Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Zakazakazi: Yanga sio Mabingwa mara 29 na Simba sio Mabingwa mara 22

Kila ligi lilitolewa kombe tofauti.
Tupeni pichaa!

Na je kujihesabia Ubingwa wa Bara ambao haukuwa na uwakilishi wowote zaidi ya kukupeleka katika Mashindano ya Muungano na kuacha kuhesabu Ubingwa wa Muungano ambao ndiyo ulikuwa unatoa uwakilishi ni sahihi au ni janja tu ya kucheza na takwimu niliosema huko juu?
 
Upo tayari kujibu maswali ya uthibitisho maana unaweka muendelezo wa ku copy na ku paste maneno ya Zaka Zakazi huku hoja za nyuma umeshindwa kujibu. Haya tuje kwenye muendelezo wako, Zaka Zakazi anasema tokea mwaka 1965 ligi ilikuwa ni ya muungano, naomba njoo na uthibitisho wa hili kwa kuonesha timu za Zanzibar zilizoshiriki ligi ya mwaka 1965
Kwani Title ya thread imesemaje?

Mi nimenukuu makala ya Zakazakazi bila kuongeza chochote ila kama una maswali kumbuka utakuwa unamuuliza mtu asiye sahihi.

Lakini kwa faida ya mjadala nitakuwa najibu yale ambayo mimi nayajua, hayo mengine tuzidi kumpa muda Zakazakazi atakuja na majibu maana bado hajamaliza.

Kuhusu timu za Zanzibar kushiriki ligi ya muungano mi nitakujibu kwa kuonesha ages za timu kutoka Zanzibar kuonesha uwezekano wa hilo kuwepo.

1932 African Sports
1936 Small Simba SC (Zanzibar)
1942 Malindi SC
1945 Miembeni SC (Zanzibar)
1953 Jamhuri SC
1954 Mwenge SC
1957 Ujamaa SC (Makinduchi)
1965 KMKM SC (Zanzibar)

So nikija kwenye swali lako utaona duration ambayo mashindano yalifanyika ni muda ambao tayari kulikuwa kuna Club kongwe tangu muda mrefu zinatambulika Zanzibar.
 
Sehemu ya TanoView attachment 2659398

Ukiwauliza wale jamaa kwamba hayo mataji 43 wanayomiliki kwa pamoja ni ya ubingwa wa mashindano gani, watakujibu kuwa ni ligi ya bara.

Hapa ndipo wanapojifichia kwa kuwa hatuna udadisi na tunakosa vitengo vya rekodi, kumbukumbu na historia kwenye taasisi zetu za mpira.

Kimsingi ni kwamba Ligi ya Bara haikuishi miaka mingi kiasi cha kutoa mataji yote hayo.

Ilianza mwaka 1982 na kuisha mwaka 2003...miaka 21 tu. Yanga mara 11 na Simba mara 6!

Sasa wao wanayahesabu mataji haya na kuyachaganya na yale ya ligi ya kwanza ya 1965 hadi 1981, kisha wanahesabu mataji ya ligi ya sasa, ndiyo wanapata 43!

Iwe kwa kutojua au kwa makusudi, hayo ni makosa makubwa.

Ligi iliyoanza 1965 haikuwa ya Bara, ilikuwa ya Muungano na hata vilabu vya Zanzibar vilishiriki, kama nilivyofafanua kwenye sehemu zilizopita.

Kwa hiyo bingwa wa ile ligi ya zamani hakuwa wa bara, alikuwa wa Muungano.

Wao kama wanataka kuhesabu mataji ya bara pekee, basi wahesabu ya 1982 hadi 2003...kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa ligi ya bara.

Ligi iliyoanza 1965 kama klabu bingwa ya taifa, ilikuwa ya muungano na kuanzia 1982, ikabadishwa jina muundo na mfumo.

Jina la kwanza lilikuwa Klabu Bingwa ya Taifa, jina jipya likawa Ligi ya Muungano.

Muundo wa kwanza ulikuwa kuanzia ngazi ya wilaya hadi taifa, muundo mpya ukawa wa madaraja, la kwanza hadi nne, kutokea pande zote mbili za Muungano.

