Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Uko sawa
 
Ina maana huwa CCM inawapa hela ya kuja kusifu tu na sio ya kurudi?
Hakuna fedha wakizopewa Za kuja Dar au kurudi
Ni fedhea na aibu tu s as Mia kutokujali Hawa wanawake wezake na wakurudishie makwao kitakuwa kilio na Sidhani kama watakuwa na hamu na Samia 2025
 
Muda huu Tumewasiliana
kwa njia ya WhatsApp na Mwenyekiti wa UWT TAIFA simu yake imezimwa.
Kwa sababu UWT ni Jumuia ndani ya CCM, tafadhali mwenye namba ya Comred Chigolo atupatie Ili tumjulishe hali ilivyo Angalau wamama hao wapata msaada wa haraka.
 
Wakome kujipendekeza bila mkataba.
 
Mkuu, nikuulize swali, huenda utakuwa na jibu.

Lema anazo taarifa za hao akina mama. Kama hana, basi wape taarifa kwamba yupo mwamba mwenye ukwasi wa kutosha kuwahudumia kila kitu.

Lakini nisitoke hapa kabla sijaweka jambo jingine:

Kama ni kweli hao akina mama wapo hapo, na kwa sababu hiyo uliyoelezea wewe, basi hawa ni wajasiria mali wa aina yake, na ndiyo sababu niliposoma tu habari yao nikamkumbuka 'innovator' wetu mkuu siku hizi ndani ya nchi yetu!


EeenHeeee! pia inabidi kwa kweli nicheke jinsi nchi yetu hii imekuwa nchi ya vioja.

Hivi hakuna hata kipicha kimoja kinachowaonyesha hao akina mama, inawezekana mama kalamu na yeye akawepo hapo kwenye kundi hilo.

Ni juzi tu, tulikuwa na siku ya akina mama, ilikuwaje hawa wakakosea siku muhimu ya kufika kumwona mama mwenzao?
 
Hongera kwao
Nitashangaa kweli mwenyeji wao akikaushia tu!
Najua watahudumiwa hawa.

Ila kwa kweli nadhani hawa watakuwa wameweka rekodi ya kipekee, ambayo haijawahi kuonekana tokea nchi imepata uhuru.

Kila kukicha naona kuna mambo mapya siku hizi.
 
Kumbeee!
Nilikutana na kijana mmoja akiitwa 'Kichuguu Jr' maeneo ya huko huko ulikokueleza wewe. Kijana mtanashati kwelikweli, akawa ananieleza habari za Tanzania alizosimuliwa na mzazi wake, lakini kwa bahati mbaya sana alikuwa hajawahi kufika Tanzania yeye mwenyewe. Akilalamika kwamba alitelekezwa!
 
Nipe contact zake au mwambie anitafute. Nilikuwa na warembo kadhaa pale Tokyo kwa hiyo huyo anaweza kuwa wa Hasegawa lakini vile vile anaweza kuwa ametoka kwa Makiko Muroya, au kwa Keiko, au kwa Hiroyo Kuramochi; wote walikuwa walikuwa wanawake warembo sana, Nipe contact yake! Mwingine alikuwa anatoka Fukuoka kunifuata Tokyo kupata mgao wake.
 
Uko sawa
 
Nilichogundua ukiwa ccm hutakiwi kusema ukweli.

Ccm mnamdangaya mama samia 100% kwa sababu unaweza je kuhamasisha wanawake nchi nzima kwenda Uwanja wa Taifa Dar bila kujali kuhakikisha wanawake wote wamepewa nauli ya kwenda na kurudi, chakula na malazi?
Kama Sio uhaini.

Wamama wengine wamebeba Watoto, wengine ni wajawazito, wengine ni wagonjwa.

Nina Mshauri Mama Samia Usome bandiko Hili na uwaulize wamama wote wakiwa uwanja wa Taifa kama wamewezeshwa chochote utapata majibu. Sahihi na utabarikiwa.

Hali ni mbaya kuliko na manunguniko ni makubwa mnoooo.

Na kuna dalili viongozi wa ccm mikoa na wilaya walipewa fedha ila wameziweka mifukoni na wanawake wote wanalia na kilio hiki kimfikia mama Samia kwa sababu wanarudi mikoani na image mbaya kuhusu Mama Samia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…