Imeandikwa, Myahudi hawezi malizwa na mtu yeyote yule ila ipo siku ambayo ni kweli watachapika vibaya na nyakati hizo ndo Masihi atakuja kuwaokoaWapalestina wote ni HAMAS labda awamalize wote na si rahisi.Anachoogopa siku wakija kupata silaha ndo itakuwa mwisho wa mayahudi.Anawaza iwaje hawana silaha na wako ngangari ?? Je wakizipata ? itabidi mayahudi wakimbilie baharini kama wale panya wa mpiga filimbi wa Hamelini
Wapalestina wote ni HAMAS labda awamalize wote na si rahisi.Anachoogopa siku wakija kupata silaha ndo itakuwa mwisho wa mayahudi.Anawaza iwaje hawana silaha na wako ngangari ?? Je wakizipata ? itabidi mayahudi wakimbilie baharini kama wale panya wa mpiga filimbi wa Hamelini
Imeandikwa, Myahudi hawezi malizwa na mtu yeyote yule ila ipo siku ambayo ni kweli watachapika vibaya na nyakati hizo ndo Masihi atakuja kuwaokoa
Hakuna vita dhidi ya ugaidi pale ni wizi wa ardhi na rasilimali za wapalestina , ndio maana walioelimika wanafahamu tatizo ukiliangalia wakristo wa tanzania ndio wamekariri kuhusu taifa teule.Hata Netanyahu akiondoka bado vita dhidi ya ugaidi iko pale pale.
Hamna kurudi nyuma
brazaj umepoteza muelekeo siku nyingi sana mjomba, sasa umebaki kuimba tu wewe sio muislamu, huijui haki wala maana yake, wewe ni mshabiki na ndio maana huwa unajibiwa humu kwa namna ile ile unayokuja nayo, ajabu hujioni!.
Unaona haki za wapalestina tu siku zote, huo kama sio unafiki ni kitu gani? wacha kujidanganya na haya mapambio yako.
Hakuna vita dhidi ya ugaidi pale ni wizi wa ardhi na rasilimali za wapalestina , ndio maana walioelimika wanafahamu tatizo ukiliangalia wakristo wa tanzania ndio wamekariri kuhusu taifa teule.
Southafrica ni wakristo ila walichukua hatua kwa sababu wameelimika
Tatizo la tanzania ni elimu , mfumo wetu wa elimu umefeli ndio maana tunapata graduates wa type ya mwinjaka
Ndio maana unakuta watu wanaambiwa wakaanyage mafuta matatizo yao yataisha
Walikua wanafunzi wameenda kwa ajili ya kujifunza shughuli za kilimo magaidi wakawauwa kikatili kabisa.
Na ndio maana mkubwa wa kazi netanyahu anajitahidi kuutokomeza mtandao wa ugaidi hapo Gaza na Middle East kwa ujumla.
Israel anapigana na kikundi cha panya Road miezi 6 alaf anaenda kumchokoza Iran
Hawakua eneo la vita bali ni wahanga wa tukio la kigaidi. Usipotoshe..1. Walikuwa kwenye eneo la vita wakakutwa na vita huko. They're at a wrong place at a wrong time.
2. Vipi kumhusu Ben, Azory Mawazo, Lijenje na wa namna hiyo? Vipi waliookotwa kwenye viroba? Huna neno lolote kuwahusu? Au hao hawakuwa watanzania?
3. Hapo #2 uliwahi kutia neno lolote kuwahusu? Au ndiyo ulishawasahau na hapa Uko kulia machozi ya mamba kuwahusu waliofia vitani?
4. Waliofia vitani ni sawa na waliokumbwa mafuriko, kwenye ajali ikiwamo ya precision Air bukoba! Au kwako hao hawakuwa watanzania?
Bure kabisa!
Israel wamezibomoa na kuua mpaka wagonjwa.Kwa nini ni kufusi
Uislam unajimaliza wenyewe kaka hakuna anayetia propaganda yeyote dhidi ya uislam.Uislam na amani ni maji na mafuta haviwezi kaa pamoja.Hebu jiulize,kwa nini uislam upigwe vita na si uhindu wala Uyahudi?Why waislam.Hata watu wote wakisilimu dunia nzima bado mtauana kwa ushia na u sunni.Waanamini Propaganda ni kuumaliza uislam. kumbe ndio kwanza kuupa nguvu maana wengi wanasoma na kuingia katika uislam
Hakuna vita dhidi ya ugaidi pale ni wizi wa ardhi na rasilimali za wapalestina , ndio maana walioelimika wanafahamu tatizo ukiliangalia wakristo wa tanzania ndio wamekariri kuhusu taifa teule.
Southafrica ni wakristo ila walichukua hatua kwa sababu wameelimika
Tatizo la tanzania ni elimu , mfumo wetu wa elimu umefeli ndio maana tunapata graduates wa type ya mwinjaka
Ndio maana unakuta watu wanaambiwa wakaanyage mafuta matatizo yao yataisha
Ustaadh anaandika kwa sonona sana.Waliyataka wenyewe. Waache wauone moto!
Uislam unajimaliza wenyewe kaka hakuna anayetia propaganda yeyote dhidi ya uislam.Uislam na amani ni maji na mafuta haviwezi kaa pamoja.Hebu jiulize,kwa nini uislam upigwe vita na si uhindu wala Uyahudi?Why waislam.Hata watu wote wakisilimu dunia nzima bado mtauana kwa ushia na u sunni.
Sisi tusio waislam tunawaona waislam kwa matendo yao.Adui wa Waislam si wakristo bali waislam wao kwa wao.
Nani ana shida na uislam?
Huko mnakosema wanaslim kila siku unajua wanaosilimu wana nia ya kuwa waislam kweli au wanatafuta namna ya kuuglobalize na kuumodernize uislam kwa maana ya kuwa na maimam wanawake,kufungisha ndoa .za ushoga na kadhalika?Wenzio Saudia wanaglobalize kwa kasi kubwa.
Wajinga ndio waliwao
Wale kuna chances walikuwa wanajeshi wa idf , halafu kushirikiana na serikali ya extremist ya israel ambayo hata wazungu wenzao wamewaona kama wamepata ukichaa ni ujinga pia , sasahivi netanyahu kaitia doa sana israel wote tumejua kumbe weupe sana bila ya marekani
Wotw tumejua kwamba wao na hitler hawana tofauti
Huwezi kumwita mtu gaidi kwakuwa anatetea haki zake, hata wasomi wa vyuo vikuu marekani wanaandamana wameshaijua ukweli hakuna cha ugaidi ni wizi wa ardhi na ukoloni ndio kinachofanyika in the name of ugaidi
Mkiacha uongo na uzushi itapendeza zaidi ya 900.
Huyu ni jew halisi aliyenusurika kwenye mikono ya hitler anachukia zionism , issue sio waisrael issue ni hawa wazungu watawala wezi ila wanatumia jina la waisrael vibaya kufanya uhalifu mashariki ya katiAnapambana na ugaidi. Kumbuka hamas waliuwa watanzania wenzetu wawili wasokua na hatia.