Zaidi ya mwezi wa 6+ leo Israel angali anapigana na nani Gaza?

Zaidi ya mwezi wa 6+ leo Israel angali anapigana na nani Gaza?

Huyu ni jew halisi aliyenusurika kwenye mikono ya hitler anachukia zionism , issue sio waisrael issue ni hawa wazungu watawala wezi ila wanatumia jina la waisrael vibaya kufanya uhalifu mashariki ya kati
Hawa ni wasaliti
 
Huyu ni jew halisi aliyenusurika kwenye mikono ya hitler anachukia zionism , issue sio waisrael issue ni hawa wazungu watawala wezi ila wanatumia jina la waisrael vibaya kufanya uhalifu mashariki ya kati

Akikuelewa wakiwamo MK254, denoo JG, Yoda, Moisemusajiografii na wafia dini wenzao, mrejesho wako tafadhali; tuko pale 👉 ..! Tunaangalia kinavyoendelea kunuka Marekani, nyumbani Israel na Gaza:

IMG_20240427_051852.jpg


IMG_20240427_051852.jpg


IMG_20240427_052200.jpg


IMG_20240427_052240.jpg
 
1. Gaza ni kaeneo kadogo ka size ya kinondoni, ilala au temeke huko; kigamboni, bagamoyo, Pemba au Mafia ni kukubwa mno kuliko Gaza.

2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya kipolisi tu ambapo kamanda Muliro mguu wake mmoja hauenei.

3. Israel leo mwezi wa 6+ anapigana kwa makombora na mabomu mazito mazito; akitumia drones, ndege, manowari, makomando, brigades, special force, Shin Bet, Mossad, nk; hivi huyu ndugu kufikia hapa anapigana na nani bado huko?

4. Wenye akili zao wamesha stuka:

View attachment 2974134

5. Huyu si ashauriwe japo kupata ushauri kutokea kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vya kwetu huku ambavyo kumbe vina weledi mkubwa mno kulinganisha naye?

View attachment 2974137

6. Anachokifanya huyu ndugu Bibi mbona kinatia kinyaa zaidi?

7. Kwa hakika inahitaji u wenda wazimu uliotukuka kumwelewa ndugu mwisraeli kwenye vita vyake hivi!
Wewe acha ujuha, vita anayopigana Israel huko Gaza ( Urban Warfare) hamna Taifa lolote Duniani anaiweza. Na ratio ya civilian deaths to soldiers ni ndogo mno.
Ona sasa kabla hawajaingia Rafah, Israel wanawajengea kwanza Mahema Raia na kuwahamishia huko ili wasidhurike. Aisha, vita hiyo itakuwa door to door. Usilinganishe na ujinga wenu. Waisrael ni very professional and considerate. Kule ndami ya Taifa la Israel Kuna wapalestina zaidi ya milioni 2 ikiwa ni pamoja na ndugu wa akina Ismail Haniyeh. Jiulize hizo nchi za kiarabu na Palestine Kuna wayahudi wangapi? Zero. Hata Wakiristo mmewaua kiasi kwamba idadi yao inazidi kupungua
Screenshot_20240427-083808.png
 
Wewe acha ujuha, vita anayopigana Israel huko Gaza ( Urban Warfare) hamna Taifa lolote Duniani anaiweza. Na ratio ya civilian deaths to soldiers ni ndogo mno.
Ona sasa kabla hawajaingia Rafah, Israel wanawajengea kwanza Mahema Raia na kuwahamishia huko ili wasidhurike. Aisha, vita hiyo itakuwa door to door. Usilinganishe na ujinga wenu. Waisrael ni very professional and considerate. Kule ndami ya Taifa la Israel Kuna wapalestina zaidi ya milioni 2 ikiwa ni pamoja na ndugu wa akina Ismail Haniyeh. Jiulize hizo nchi za kiarabu na Palestine Kuna wayahudi wangapi? Zero. Hata Wakiristo mmewaua kiasi kwamba idadi yao inazidi kupungua
View attachment 2975033
Anakuletea vijinukuu uchwara sasa hivi.Ngoja uone.
 
