Achana na Google muzeye, ndo maana kuna sehemu ya edit, niambie ni lini Malindi na KMKM alishiriki Ligi ya Bara, tuanzie hapo.Hii hapa ni list ya mabingwa
Sasa nataka unihesabie miaka ambayo Yanga katwaa ubingwa halafu uniambie Yanga amechukua mara ngapi
View attachment 2658336
Uzuri mi nimeweka chanzo, we umeweka maneno tupu.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Matatizo ya akili hayo.
1985 YANGA ALIKUWA BINGWA TANZANIA BARA
1986 TUKUYU STARS ALIKUWA BINGWA TANZANIA BARA.
MAJIMAJI AMECHUKUA KOMBE MARA 1 TU MWAKA 1998.
1991
1992
1993
Yanga alichukua kombe miaka yote.
Unajidharilisha we mwehu.
Si ndio hoja ya Zakazakazi ilipo, kuwa kuna washindi wa ligi ya Muungano ambao walihesabu ubingwa huo kama ligi kuu.Achana na Google muzeye, ndo maana kuna sehemu ya edit, niambie ni lini Malindi na KMKM alishiriki Ligi ya Bara, tuanzie hapo.
Ukihesabu hapa unaona kabisa Yanga kachukua ubingwa mara 24View attachment 2658337
Malindi na KMKM walishiriki ligi Kuu (T) bara mwaka gani?Hapo kwenye list ya mabingwa ya Zakazakazi kuna Tukuyu stars na Mtibwa ambao wamesahaulika
AiseeNakumbuka hii kitu Yanga sio Mabingwa wa kihistoria aliwahi kuelezea Venus Star lakini watu walibisha kwa mapenzi ya timu.
Ngoja tuone kama kuna watu wataojitokeza kum challenge Zakazakazi kisha tuone hoja zao ni zipi.
Hicho sio kitu alicho maanisha Zakazakazi.View attachment 2658311View attachment 2658312
Kwa Mujibu wa ZAKAZAKAZI basi Manchester Utd amebeba ndoo mara 13 tu kwasababu ligi imeanza mwaka 1992. Na misimu ya nyuma huko hakukuwa na ligi bali ni Ndondo cup, Gombania goli na Mechi za kirafiki.
Jamani tutumie akili zetu vizuri.
Hivi wewe tunavyokuheshimu humu kumbe tunafanya kazi bure? Hivi unawezaje kuleta takwimu za Tanzania Prisons kubeba ubingwa wa Tanzania 1999 halafu tukae tukusikilize? Mrudishie takwimu zake zitamsaidia ligi ya Mapinduzi.Zinaweza zikawa hazina manufaa kwasababu upande mmoja utaenda kuonekana ni inferior kwakua utakuwa downgraded
Ila kwanini tuache kusema ukweli ili kuzuia takwimu za uongo zisiendelee kumea?
Kwani baada ya mwaka 65 Hadi Leo Yanga inacheza ligi ya timu mbili?Kwahiyo unataka kusema Simba na Yanga walikuwa wanacheza ligi ya timu 2 tu?
Ni lile kombe la CAF ambalo Kila utopolo walipotia mguu walitolewa hatua za awali kabisa mpaka lilipounganishwa na kombe la washindi na kuitwa la shirikishoNdio kombe gani hilo?
Msiwe mnakosoa kienyeji, hiyo ni Wikipedia na tunafahamu kuwa haiwezi kuwa 100% hivyo tunafahamu uwezekano wa taarifa kuwa ndivyo sivyo, ila critics mnapaswa kuja na hoja kutoka trustable sources sio kubeza.Hivi wewe tunavyokuheshimu humu kumbe tunafanya kazi bure? Hivi unawezaje kuleta takwimu za Tanzania Prisons kubeba ubingwa wa Tanzania 1999 halafu tukae tukusikilize? Mrudishie takwimu zake zitamsaidia ligi ya Mapinduzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zinamanufaa sana hizo 29 mmezitoa wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara nyingi na ignore replies zako ili nijilindie heshima ila leo nakublock rasmi, usihangaike kujibu post zangu maku wee.
Kama mnafuata standard za Ulaya, na hiyo treble ya juzi mliyofanyia gwaride na tamasha nayo inafuata standard za Ulaya?
Haya tuambie mwaka huo wa bonanza ni timu gani ilichukua kombe la shirikisho Afrika?Bonanza moja la mwaka 1993
Mshindi wa hilo kombe alicheza super cup?Inaonekana mwaka 1993 Simba anapofika fainali ya CAF, kulikuwa na mashindano mengine ya Abiora.
Ulikuwa ni mwaka ambao una mashindano mengi sana
Asante kwa kunijuza ndio naskia kwako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiiiiii tupuuu,Wazee wa kuongeza namba kwenye Mikataba wameongeza namba mpaka kwenye ubingwa
Ana kijiji chake cha wajingaKutuambia kwamba African sport na Pamba fc zilishawahi kuwa mabingwa wa ligi yetu ya bara ni uongo mkuu. Wala binafsi sihitaji kuendelea kuona na makala zake za upotoshaji.
Hii mada kila mwaka unayo hua hauchoki?Ukihesabu hapa unaona kabisa Yanga kachukua ubingwa mara 24View attachment 2658337
Kombe la shirikisho lime anza 2004Haya tuambie mwaka huo wa bonanza ni timu gani ilichukua kombe la shirikisho Afrika?