Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Hawa ni wasalitiHuyu ni jew halisi aliyenusurika kwenye mikono ya hitler anachukia zionism , issue sio waisrael issue ni hawa wazungu watawala wezi ila wanatumia jina la waisrael vibaya kufanya uhalifu mashariki ya kati
Kwahiyo wewe wa mbagala ndio muisrael halisi? Dadazeki zako 😆Hawa ni wasaliti
Kila sehemu Wapo wasaliti. Uzuri wa wenzetu wana uhuru wa kuongeaKwahiyo wewe wa mbagala ndio muisrael halisi? Dadazeki zako 😆
Huyu ni jew halisi aliyenusurika kwenye mikono ya hitler anachukia zionism , issue sio waisrael issue ni hawa wazungu watawala wezi ila wanatumia jina la waisrael vibaya kufanya uhalifu mashariki ya kati
Kila sehemu Wapo wasaliti. Uzuri wa wenzetu wana uhuru wa kuongea
Wewe acha ujuha, vita anayopigana Israel huko Gaza ( Urban Warfare) hamna Taifa lolote Duniani anaiweza. Na ratio ya civilian deaths to soldiers ni ndogo mno.1. Gaza ni kaeneo kadogo ka size ya kinondoni, ilala au temeke huko; kigamboni, bagamoyo, Pemba au Mafia ni kukubwa mno kuliko Gaza.
2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya kipolisi tu ambapo kamanda Muliro mguu wake mmoja hauenei.
3. Israel leo mwezi wa 6+ anapigana kwa makombora na mabomu mazito mazito; akitumia drones, ndege, manowari, makomando, brigades, special force, Shin Bet, Mossad, nk; hivi huyu ndugu kufikia hapa anapigana na nani bado huko?
4. Wenye akili zao wamesha stuka:
View attachment 2974134
5. Huyu si ashauriwe japo kupata ushauri kutokea kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vya kwetu huku ambavyo kumbe vina weledi mkubwa mno kulinganisha naye?
View attachment 2974137
6. Anachokifanya huyu ndugu Bibi mbona kinatia kinyaa zaidi?
7. Kwa hakika inahitaji u wenda wazimu uliotukuka kumwelewa ndugu mwisraeli kwenye vita vyake hivi!
Anakuletea vijinukuu uchwara sasa hivi.Ngoja uone.Wewe acha ujuha, vita anayopigana Israel huko Gaza ( Urban Warfare) hamna Taifa lolote Duniani anaiweza. Na ratio ya civilian deaths to soldiers ni ndogo mno.
Ona sasa kabla hawajaingia Rafah, Israel wanawajengea kwanza Mahema Raia na kuwahamishia huko ili wasidhurike. Aisha, vita hiyo itakuwa door to door. Usilinganishe na ujinga wenu. Waisrael ni very professional and considerate. Kule ndami ya Taifa la Israel Kuna wapalestina zaidi ya milioni 2 ikiwa ni pamoja na ndugu wa akina Ismail Haniyeh. Jiulize hizo nchi za kiarabu na Palestine Kuna wayahudi wangapi? Zero. Hata Wakiristo mmewaua kiasi kwamba idadi yao inazidi kupungua
View attachment 2975033
Na wewe ndio huna hata unachojua , ina maana hujui kama kuna jews wengi kwenye nchi za kiarabu ?Wewe acha ujuha, vita anayopigana Israel huko Gaza ( Urban Warfare) hamna Taifa lolote Duniani anaiweza. Na ratio ya civilian deaths to soldiers ni ndogo mno.
Ona sasa kabla hawajaingia Rafah, Israel wanawajengea kwanza Mahema Raia na kuwahamishia huko ili wasidhurike. Aisha, vita hiyo itakuwa door to door. Usilinganishe na ujinga wenu. Waisrael ni very professional and considerate. Kule ndami ya Taifa la Israel Kuna wapalestina zaidi ya milioni 2 ikiwa ni pamoja na ndugu wa akina Ismail Haniyeh. Jiulize hizo nchi za kiarabu na Palestine Kuna wayahudi wangapi? Zero. Hata Wakiristo mmewaua kiasi kwamba idadi yao inazidi kupungua
View attachment 2975033
Huko kichwani kumejaa Quaran tu ya kukariri.Na wewe ndio huna hata unachojua , ina maana hujui kama kuna jews wengi kwenye nchi za kiarabu ?
The 2019 Israeli census counts 472,800 Jews born in Morocco or with a Moroccan-born father, although according to the World Federation of Moroccan Jewry, nearly one million Israeli Jews are Moroccan or of Moroccan descent, making them the second-largest community in the country.
Turkey na iran pia kuna around jews 30,000
Unatakaje ustazi brazaj??1. Gaza ni kaeneo kadogo ka size ya kinondoni, ilala au temeke huko; kigamboni, bagamoyo, Pemba au Mafia ni kukubwa mno kuliko Gaza.
2. Vi kinondoni, ilala, au temeke huko ni vi mikoa vya kipolisi tu ambapo kamanda Muliro mguu wake mmoja hauenei.
3. Israel leo mwezi wa 6+ anapigana kwa makombora na mabomu mazito mazito; akitumia drones, ndege, manowari, makomando, brigades, special force, Shin Bet, Mossad, nk; hivi huyu ndugu kufikia hapa anapigana na nani bado huko?
4. Wenye akili zao wamesha stuka:
View attachment 2974134
5. Huyu si ashauriwe japo kupata ushauri kutokea kwenye vyombo vya ulinzi na usalama vya kwetu huku ambavyo kumbe vina weledi mkubwa mno kulinganisha naye?
View attachment 2974137
6. Anachokifanya huyu ndugu Bibi mbona kinatia kinyaa zaidi?
7. Kwa hakika inahitaji u wenda wazimu uliotukuka kumwelewa ndugu mwisraeli kwenye vita vyake hivi!
Unatakaje ustazi brazaj??
Watupe kabomu kazito na kuigeuza Palestine kifusi??
Huna hata HURUMA anachokifanya Yahudi?!
Hiyo research yako tayari ipo bias imeshatoa conclusion ya hisia nani katoa hiyo report? Nani alishawahi kuua jews nchi yoyote hapa duniani zaidi ya hitler? Jews wengi wamekimbilia ulaya , marekani, na israel hilo nalo ni gumu kufahamu hadi ufundishwe?