mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
- Thread starter
-
- #61
Mkuu chunga ulimi usije mkufuru roho mtakatifuWatu walioendekeza dini wanakuwaga na mtindio wa ubongo. Halafu makanisa mengi kama sio yote wamelogwa na hao wachungaji sijui nabii sijui askofu
Hii ya kuungama kwa mtu imekaaje kaaje hii?Ni kama wakatolik walivyo rogwa hadi wanabatiza watoto na kutubu/kuungama kwa viongozi wao.
Ahsante!Yesu hakuja kutengua bali kutimiliza.
Amri kumi za MUNGU ni agano la kale. Vipi amri kumi leo tuziache.
Ni watoto wangapi wameshindwa kumaliza shule?
Jua kwanza umuhimu na faida ya zaka kwanza.
Zaka, sadaka, michango na matoleo ndio ukamilisha Ukristo ni maagizo.
Naomba radhi kwa hilo na nimekubali kukosolewa.Mkuu hapo umetukana, japo wengi wanapitaa mengi mpaka kuokoka ila sio kuwatukana hivo.
Hakika. Kongole kwa wateule wachache waliopewaKuomba sio kupewa zipo fact kwann usipewe. Mungu uangalia moyo.
Ukipewa
1.utaacha ibada
2.utakufa kwa ajali, ukimwi, utaenda jela
3.Utajawa kiburi
4.Utasambaratisha watu.
Kivipi?Walokole wengi ni wachawi na huwa wakua na upendo wa kinafik...mimi binafsi siamini katika hayo madhebu ya kilokole mafundisho yao ni kuchukiana na kurudishana nyuma maendeleo...
Punguza ukali wa maneno kakaWala hata hujakosea,ni wapuuz fulani
Amri mpya aliyoiacha Yesu ni UPENDO. Ukiwa na upendo wa kweli toka rohoni hautafanya dhambi yoyote ile duniani.Kwa kuacha agano la kale maana yake tuibe ,tuzini na tuseme uongo au una maanisha nini
Hapo ndipo ninapochoka'ga' miye. Kama vipi waseme tu kuwa utajiri hautokani na maombi bali kanuni/maarifa.Mbona kuna matajiri wengi tu ni washenzi
Kuchangia kwa hiyari hakuna tatizo lolote. Sasa waseme ukweli waache kutisha tisha watuHuendi mbinguni kwakua unatoa sadaka, na wala hutozuiwa kuingia mbinguni kwakua hutoi sadaka. Katika zile amri kumi toa ama usitoe sadaka haipo katika hizo..
makanisa hasa ya kilokole 70% ya muda wa ibada ni kuhubiri baraka utakazopata ukitoa sadaka. Na makanisa haya huwa wana sadaka sijui zaka zaidi ya ngapi kwny ibada moja.
Na siyo hayo makanisa tu, hata katoliki nao wanaelekea hukohuko. Kwny jumuia mnaletewa sijui padre hana godoro sijui hana kile, mumchangie.
SafiAgano jipya limekataza hayo pia na kusisitiza UPENDO
Huu huenda ukawa ukweli. Siri hizo zina umuhimu au impact gani sasa?Hujui lolote kuhusu ukatoliki, wao ndo wana siri zote za kiroho za kanisa...nyie wengine ni mbavu za kanisa katoliki na mnafahamu machache mno kuhusu ukristo.
ThibitishaZaka ni lazima
Sadaka ni hiari
Huo ndio ukweli,tena watu wa Mungu wengi ni choka mbaya au wana maisha ya kawaida sanaHapo ndipo ninapochoka'ga' miye. Kama vipi waseme tu kuwa utajiri hautokani na maombi bali kanuni/maarifa.
"Utoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao"Utoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao
Utajiri una siri nyingi ndio maana watu wengi maskini
Ukiona mtu anatoa iwe sadaka,zaka au kuwapa maskini ,Au kusaidia jamii awe kaokoka au la bila mbwembwe wala kelele jua huyo mtu ana roho ya utajiri.
Mleta mada ni mfano mzuri wa watu wenye roho ya umaskini na pepo la umaskini ukija kutajirika wewe niite mbwa sio rahisi kwa hiyo roho uko.nayo
Mwenye roho ya utajiri hana shida hata ya kusubiri kitabu cha dini kiseme atajenga kanisa au msikiti nk na hata kutoa mamilioni yanayozidi hata hizo zaka na mafungu ya kumi .Yuko juu ya sheria kama Paulo alivyosema siko chini ya sheria tena nimevuka huko
Mtu kuhamasishwa kuwa atoe fungu la kumi kanisani ni ushahidi mmojawapo kuwa kwenye hilo kanisa kuna wengi wenye pepo na roho ya umaskini
Watu wanatoa asilimia tisini ya mapato yao na hawafiliski ni matajiri wakubwa duniani lofa ana struggle kutoa kafungu tu ka kumi na bado hiyo hata asipotoa umadkini unamfuata hadi kwenye nyayo
Tanzania wako watu kibao hutoa nusu za mapato yao na zaidi kusaidia dini na jamii walokole na wasio walokole na hawafiliski
Mleta mada wala hahitajiki malaika atueleze hali ya maisha yako ikoje ila ukweli ni kuwa una changamoto kubwa za kifedha na pepo la umaskini limeweka makao makuu kwenye maisha yako
Sawa ahsante kwa kunitukana ilhali hunijui na hutonijuaUtoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao
Utajiri una siri nyingi ndio maana watu wengi maskini
Ukiona mtu anatoa iwe sadaka,zaka au kuwapa maskini ,Au kusaidia jamii awe kaokoka au la bila mbwembwe wala kelele jua huyo mtu ana roho ya utajiri.
