Zaka au sadaka ni hiari, kuwapigia simu waumini kuwakumbusha ni kuwalazimisha

Zaka au sadaka ni hiari, kuwapigia simu waumini kuwakumbusha ni kuwalazimisha

Yesu hakuja kutengua bali kutimiliza.

Amri kumi za MUNGU ni agano la kale. Vipi amri kumi leo tuziache.

Ni watoto wangapi wameshindwa kumaliza shule?

Jua kwanza umuhimu na faida ya zaka kwanza.

Zaka, sadaka, michango na matoleo ndio ukamilisha Ukristo ni maagizo.
Ahsante!
 
Kuomba sio kupewa zipo fact kwann usipewe. Mungu uangalia moyo.
Ukipewa
1.utaacha ibada
2.utakufa kwa ajali, ukimwi, utaenda jela
3.Utajawa kiburi
4.Utasambaratisha watu.
Hakika. Kongole kwa wateule wachache waliopewa
 
Huendi mbinguni kwakua unatoa sadaka, na wala hutozuiwa kuingia mbinguni kwakua hutoi sadaka. Katika zile amri kumi toa ama usitoe sadaka haipo katika hizo..

makanisa hasa ya kilokole 70% ya muda wa ibada ni kuhubiri baraka utakazopata ukitoa sadaka. Na makanisa haya huwa wana sadaka sijui zaka zaidi ya ngapi kwny ibada moja.

Na siyo hayo makanisa tu, hata katoliki nao wanaelekea hukohuko. Kwny jumuia mnaletewa sijui padre hana godoro sijui hana kile, mumchangie.
Kuchangia kwa hiyari hakuna tatizo lolote. Sasa waseme ukweli waache kutisha tisha watu
 
Hujui lolote kuhusu ukatoliki, wao ndo wana siri zote za kiroho za kanisa...nyie wengine ni mbavu za kanisa katoliki na mnafahamu machache mno kuhusu ukristo.
Huu huenda ukawa ukweli. Siri hizo zina umuhimu au impact gani sasa?
 
Utoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao

Utajiri una siri nyingi ndio maana watu wengi maskini
Ukiona mtu anatoa iwe sadaka,zaka au kuwapa maskini ,Au kusaidia jamii awe kaokoka au la bila mbwembwe wala kelele jua huyo mtu ana roho ya utajiri.

Mleta mada ni mfano mzuri wa watu wenye roho ya umaskini na pepo la umaskini ukija kutajirika wewe niite mbwa sio rahisi kwa hiyo roho uko.nayo

Mwenye roho ya utajiri hana shida hata ya kusubiri kitabu cha dini kiseme atajenga kanisa au msikiti nk na hata kutoa mamilioni yanayozidi hata hizo zaka na mafungu ya kumi .Yuko juu ya sheria kama Paulo alivyosema siko chini ya sheria tena nimevuka huko

Mtu kuhamasishwa kuwa atoe fungu la kumi kanisani ni ushahidi mmojawapo kuwa kwenye hilo kanisa kuna wengi wenye pepo na roho ya umaskini

Watu wanatoa asilimia tisini ya mapato yao na hawafiliski ni matajiri wakubwa duniani lofa ana struggle kutoa kafungu tu ka kumi na bado hiyo hata asipotoa umadkini unamfuata hadi kwenye nyayo

Tanzania wako watu kibao hutoa nusu za mapato yao na zaidi kusaidia dini na jamii walokole na wasio walokole na hawafiliski

Mleta mada wala hahitajiki malaika atueleze hali ya maisha yako ikoje ila ukweli ni kuwa una changamoto kubwa za kifedha na pepo la umaskini limeweka makao makuu kwenye maisha yako
"Utoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao"

[emoji115][emoji115]
Ndugu Yehodaya nimekuelewa hapa
 
Utoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao

Utajiri una siri nyingi ndio maana watu wengi maskini
Ukiona mtu anatoa iwe sadaka,zaka au kuwapa maskini ,Au kusaidia jamii awe kaokoka au la bila mbwembwe wala kelele jua huyo mtu ana roho ya utajiri.

