Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Achana na Google muzeye, ndo maana kuna sehemu ya edit, niambie ni lini Malindi na KMKM alishiriki Ligi ya Bara, tuanzie hapo.Hii hapa ni list ya mabingwa
Sasa nataka unihesabie miaka ambayo Yanga katwaa ubingwa halafu uniambie Yanga amechukua mara ngapi
View attachment 2658336