Tetesi: Zaidi ya wanawake 1500 wapo Dar es salaam kumpongeza Rais Samia Machi 19, 2023. Hawana nauli za kurudi nyumbani na hawajui wale/walale wapi

Masikini wanateswa sana CCM
 
Mkuu utambue elimu yao iko chini na uelewa pia.
Trust me wameteseka 100%
Ninavyoandika hapa Tayari wako wameanza kuingia uwanja wa Taifa na Hata breakfast hawajui itapatikana wapi
 
Mkulungwa mwenzangu ulifanya kosa kubwa kumuacha mrembo anayependa kujamiiana, maana ni bidhaa adimu hiyo.
 
Mikoa mingine ccm imewapa mikoa mingine ccm haijawapa na hatujui ni kigezo gani kimetumika ila wanawake wote wa chadema wamelipwa Kila mmoja Tsh 350, 000 kwa Wale waliotokea Mara, Kagera na Rukwa
Hii nchi ni ya kipekee dunia nzima. Ina mambo yake na watu wake. Acha wakomee tu hakuna namna kama vipi watembee kurudi.
 
Wanipe lipa namba niwarushie nauli
 
Mkulungwa mwenzangu ulifanya kosa kubwa kumuacha mrembo anayependa kujamiiana, maana ni bidhaa adimu hiyo.
Ni kweli; ninajutia sana siku hizi. Ila wanawake wa kijapani wote niliowahi kuserebuka nao enzi hizo walikuwa wanapenda sana chini; kwa hiyo singeweza kubeba container lote la wanawake na kulileta Tanzania wakati nilikuwa na container la magari na electronics wakati huo..
 
Hivi wajapani si inasemekana sio watu wa mambo hayo sana au wewe ulibahatika tu.
 
Kweli kazi mliifanya,kama mlilala kwenye hoteli usikukucha lakini hamkulala!!!
Maana yake mlifanya mkesha. Kama ingekua jana tungesema mmeungana na hao waliokesha wakisifu
 
Upuuzi Mtupu Huu Inatakiwa Waachwe Wahangaike Tu Unatoka Unakotoka Mpaka Dar Mtu Mzima Unaacha Nyumba Eti Kwenda Kumpongeza Rais
Ujinga Na Wajinga Tanzania Hawaishi Jamani
Hapo Unajiuliza Mwaliko Walipewa Na Nani?
Kwani Lazima Wampongeze Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…