Mleta mada ni mfano mzuri wa watu wenye roho ya umaskini na pepo la umaskini ukija kutajirika wewe niite mbwa sio rahisi kwa hiyo roho uko.nayo

Mwenye roho ya utajiri hana shida hata ya kusubiri kitabu cha dini kiseme atajenga kanisa au msikiti nk na hata kutoa mamilioni yanayozidi hata hizo zaka na mafungu ya kumi .Yuko juu ya sheria kama Paulo alivyosema siko chini ya sheria tena nimevuka huko

Mtu kuhamasishwa kuwa atoe fungu la kumi kanisani ni ushahidi mmojawapo kuwa kwenye hilo kanisa kuna wengi wenye pepo na roho ya umaskini

Watu wanatoa asilimia tisini ya mapato yao na hawafiliski ni matajiri wakubwa duniani lofa ana struggle kutoa kafungu tu ka kumi na bado hiyo hata asipotoa umadkini unamfuata hadi kwenye nyayo

Tanzania wako watu kibao hutoa nusu za mapato yao na zaidi kusaidia dini na jamii walokole na wasio walokole na hawafiliski

Mleta mada wala hahitajiki malaika atueleze hali ya maisha yako ikoje ila ukweli ni kuwa una changamoto kubwa za kifedha na pepo la umaskini limeweka makao makuu kwenye maisha yako
Sawa ahsante kwa kunitukana ilhali hunijui na hutonijua
 
Kwa Kifupi naona wewe ndiye una shida...

Kama mimi nimeamua kutoa Sehemu ya Kumi ya mali zangu na kupeleka kanisani na hiyo hela ikatumika kunua vyakula na kulipa mishahara watumishi na kujenga miundo mbinu mizuri ya kiibada wewe kinachokuuma ni nini?

Hata kama ni agano la kale wewe unasumbuka na nini?

Mbona kuna watu wengi wanakesha bar kila siku na kununua pombe za gharama na Nyama na kununua Makahaba na ulafi uliopindukia wanatumia fedha nyingi tena mara nyingine hata mshahara wote?? Hao hauwaoni kuwa wa na shida? Ila unaumia roho kwa Mimi kutoa 10% ya mapato yangu kupeleka kanisani? Unasisitiza kwamba ni Agano la kale..

Kuna vitu vingi sana vya aibu na kutapanya fedha vinafanywa na watu lakini hamuoni, ila mnasumbuka na Sadaka...

Pilipili usiyoila yakuwashia nini??
Nimeuliza ili nijue. Zingatia neno 'kuuliza'
 
Utoaji ni kwa ajili ya watu wajuao utajiri ni nini na siri zake nini za kuupata sio kwa ajili.ya malofa wasiotarajia kuwa matajiri kwenye maisha yao

Utajiri una siri nyingi ndio maana watu wengi maskini
Ukiona mtu anatoa iwe sadaka,zaka au kuwapa maskini ,Au kusaidia jamii awe kaokoka au la bila mbwembwe wala kelele jua huyo mtu ana roho ya utajiri.

Mleta mada ni mfano mzuri wa watu wenye roho ya umaskini na pepo la umaskini ukija kutajirika wewe niite mbwa sio rahisi kwa hiyo roho uko.nayo

Mwenye roho ya utajiri hana shida hata ya kusubiri kitabu cha dini kiseme atajenga kanisa au msikiti nk na hata kutoa mamilioni yanayozidi hata hizo zaka na mafungu ya kumi .Yuko juu ya sheria kama Paulo alivyosema siko chini ya sheria tena nimevuka huko

Mtu kuhamasishwa kuwa atoe fungu la kumi kanisani ni ushahidi mmojawapo kuwa kwenye hilo kanisa kuna wengi wenye pepo na roho ya umaskini

Watu wanatoa asilimia tisini ya mapato yao na hawafiliski ni matajiri wakubwa duniani lofa ana struggle kutoa kafungu tu ka kumi na bado hiyo hata asipotoa umadkini unamfuata hadi kwenye nyayo

Tanzania wako watu kibao hutoa nusu za mapato yao na zaidi kusaidia dini na jamii walokole na wasio walokole na hawafiliski

Mleta mada wala hahitajiki malaika atueleze hali ya maisha yako ikoje ila ukweli ni kuwa una changamoto kubwa za kifedha na pepo la umaskini limeweka makao makuu kwenye maisha yako
Mkuu wewe una ghorofa hata moja kweli?
 
Mimi huwa naelewa wapinga zaka na sadaka,huwa ni wajumbe wa shetani.Ili kuwapumbaza Wakristo wajinga Ili waweze kuwaangusha, sadaka na zaka ni hirizi tosha mchawi akugusi wala kuchezea mali yako.
Wao kwa shetani wanatoa hadi asilimia 80 Ili wapate nguvu. Uleta mafundisho ya kuwakatikisha tamaa Wakristo Ili wasiwe na ulinzi waweze kuwaloga kirahisi.
Ni kweli
 
Kunaa watu wana miaka na miaka wanamuomba Mungu wawe matajiri ila Mungu anasema NO.

Wakipata sana basi ni laki laki za kula tu ili wasife.

🥱[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu inahuzunisha ila ndiyo ukweli huu. Tuupokee tu[emoji24]
 
Back
Top Bottom