Mleta mada ni mfano mzuri wa watu wenye roho ya umaskini na pepo la umaskini ukija kutajirika wewe niite mbwa sio rahisi kwa hiyo roho uko.nayo
Mwenye roho ya utajiri hana shida hata ya kusubiri kitabu cha dini kiseme atajenga kanisa au msikiti nk na hata kutoa mamilioni yanayozidi hata hizo zaka na mafungu ya kumi .Yuko juu ya sheria kama Paulo alivyosema siko chini ya sheria tena nimevuka huko
Mtu kuhamasishwa kuwa atoe fungu la kumi kanisani ni ushahidi mmojawapo kuwa kwenye hilo kanisa kuna wengi wenye pepo na roho ya umaskini
Watu wanatoa asilimia tisini ya mapato yao na hawafiliski ni matajiri wakubwa duniani lofa ana struggle kutoa kafungu tu ka kumi na bado hiyo hata asipotoa umadkini unamfuata hadi kwenye nyayo
Tanzania wako watu kibao hutoa nusu za mapato yao na zaidi kusaidia dini na jamii walokole na wasio walokole na hawafiliski
Mleta mada wala hahitajiki malaika atueleze hali ya maisha yako ikoje ila ukweli ni kuwa una changamoto kubwa za kifedha na pepo la umaskini limeweka makao makuu kwenye maisha yako
Nimeuliza ili nijue. Zingatia neno 'kuuliza'Kwa Kifupi naona wewe ndiye una shida...
Kama mimi nimeamua kutoa Sehemu ya Kumi ya mali zangu na kupeleka kanisani na hiyo hela ikatumika kunua vyakula na kulipa mishahara watumishi na kujenga miundo mbinu mizuri ya kiibada wewe kinachokuuma ni nini?
Hata kama ni agano la kale wewe unasumbuka na nini?
Mbona kuna watu wengi wanakesha bar kila siku na kununua pombe za gharama na Nyama na kununua Makahaba na ulafi uliopindukia wanatumia fedha nyingi tena mara nyingine hata mshahara wote?? Hao hauwaoni kuwa wa na shida? Ila unaumia roho kwa Mimi kutoa 10% ya mapato yangu kupeleka kanisani? Unasisitiza kwamba ni Agano la kale..
Kuna vitu vingi sana vya aibu na kutapanya fedha vinafanywa na watu lakini hamuoni, ila mnasumbuka na Sadaka...
Pilipili usiyoila yakuwashia nini??
Mkuu wewe una ghorofa hata moja kweli?Utoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao
Utajiri una siri nyingi ndio maana watu wengi maskini
Ukiona mtu anatoa iwe sadaka,zaka au kuwapa maskini ,Au kusaidia jamii awe kaokoka au la bila mbwembwe wala kelele jua huyo mtu ana roho ya utajiri.
Mleta mada ni mfano mzuri wa watu wenye roho ya umaskini na pepo la umaskini ukija kutajirika wewe niite mbwa sio rahisi kwa hiyo roho uko.nayo
Mwenye roho ya utajiri hana shida hata ya kusubiri kitabu cha dini kiseme atajenga kanisa au msikiti nk na hata kutoa mamilioni yanayozidi hata hizo zaka na mafungu ya kumi .Yuko juu ya sheria kama Paulo alivyosema siko chini ya sheria tena nimevuka huko
Mtu kuhamasishwa kuwa atoe fungu la kumi kanisani ni ushahidi mmojawapo kuwa kwenye hilo kanisa kuna wengi wenye pepo na roho ya umaskini
Watu wanatoa asilimia tisini ya mapato yao na hawafiliski ni matajiri wakubwa duniani lofa ana struggle kutoa kafungu tu ka kumi na bado hiyo hata asipotoa umadkini unamfuata hadi kwenye nyayo
Tanzania wako watu kibao hutoa nusu za mapato yao na zaidi kusaidia dini na jamii walokole na wasio walokole na hawafiliski
Mleta mada wala hahitajiki malaika atueleze hali ya maisha yako ikoje ila ukweli ni kuwa una changamoto kubwa za kifedha na pepo la umaskini limeweka makao makuu kwenye maisha yako
Ni kweliMimi huwa naelewa wapinga zaka na sadaka,huwa ni wajumbe wa shetani.Ili kuwapumbaza Wakristo wajinga Ili waweze kuwaangusha, sadaka na zaka ni hirizi tosha mchawi akugusi wala kuchezea mali yako.
Wao kwa shetani wanatoa hadi asilimia 80 Ili wapate nguvu. Uleta mafundisho ya kuwakatikisha tamaa Wakristo Ili wasiwe na ulinzi waweze kuwaloga kirahisi.
Mkuu inahuzunisha ila ndiyo ukweli huu. Tuupokee tu[emoji24]Kunaa watu wana miaka na miaka wanamuomba Mungu wawe matajiri ila Mungu anasema NO.
Wakipata sana basi ni laki laki za kula tu ili wasife.
🥱[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]