Mfumo wa kwanza ulikuwa kwa mtoano, muundo mpya ukawa wa mzunguko, nyumbani na ugenini na kuhesabu alama.

Lakini licha ya mabadiliko hayo, bingwa alibaki na hadhi ile ile, yaani kutambuliwa na FIFA na CAF na kupata tiketi ya kushiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika.

Sasa hawa jamaa wanaacha kuhesabia ubingwa wa ligi ya muungano wa kuanzia 1982 hadi 2003, wanahesabu ubingwa ile ligi ya bara ambayo ilikuwa sawa na mtihani wa moko.

Kwa sababu kwenye hiyo ligi ya Muungano hawakupata mataji mengi hivyo haina maana kwao.

Kwa hiyo wanajifariji kwa kuwa Tanzania One kwenye Moko na kujitangaza walifaulu, kisha wanayaacha matokeo ya mtihani wa taifa kwa sababu walipata Zero!

Itaendelea...
Kumekuchaaaaaaaaaaaaaa!!!!! Zakazakazi ameamua kufumua mshonooooooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...

Soma sehemu ya pili hapa

Soma sehemu ya tatu hapa

Soma sehemu ya nne hapa

Soma sehemu ya tano hapa
Zaka ameitendea kazi taaluma ya uandishi wa habari, waandishi wetu wengi wanaaminishwa na kuamini bila kufanya utafiti. Hongera kwake Zaka za kazi.

Vv
 
Kumbe unabisha halafu hujui unachokibishia ni kipi. Tunalinganisha je kati ya CAF cup na Africa cup winner's cup ni ipi ilikuwa ni mashindano sawasawa na Caf confederation cup iliyopo sasa. Sawa unaposema sheria zilizotumiwa kipindi hiko ni tofauti sio hoja kwasababu sheria hizo hizo ulizodai ni tofauti ndio hizo hizo zinafanana na wanaoshiriki caf confederation cup kwa hivi sasa.

Kuna vigezo viwili vikuu katika huo ulinganifu
1) je kati ya Caf cup na Africa cup winner's cup ni timu ipi inaenda kucheza na timu inayobeba ubingwa wa klabu bingwa (sheria hii ipo sawasawa na caf confederation cup)

2)Je kati ya CAF cup na Africa cup winner's cup, ni mashindano yapi yalikuwa ni kwaajili ya washindi wa kombe la FA ( caf confederation cup ni mashindano kwaajili ya wanaobeba kombe la FA) na ndio maana kila association member wa CAF ni lazima awe na mashindano ya FA.

Sheria za caf confederation cup ilikuwa ni sawasawa na Africa cup winner's cup
Vigezo kwa muktadha upi?

Yani kwamba TFF ambaye ni mwanachama wa CAF haya yote hawakuyajua?

Na mbali wameenda hadi kumpotosha raisi wa nchi kwa kumpa taarifa za uongo?
 
Jamani wkt mwingine tutumie akili kidogo. Siyo kila jambo unaletewa hapa na unskubali tu. Hivi toka lini Kmkm na Malindi walishiriki liigi ya tz bara? Ni lini African sport alikuwa bingwa? Ina maana Coastal union na Mtibwa sugar hawajawahi kuwa mabingwa wa ligi yetu?. Upuuzi mwingine msiwe mnaupost hapa maana mnajiaibisha. Kiufupi hii taarifa ni full upotoshaji.
Kwa takwimu zako ukiunganisha na hoja ya Zaka maana yake ubingwa wa Yanga mara 29 na Simba mara 22 hauna uhamisia. Maana yake ni kuwa tunatakiwa tupate data za ukweli, hizi za ubingwa wa Simba na Yanga zimepikwa.

Vv
 
Kwahiyo tffa nao hajui maana ishu tu ya kuingia finally yanga yakaja mafile ya simba kuingia finally 1993 hili la ligi vipi mbona wamekaa kimya
 
ha
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...

Soma sehemu ya pili hapa

Soma sehemu ya tatu hapa

Soma sehemu ya nne hapa

Soma sehemu ya tano hapa
ta hii taarifa
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...

