Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Raisi Karia juzi hapo ametoka kusema kuwa Simba ilicheza fainali hizo ambazo wewe unakataa.Caf cup ni tofaut na caf confederation hilo tumeshalieliza sana tena kwa mifano halisi. Africa cup winner's cup ndio ilikuwa ni sawasawa na caf confederation cup na ndio maana mshindi wa Africa cup winner's cup alikuwa akicheza caf super cup dhidi ya mahindi wa Africa cup of champions club. Mbona lipo wazi hilo, hili swala halifanani na hoja uliyomuwakilisha Zaka Zakazi.
Source zipo nyingi tu ili mradi itembee kwenye key point ambayo ni ligi kuu Tanzania bara. Wewe lete source zako zinazoonesha waliochukua ubingwa wa ligi ya Tanzania. Huyo Zaka Zakazi hajaongelea mabingwa wa Tanzania bara kwasababu Malindi na KMKM hawajawahi kuwa timu za Tanzania bara na wala hawakuwahi kushiriki ligi ya Tanzania bara.Fact kupitia chanzo kipi ambacho tunapswa kukubaliana tangu mwanzo?
Mi hapa ndio napoliona tatizo lilipo
Hao TFF na Ally Kamwe ni binadamu kama wewe je hawawezi kukosea? Basi ili wawe wamepatia kauli zao basi niambie hao Stella walicheza caf super cup dhidi ya nani katika ufunguzi wa pazia jipya la msimu wa 1994? Nina uhakika asilimia 100 USM anaenda kucheza caf super cup dhidi ya Al Ahly. Basi njoo na uthibitisho au ushahidi kuwa Stella walicheza caf super cup kama ambavyo leo hii USM Alger anavyocheza caf super cup dhidi ya Al Ahly. Kumbe unaonesha ni mtu wa kufuata mkumbo tu kichwani utaki kujishughulisha.Sasa Raisi Karia juzi hapo ametoka kusema kuwa Simba ilicheza fainali hizo ambazo wewe unakataa.
Na hata Ally Kamwe siku ta interview kuelekea mechi na USM ALGER alikiri kuwa Yanga ni Club ya pili kucheza fainali
Sasa hapa ndio unapozidi kunipa wakati mgumu wa kuamua tutumir chanzo kipi kama references
Hata ukikaidi utapigwa2 ali suggest tutumie source kutoka TFF kama references. Lakini since umeonesha doubt kwenye kauli ya Raisi wa shirikisho kuhusiana na rekodi ya Simba kucheza fainali.
Basi hiyo inaonesha TFF nayo sio chombo vha kuaminika.
Hivyo nataka uniambie wewe tutumie chanzo kipi kama rejea?
Hakusema Shirikisho alisema michuano ya CAF. Kama wewe ulishiriki Shirikisho tuambie huyo aliyekufungeni alicheza na nani SUPER CUP?Sasa Raisi Karia juzi hapo ametoka kusema kuwa Simba ilicheza fainali hizo ambazo wewe unakataa.
Na hata Ally Kamwe siku ta interview kuelekea mechi na USM ALGER alikiri kuwa Yanga ni Club ya pili kucheza fainali
Sasa hapa ndio unapozidi kunipa wakati mgumu wa kuamua tutumir chanzo kipi kama references
Hata ukikaidi utapigwa2 ali suggest tutumie source kutoka TFF kama references. Lakini since umeonesha doubt kwenye kauli ya Raisi wa shirikisho kuhusiana na rekodi ya Simba kucheza fainali.
Basi hiyo inaonesha TFF nayo sio chombo vha kuaminika.
Hivyo nataka uniambie wewe tutumie chanzo kipi kama rejea?
Ingia mtandao wa CAF wanasema CAF Cup na Winner's Cup ZILIUNGANISHWA ndiyo zikazaa Shirikisho. Haina tofauti na TANU na ASP kuungana kuzalisha CCM, je utasema upande mmoja hauna maana?Caf cup ni tofaut na caf confederation hilo tumeshalieliza sana tena kwa mifano halisi. Africa cup winner's cup ndio ilikuwa ni sawasawa na caf confederation cup na ndio maana mshindi wa Africa cup winner's cup alikuwa akicheza caf super cup dhidi ya mahindi wa Africa cup of champions club. Mbona lipo wazi hilo, hili swala halifanani na hoja uliyomuwakilisha Zaka Zakazi.
