Medecin
JF-Expert Member
- Nov 29, 2011
- 8,221
- 22,496
Na simba walikuwa wakicheza nini?Kabla ya 1965 kukikuwa na Ligi gani?
Historia inaonesha Yanga ilikuwa inacheza unofficial tournaments za mitaani tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na simba walikuwa wakicheza nini?Kabla ya 1965 kukikuwa na Ligi gani?
Historia inaonesha Yanga ilikuwa inacheza unofficial tournaments za mitaani tu
Hapana hesabu ya Yanga ipo upo upande wa ligi ya bara peke yake, narudia tena unielewe. Yanga wakati anachukua kombe la muungano alikuwa pia anachukua na kombe la ligi kuu bara isipokuwa ni msimu mmoja tu ambao wa mwaka 2000 Yanga aliishia kubeba kombe moja tu la muungano huku ligi kuu bara akibeba Mtibwa Sugar. Hivyo kama kuhesabika ya muungano ni msimu mmoja tu wa mwaka 2000 ila misimu yote Yanga kanyanyua kwapa kote kote ( bara & muungano)Kwa hiyo kuna uwezekano katika hizo 29 za Yanga, zimehesabiwa za Bara na za Muungano wakati katika 22 za Simba, za Muungano hazijahesabiwa?
Je hii inamaanisha tukijumuisha makombe yote mawili, tofauti ya Ubingwa wa ndani kati ya Simba na Yanga ni 29-27?
Haya maswali nayauliza kwa nia ya kujua siyo kuleta mabishano.
Mwaka 1996 nilisahau kuiwekaJuu hapo umesema Yanga alichukua Muungano mara 6, hapa umelist miaka 5 na kuchukua mara 4.
Reference zipo TFF hapa tuna danganyanaTatizo la huu mjadala lipo kwenye chanzo.
Hakuna chanzo rasmi ambacho tunaweza kutumia kama references
lengo la ligi ya muungano ilikuwa ni kudumisha Muungano wetu na kutoa usawa wa kiuwakilishi katika michuano ya kimataifa ya vilabu, hii ni kutokana na Tanzania bara kuwa na ligi yake na Zanzibar kuwa na ligi yake huku upande wa pili (Zanzibar) ukiwa sio mwanachama wa shirikisho la soka barani Africa caf, hivyo kukosa sifa ya timu zake kushiriki michuano ya vilabu bingwa africa na kombe la washindi (ilijulikana hivyo miaka hiyo). Kwa kuwepo kwa ligi ya Muungano ambayo ilikuwa inajumlisha timu 3 zilizomaliza nafasi juu kwenye ligi husika basi timu kutoka Zanzibar nazo zilipata nafasi ya kuiwakilisha Jamhuri ya Muungano kwenye michuano ya CAF.
Mjinga tu huyo Zaka.Zaka zakazi na mpwa wake alieleta uzi hapa sio watu wakutiliwa maanani. Linapokuja suala la Mabingwa kihistoria daima wameshindwa kuwa rational
Hata mi nimeshtuka kwani hawa Tukuyu Stars na Mtibwa si washawi kuwa Mabingwa?Hapo kwenye list ya mabingwa ya Zakazakazi kuna Tukuyu stars na Mtibwa ambao wamesahaulika
Kule walio kamili kichwani wawili tu.Kwenye Website ya Yanga hadi mwaka 2016, ukihesabu miaka waliyoiandika inaonesha wamechukua ubingwa mata 22.
Ila juu wameandika wamechukua ubingwa mara 27.
Nimeshindwa kuwaelewa
Ukiachana na source ya website ya yanga je kwenye vyanzo vingine vinaonesha mara ngapi?Kwenye Website ya Yanga hadi mwaka 2016, ukihesabu miaka waliyoiandika inaonesha wamechukua ubingwa mata 22.
Ila juu wameandika wamechukua ubingwa mara 27.
Nimeshindwa kuwaelewa
Ndugu yale sufianiZaka za kazi ni shoga