Soma sehemu ya pili hapa

Soma sehemu ya tatu hapa

Soma sehemu ya nne hapa

Soma sehemu ya tano hapa
Hata hii taarifa siyo ya kweli, 1986 Tukuyu Stars ilipanda daraja na kubeba ubingwa, lakini hapo haionekani
Mtibwa kachukua ubingwa mara 2 hapo hayupo
 
ha

ta hii taarifa

Hata hii taarifa siyo ya kweli, 1986 Tukuyu Stars ilipanda daraja na kubeba ubingwa, lakini hapo haionekani
Mtibwa kachukua ubingwa mara 2 hapo hayupo
Post ya 5 umeisoma?
 
ha

ta hii taarifa

Hata hii taarifa siyo ya kweli, 1986 Tukuyu Stars ilipanda daraja na kubeba ubingwa, lakini hapo haionekani
Mtibwa kachukua ubingwa mara 2 hapo hayupo
Bado hoja kuwa ubingwa wa hizo timu za Simba na Yanga kuwa mabingwa mara 22 na 29 SIO kweli zinazidi kupata mashiko.

Vv
 
Kwani Title ya thread imesemaje?

Mi nimenukuu makala ya Zakazakazi bila kuongeza chochote ila kama una maswali kumbuka utakuwa unamuuliza mtu asiye sahihi.

Lakini kwa faida ya mjadala nitakuwa najibu yale ambayo mimi nayajua, hayo mengine tuzidi kumpa muda Zakazakazi atakuja na majibu maana bado hajamaliza.

Kuhusu timu za Zanzibar kushiriki ligi ya muungano mi nitakujibu kwa kuonesha ages za timu kutoka Zanzibar kuonesha uwezekano wa hilo kuwepo.

1932 African Sports
1936 Small Simba SC (Zanzibar)
1942 Malindi SC
1945 Miembeni SC (Zanzibar)
1953 Jamhuri SC
1954 Mwenge SC
1957 Ujamaa SC (Makinduchi)
1965 KMKM SC (Zanzibar)

So nikija kwenye swali lako utaona duration ambayo mashindano yalifanyika ni muda ambao tayari kulikuwa kuna Club kongwe tangu muda mrefu zinatambulika Zanzibar.
Sihitaji ages za timu za Zanzibar bali nimetaka unioneshe uthibitisho wa timu za Zanzibar zikiwa zimeshiriki ligi ya muungano tokea mwaka 1965. Kigezo cha timu kuanzishwa tokea sio ndio kushiriki mashindano. Vipi kama hizo timu zilikuwa zinashiriki ligi ya kwao Zanzibar? Leteni uthibitisho wa timu za Zanzibar kushiriki ligi ya muungano tangu mwaka 1965
 
Anaandika Zakazakazi,

YANGA SIYO MABINGWA MARA 29 NA SIMBA SIYO MABINGWA MARA 22

Hii ni changamoto kwa wadau wote wa soka nchini Tanzania; wachambuzi, waandishi wa habari, mamlaka za soka na serikali kwa maana ya wizara ya michezo na baraza la michezo.

Fanyeni utafiti na mje na majibu sahihi maana siku zinavyozidi kwenda, uongo unakuwa ukweli kwa sababu watu wanaamini yasiyo sahihi.

Ligi ya Tanzania ilianza mwaka 1965 ikiitwa Klabu Bingwa ya Taifa. Hadi mwaka huu, 2023, ni miaka 58. Maana yake kuna mabingwa 58 wanatakiwa kuwepo.

Sasa kama Yanga ni mabingwa mara 29, Simba mara 22 maana yake hawa wawili peke yao wamechukua ubingwa mara 51.

Katika misimu 58, imebaki misimu 7 pekee ambayo wamechukua wengine.

Hao wengine ni wafuatao.

Cosmopolitan -1 (1967)
Mseto -1 (1975)
Pan African - 1 (1982)
KMKM - 1 (1984)
Majimaji - 3 (1985, 1986 na 1998)
African Sports - 1 (1988)
Malindi - 2 (1989 na 1992)
Pamba - 1 (1990)
TZ Prisons - 1 (1999)
Azam FC - 1 (2014)

Jumla 13

Ukijumlisha na zile 51 za Yanga na Simba, unapata 64...inawezekanaje?

