe ulipo ku*dulo waliona?!

8. Wewe ni nani kunitaka nione haki zipi niache zipi? Hivi wewe Hata uliwahi kuona au kuandika kumhusu haki zipi.

9. Kwamba hoja zako Simba na Yanga na hizo ndiyo kipaumbele ati kuwa ni mchambuzi uchwara? Uliwahi kutuona wengine huko?

10. Bure Kabisa!
 
Hakuna vita dhidi ya ugaidi pale ni wizi wa ardhi na rasilimali za wapalestina , ndio maana walioelimika wanafahamu tatizo ukiliangalia wakristo wa tanzania ndio wamekariri kuhusu taifa teule.
Southafrica ni wakristo ila walichukua hatua kwa sababu wameelimika
Tatizo la tanzania ni elimu , mfumo wetu wa elimu umefeli ndio maana tunapata graduates wa type ya mwinjaka
Ndio maana unakuta watu wanaambiwa wakaanyage mafuta matatizo yao yataisha

Akikuelewa mrejesho wako tafadhali niko pale 👉
 
Israel anapigana na kikundi cha panya Road miezi 6 alaf anaenda kumchokoza Iran
 
Walikua wanafunzi wameenda kwa ajili ya kujifunza shughuli za kilimo magaidi wakawauwa kikatili kabisa.
Na ndio maana mkubwa wa kazi netanyahu anajitahidi kuutokomeza mtandao wa ugaidi hapo Gaza na Middle East kwa ujumla.

1. Walikuwa kwenye eneo la vita wakakutwa na vita huko. They're at a wrong place at a wrong time.

2. Vipi kumhusu Ben, Azory Mawazo, Lijenje na wa namna hiyo? Vipi waliookotwa kwenye viroba? Huna neno lolote kuwahusu? Au hao hawakuwa watanzania?

3. Hapo #2 uliwahi kutia neno lolote kuwahusu? Au ndiyo ulishawasahau na hapa Uko kulia machozi ya mamba kuwahusu waliofia vitani?

4. Waliofia vitani ni sawa na waliokumbwa mafuriko, kwenye ajali ikiwamo ya precision Air bukoba! Au kwako hao hawakuwa watanzania?

Bure kabisa!
 
Israel anapigana na kikundi cha panya Road miezi 6 alaf anaenda kumchokoza Iran

1. Ingependeza ungesema "anapigana na kikundi anachokiita panya road ..." hapo ningekupa Ile like ya gold kabisa.

IMG_20240420_072337.jpg


2. Si ulimwona kuishia kwenda kurusha vi drone vya watoto?

3. Achokoze vita na Iran, kwani hajipendi?
 
1. Walikuwa kwenye eneo la vita wakakutwa na vita huko. They're at a wrong place at a wrong time.

2. Vipi kumhusu Ben, Azory Mawazo, Lijenje na wa namna hiyo? Vipi waliookotwa kwenye viroba? Huna neno lolote kuwahusu? Au hao hawakuwa watanzania?

3. Hapo #2 uliwahi kutia neno lolote kuwahusu? Au ndiyo ulishawasahau na hapa Uko kulia machozi ya mamba kuwahusu waliofia vitani?

4. Waliofia vitani ni sawa na waliokumbwa mafuriko, kwenye ajali ikiwamo ya precision Air bukoba! Au kwako hao hawakuwa watanzania?

Bure kabisa!
Hawakua eneo la vita bali ni wahanga wa tukio la kigaidi. Usipotoshe..
 
Israel haina namna ya kufanya zaidi ya kupigania Taifa lao kuwako kwenye Uso wa dunia. Israel inatamani kuwa na amani na Wapalestina lakini Wapalestina hawataki kuwa na amani na Israel.
Kudai Israel waondoke kwenye ardhi yao waende wapi wakati wako kwenye ardhi yao?
Ili wapalestina wapate amani waachane na madai yao yasiyo na Msingi,kudai Mji wa Yerusalem yawe makao yao,kudai Msikiti wa al aqisa wakati umejengwa mahali si pake.
Wakaichana na madai hayo,wakubali kubaki na Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Jordan tu! Hapo itakuwa rahisi kuundwa kwa Taifa lao.
Wakiachana na madai hayo mbona amani itapatikana muda siyo mrefu?
 
Waanamini Propaganda ni kuumaliza uislam. kumbe ndio kwanza kuupa nguvu maana wengi wanasoma na kuingia katika uislam
Uislam unajimaliza wenyewe kaka hakuna anayetia propaganda yeyote dhidi ya uislam.Uislam na amani ni maji na mafuta haviwezi kaa pamoja.Hebu jiulize,kwa nini uislam upigwe vita na si uhindu wala Uyahudi?Why waislam.Hata watu wote wakisilimu dunia nzima bado mtauana kwa ushia na u sunni.
Sisi tusio waislam tunawaona waislam kwa matendo yao.Adui wa Waislam si wakristo bali waislam wao kwa wao.
Nani ana shida na uislam?
Huko mnakosema wanaslim kila siku unajua wanaosilimu wana nia ya kuwa waislam kweli au wanatafuta namna ya kuuglobalize na kuumodernize uislam kwa maana ya kuwa na maimam wanawake,kufungisha ndoa .za ushoga na kadhalika?Wenzio Saudia wanaglobalize kwa kasi kubwa.
Wajinga ndio waliwao
 
Hakuna vita dhidi ya ugaidi pale ni wizi wa ardhi na rasilimali za wapalestina , ndio maana walioelimika wanafahamu tatizo ukiliangalia wakristo wa tanzania ndio wamekariri kuhusu taifa teule.
Southafrica ni wakristo ila walichukua hatua kwa sababu wameelimika
Tatizo la tanzania ni elimu , mfumo wetu wa elimu umefeli ndio maana tunapata graduates wa type ya mwinjaka
Ndio maana unakuta watu wanaambiwa wakaanyage mafuta matatizo yao yataisha