Kilichofanyika hapo ni kufuta shindano moja na pia kulibadilisha jina shindano lingine. Ukitaka kujua hilo basi fanya mlinganisho wa mashindano hayo mawili ( caf cup na Africa cup winner's cup) utaona kuna shindano lilikuwa sawa sawa na caf confederation cup kwa hivi sasa, na lingine halikuwa na mfananoIngia mtandao wa CAF wanasema CAF Cup na Winner's Cup ZILIUNGANISHWA ndiyo zikazaa Shirikisho. Haina tofauti na TANU na ASP kuungana kuzalisha CCM, je utasema upande mmoja hauna maana?
Ingekuwa haina maana wangesema tu CAF Cup ilifutwa baaasi ila kusema iliunganishwa ina maana Shirikisho imekuwa "tied" na mashindano yote mawili yalioizalisha kwa usawa.
Basi wangetumia neno "limefutwa" badala ya mashindano hayo mawili "yameunganishwa". Maneno yana maana, hatuyatumii tu.Kilichofanyika hapo ni kufuta shindano moja na pia kulibadilisha jina shindano lingine. Ukitaka kujua hilo basi fanya mlinganisho wa mashindano hayo mawili ( caf cup na Africa cup winner's cup) utaona kuna shindano lilikuwa sawa sawa na caf confederation cup kwa hivi sasa, na lingine halikuwa na mfanano
ile kauli ya Manara mkuu umeisahau?Kwenye Website ya Yanga hadi mwaka 2016, ukihesabu miaka waliyoiandika inaonesha wamechukua ubingwa mata 22.
Ila juu wameandika wamechukua ubingwa mara 27.
Nimeshindwa kuwaelewa
alikua anapewa kombe kabisa?Wa kwanza alikuwa Bingwa wa Tz Bara.
unabishana na CAF? wao wanasema waliunganisha wewe unasema wamefuta?Kilichofanyika hapo ni kufuta shindano moja na pia kulibadilisha jina shindano lingine. Ukitaka kujua hilo basi fanya mlinganisho wa mashindano hayo mawili ( caf cup na Africa cup winner's cup) utaona kuna shindano lilikuwa sawa sawa na caf confederation cup kwa hivi sasa, na lingine halikuwa na mfanano
jamaa anawasahihisha CAF wenye mashindano yao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!Basi wangetumia neno "limefutwa" badala ya mashindano hayo mawili "yameunganishwa". Maneno yana maana, hatuyatumii tu.
Source nyingi kama zipi?Source zipo nyingi tu ili mradi itembee kwenye key point ambayo ni ligi kuu Tanzania bara. Wewe lete source zako zinazoonesha waliochukua ubingwa wa ligi ya Tanzania. Huyo Zaka Zakazi hajaongelea mabingwa wa Tanzania bara kwasababu Malindi na KMKM hawajawahi kuwa timu za Tanzania bara na wala hawakuwahi kushiriki ligi ya Tanzania bara.
Kwani wewe Mkuu sio binadamu?Hao TFF na Ally Kamwe ni binadamu kama wewe je hawawezi kukosea? Basi ili wawe wamepatia kauli zao basi niambie hao Stella walicheza caf super cup dhidi ya nani katika ufunguzi wa pazia jipya la msimu wa 1994? Nina uhakika asilimia 100 USM anaenda kucheza caf super cup dhidi ya Al Ahly. Basi njoo na uthibitisho au ushahidi kuwa Stella walicheza caf super cup kama ambavyo leo hii USM Alger anavyocheza caf super cup dhidi ya Al Ahly. Kumbe unaonesha ni mtu wa kufuata mkumbo tu kichwani utaki kujishughulisha.
Nani ambaye hakusema, maana hapo nimetaja watu wawili.Hakusema Shirikisho alisema michuano ya CAF. Kama wewe ulishiriki Shirikisho tuambie huyo aliyekufungeni alicheza na nani SUPER CUP?
We kitoga Super Cup si ni maswala ya kanuni tu?CAF cup sio confederation mshindi wa hilo kombe alicheza super cup 1994?
Sawa kabisa Imechukua ibingwa mara 24Hii hapa ni list ya mabingwa
Sasa nataka unihesabie miaka ambayo Yanga katwaa ubingwa halafu uniambie Yanga amechukua mara ngapi
View attachment 2658336