Wewe acha ujuha, vita anayopigana Israel huko Gaza ( Urban Warfare) hamna Taifa lolote Duniani anaiweza. Na ratio ya civilian deaths to soldiers ni ndogo mno.
Ona sasa kabla hawajaingia Rafah, Israel wanawajengea kwanza Mahema Raia na kuwahamishia huko ili wasidhurike. Aisha, vita hiyo itakuwa door to door. Usilinganishe na ujinga wenu. Waisrael ni very professional and considerate. Kule ndami ya Taifa la Israel Kuna wapalestina zaidi ya milioni 2 ikiwa ni pamoja na ndugu wa akina Ismail Haniyeh. Jiulize hizo nchi za kiarabu na Palestine Kuna wayahudi wangapi? Zero. Hata Wakiristo mmewaua kiasi kwamba idadi yao inazidi kupungua
View attachment 2975033
Na wewe ndio huna hata unachojua , ina maana hujui kama kuna jews wengi kwenye nchi za kiarabu ?

The 2019 Israeli census counts 472,800 Jews born in Morocco or with a Moroccan-born father, although according to the World Federation of Moroccan Jewry, nearly one million Israeli Jews are Moroccan or of Moroccan descent, making them the second-largest community in the country.
Turkey na iran pia kuna around jews 30,000
 
Na wewe ndio huna hata unachojua , ina maana hujui kama kuna jews wengi kwenye nchi za kiarabu ?

The 2019 Israeli census counts 472,800 Jews born in Morocco or with a Moroccan-born father, although according to the World Federation of Moroccan Jewry, nearly one million Israeli Jews are Moroccan or of Moroccan descent, making them the second-largest community in the country.
Turkey na iran pia kuna around jews 30,000
Huko kichwani kumejaa Quaran tu ya kukariri.
Ona takwimu hapa chini
Screenshot_20240427-172205_Photos.jpg
 
1. Gaza ni kaeneo kadogo ka size ya kinondoni, ilala au temeke huko; kigamboni, bagamoyo, Pemba au Mafia ni kukubwa mno kuliko Gaza.

2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya kipolisi tu ambapo kamanda Muliro mguu wake mmoja hauenei.

3. Israel leo mwezi wa 6+ anapigana kwa makombora na mabomu mazito mazito; akitumia drones, ndege, manowari, makomando, brigades, special force, Shin Bet, Mossad, nk; hivi huyu ndugu kufikia hapa anapigana na nani bado huko?

4. Wenye akili zao wamesha stuka:

View attachment 2974134

5. Huyu si ashauriwe japo kupata ushauri kutokea kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vya kwetu huku ambavyo kumbe vina weledi mkubwa mno kulinganisha naye?

View attachment 2974137

6. Anachokifanya huyu ndugu Bibi mbona kinatia kinyaa zaidi?

7. Kwa hakika inahitaji u wenda wazimu uliotukuka kumwelewa ndugu mwisraeli kwenye vita vyake hivi!
Unatakaje ustazi brazaj??
Watupe kabomu kazito na kuigeuza Palestine kifusi??
Huna hata HURUMA anachokifanya Yahudi?!
 
Unatakaje ustazi brazaj??
Watupe kabomu kazito na kuigeuza Palestine kifusi??
Huna hata HURUMA anachokifanya Yahudi?!

1. Miye siyo ustazi ndugu mfia dini.

2. Zingatia hayupo dini mfia dini au mdini mwenye kujitenga au kuikana dini yake; Kwa mfia uislam, uislamu kwake ni wa kujivunia hadharani!

3. Zingatia pia hayupo mkristo au mfia ukristo au la mwenye kuukana na ukristo wake; kwa mfia ukristo, ukristo ni wa kujivunia tena hadharani!
4. Ninakusoma wewe kuwa bila shaka ni chawa:
Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

5. Uchawa mjini ni laana, mtaolewa bila kujali jinsia! zenu
 
Huko kichwani kumejaa Quaran tu ya kukariri.
Ona takwimu hapa chini
View attachment 2975384
Hiyo research yako tayari ipo bias imeshatoa conclusion ya hisia nani katoa hiyo report? Nani alishawahi kuua jews nchi yoyote hapa duniani zaidi ya hitler? Jews wengi wamekimbilia ulaya , marekani, na israel hilo nalo ni gumu kufahamu hadi ufundishwe?
 
Back
Top Bottom