1. Mkuu umepiga mule mule:

Wamarekani wanaposimama imara dhidi ya Israel na serikali yao

2. Kwenye uzi huo mahsusi, #4 inahusika:

"Vijana wa aina hii hata kwetu walikuwapo sana. Ila hizo ni kwenye enzi za akina Warioba, Mwabulambo, Shivji, Garang, Museveni, Chachage, William Sarungi, Matiko Matare, Bazigiza, Mtungirehi, nk; na labda hadi kizazi cha kina Zitto mlimani pale. Hiyo si leo. Hizo zikiwa zile zama kabla usomini hapo ya kujisajili kwenye "ujalala" tena kiroho safi."

3. Kama kina kina Wijaku kwetu aina za kina MK254, denoo JG, Moisemusajiografii, Mpaji Mungu na wa aina hIyo, wanawakilisha.

4. Timu hIyo iliangaziwa vyema kwenye Uzi humu:

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko


5. Kwamba Kuna wafia vyama, watu, dini na mbumbumbu wajuaji.

6. Walipo wanadhindana kusifu na kumshukuru, tofauti yao na kina Wijaku ni majina.
 
Ustaadh anaandika kwa sonona sana.Waliyataka wenyewe. Waache wauone moto!

Sonona inawahusu ninyi wafia dini na mbumbumbu wajuaji. Wengine humo kama kina Bernie Sanders, hatumo?

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

e) Wafia Uislam: Hawa kwao dini ni uislam tu, tena ule wa kwao. Huwashangaa wengine wote na dini zao. Haiwaingii akilini iweje usiwe mwislam wa aina yao. Hawana uvumilivu na wengine. Mbingu na pepo wanayoijua ni ile yao tu, si ya wengine. Adui yao mkuu ni yeyote asiyekuwa mwislam na hasa mwisraeli.

f) Wafia Ukristo: Hawa wanaamini dini ni ukristo tu, tena ule wa kwao. Wanaamini Israeli ni taifa teule na kuwa tena si binadamu wa kawaida. Lolote afanyalo mwisraeli ni sawa tena dunia yote ilipaswa kuwasabiria. Hakuna ovu lolote dhidi ya Israel, na waarabu kwao, hawana haki yoyote.

g) Wajuaji: Hawa huamini kwenye lile tu wanaolijua wao. Wajuzi wa Kila kitu ni wao. Kwamba 'JF ina watu wa kada zote," haina maana yoyote kwao. Nafasi ya mafikara mapya hawana ila yale ya kwao tu. Kwamba "elimu ni bahari, elimu haina mwisho, tembea uone nk;" havina maana yoyote kwao.
 
Uislam unajimaliza wenyewe kaka hakuna anayetia propaganda yeyote dhidi ya uislam.Uislam na amani ni maji na mafuta haviwezi kaa pamoja.Hebu jiulize,kwa nini uislam upigwe vita na si uhindu wala Uyahudi?Why waislam.Hata watu wote wakisilimu dunia nzima bado mtauana kwa ushia na u sunni.
Sisi tusio waislam tunawaona waislam kwa matendo yao.Adui wa Waislam si wakristo bali waislam wao kwa wao.
Nani ana shida na uislam?
Huko mnakosema wanaslim kila siku unajua wanaosilimu wana nia ya kuwa waislam kweli au wanatafuta namna ya kuuglobalize na kuumodernize uislam kwa maana ya kuwa na maimam wanawake,kufungisha ndoa .za ushoga na kadhalika?Wenzio Saudia wanaglobalize kwa kasi kubwa.
Wajinga ndio waliwao

1. Mkuu udini na vita gaza unatokea wapi Ndugu? Kwa hIyo kumbe mwisraeli anawakilisha dini ipi?

2. Kwani kina Bernie Sanders au waambanaji hawa Marekani Huko, wote ni waislamu?

Wamarekani wanaposimama imara dhidi ya Israel na serikali yao

3. Kuliko I kulazimisha yasiyo kuwamo?
 
Wale kuna chances walikuwa wanajeshi wa idf , halafu kushirikiana na serikali ya extremist ya israel ambayo hata wazungu wenzao wamewaona kama wamepata ukichaa ni ujinga pia , sasahivi netanyahu kaitia doa sana israel wote tumejua kumbe weupe sana bila ya marekani
Wotw tumejua kwamba wao na hitler hawana tofauti
Huwezi kumwita mtu gaidi kwakuwa anatetea haki zake, hata wasomi wa vyuo vikuu marekani wanaandamana wameshaijua ukweli hakuna cha ugaidi ni wizi wa ardhi na ukoloni ndio kinachofanyika in the name of ugaidi

Akikuelewa mrejesho wako tafadhali niko pale 👉
 
Anapambana na ugaidi. Kumbuka hamas waliuwa watanzania wenzetu wawili wasokua na hatia.
Huyu ni jew halisi aliyenusurika kwenye mikono ya hitler anachukia zionism , issue sio waisrael issue ni hawa wazungu watawala wezi ila wanatumia jina la waisrael vibaya kufanya uhalifu mashariki ya kati
 

Attachments

  • Screenshot_20240426-215910_Instagram.jpg
    Screenshot_20240426-215910_Instagram.jpg
    137.1 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240426-215845_Instagram.jpg
    Screenshot_20240426-215845_Instagram.jpg
    132.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20240426-215833_Instagram.jpg
    Screenshot_20240426-215833_Instagram.jpg
    130.4 KB · Views: 1
Back
Top Bottom