Ligi iliyochezwa miaka 58 inakuwaje na mabingwa 64...hesabu za wapi hizo?

Timu zilizotajwa hapo ndiyo mabingwa wa Tanzania wanaotambuliwa na CAF na FIFA, na ndiyo walioshiriki Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika katika miaka husika.

Ndiyo maana nilianza kwa kutoa changamoto kwa wadau.

Tembeleeni tovuti za CAF na FIFA muone ni timu zipi ziliiwakilisha Tanzania kwenye Klabu Bingwa/Ligi ya Mabingwa Afrika kuanzia 1965.

UKWELI
Yanga ni mabingwa mara 22 na Simba mara 21.

22+21= 43 - Yanga na Simba
43+13=56 - Jumla (kati ya 58)

NB: Kuna misimu miwili (1970 na 2003) Tanzania hakukuwa na bingwa.

Ndiyo maana unapata mabingwa 56 katika misimu 58.

Itaendelea...

Soma sehemu ya pili hapa

Soma sehemu ya tatu hapa

Soma sehemu ya nne hapa

Soma sehemu ya tano hapa

Hapa Zaka ana hoja aisee!
 
Unajua kwenye masuala ya takwimu ukiwa mjanja unaweza kuzitumia unavyotaka wewe kwa manufaa yako na kwa kiasi fulani ukawa sahihi ingawa ndani yake umefanya udanganyifu kwa kuacha data fulani.

Kipindi kile Yanga wanajigamba kwa rekodi za unbeaten, walipokumbushwa mbona mmefungwa mashindnao ya CAF, piw na Vipers, wakasema ooh tunahesabu mashindano ya ndani tu.

Kuna msemo mmoja kuhusu takwimu nikiukumbuka nitauleta.
Statistic is like a bikini, it reveals that is interesting......
 
Vigezo kwa muktadha upi?

Yani kwamba TFF ambaye ni mwanachama wa CAF haya yote hawakuyajua?

Na mbali wameenda hadi kumpotosha raisi wa nchi kwa kumpa taarifa za uongo?
Acha kulalamika, habari za TFF zinahusu nini? Jibu hoja kuhusu ulinganifu
 
Sihitaji ages za timu za Zanzibar bali nimetaka unioneshe uthibitisho wa timu za Zanzibar zikiwa zimeshiriki ligi ya muungano tokea mwaka 1965. Kigezo cha timu kuanzishwa tokea sio ndio kushiriki mashindano. Vipi kama hizo timu zilikuwa zinashiriki ligi ya kwao Zanzibar? Leteni uthibitisho wa timu za Zanzibar kushiriki ligi ya muungano tangu mwaka 1965
Uthibitisho zaidi unakuja kwenye makala zijazo kutoka kwa mwandishi wetu, stay tuned
 
Acha kulalamika, habari za TFF zinahusu nini? Jibu hoja kuhusu ulinganifu
Ni kwamba umepinga acknowledge ya TFF kuhusu rekodi ya Simba kucheza fainali kwa hoja ya kwamba wamekosea wao ni binadamu.

Sasa nikuulize ni chanzo kipi ambacho wewe umekitumia kupata hayo maelezo ambayo timu nzima ya TFF na uongozi wa Yanga haukuweza ku obtain hizo data?
 
Ni kwamba umepinga acknowledge ya TFF kuhusu rekodi ya Simba kucheza fainali kwa hoja ya kwamba wamekosea wao ni binadamu.

Sasa nikuulize ni chanzo kipi ambacho wewe umekitumia kupata hayo maelezo ambayo timu nzima ya TFF na uongozi wa Yanga haukuweza ku obtain hizo data?

Sio kupinga acknowledge ya TFF kuhusu kucheza fainali. Bali nachopinga mimi ni kwamba ulichokisema wewe ni kwamba umemnukuu raisi wa TFF akisema kuwa Yanga imekuwa timu ya pili kucheza michuano ya kombe la shirikisho CAF ni Kitu ambacho sio sahih, kwa Tanzania, Yanga ndo timu pekee iliyocheza fainali ya kombe la shirikisho Caf
 
Back
Top Bottom