reymage
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 12,203
- 28,789
Kabisaaa acha tuishi Leo kesho hatuijui!Hapo kuna watu wanatamani wangependwa hivyo na watu wanaowapenda ila ndo vileee.
Zama katisha sana. Ukimpenda mtu unamfanyia tu linakokufurahisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaaa acha tuishi Leo kesho hatuijui!Hapo kuna watu wanatamani wangependwa hivyo na watu wanaowapenda ila ndo vileee.
Zama katisha sana. Ukimpenda mtu unamfanyia tu linakokufurahisha
Watu bwanaaa Zama katishaaaa!Sanaa!!nimempenda sana Dada!mumewe wa halali kabisaaaSiyo mbaya kwakua hayo ni mawazo yako.
Let her express her love for her husband na msimpangie how to do It !!!!!!
[emoji16][emoji16][emoji16] mie ni panick kisa gani? kila mtu aishi namna anavotaka. Nyie mnamuona ana unafki mnaongea mawazo yenu ambayo sio lazima iwe ndo uhalisia. Kila mtu anafanya kitu kinachompa furaha yeye binafsi afterall mapenzi hayanaga kanuni.Mbona Kama umepanic vipi kwani we ndio umeweka bango?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ule Ni UNAFIKI TU.....anataka kumrusha roho Faiza Ally na Shamsa Ford...Wellcome to Dar es Salaam...kaa hapo endelea kuamini ujinga
point kubwa sana hii[emoji16][emoji16][emoji16] watu wanajikuta wanamjua huyo mwanaume kuliko hata zamaradi anavomjua.Acheni kuingilia maisha ya watu......
Respect kwako ....[emoji1666]Ninavyoisoma picha:-
1. Bwana yuko na hostility and very passive.
2. Mioyo yao haina connections hatakidogo.
3. Hiyo ndoa mama ndiye anaithamini zaidi, wakati upande wa pili ukiwa full irresponsible.
4. Hiyo sura ya mshangao kwa baba ni kwa drama lakini moyo wake wala hauko hapo.
5. Analazimisha kufurahi lakini he seems not to wish, hii ingetokea.
6. Analia kwa kushindwa kubeba deni analopowa na mke wake, kwa sababu hawezi kubadilika na kufanya anachotaka mama.
7. Mjukuu wangu wa kiume haonyeshi huba, lolote kwa mke wake. Ama hayuko romantic na kwamba anategemea kuwa provoked na mke wake ili angalau achangamkie love.
8. Mwanamme anaonekana kuwa na majuto makubwa sana ndani ya huo uhusiano.
9. Mama anajua yote nilyoyasema na zaidi ya hayoe mengine siwezi kuyaandika mtandaoni kwa heshima ya ubinadamu wa wahusika.
10. Anajua anaupinzani mkali lakini ameamua kulinda mhusiano yake kwa uvumilivu na gharama kubwa kwa sababu anaepusha madhara kujirudia.
11. Mama anatunza mahusiano kwa kulinda hadhi yake katika jamii na familia yake.
12. Anajua anapitika vipindi vigumu sana katka mahusiano yake lakini ameamua kujitoa dhabihu kwa hehsima yake na ama watoto au watu wanaomtegemea.
13. Mama kisaikolojia anajitegemea 14wala hategemei chochote kikubwa kutoka kwa huyo jamaa ambaye moyo wake uko mbali, isipokuwa jina na kulinda aibu yake.
14. Hiyo picha hajapeleka ili kuonyesha namna gani anampenda mme, wake bali ni kuwathibitishia wapinzani wake kwamba yeye zaidi, na kutaka kumrejesha mme wake pengine akiona kama anajali, ataplay nafasi yake.
15. Mwanammen anadeka lakini pia hana hakika na uaminifu wa mke wake.
16. Mama anajitahidi kuonyehs moyo wake kwamba ni mweupe na sababu yoyote anayotumia yule baba kujustify, kutokuwa naye ki-moyo, si ya kweli.
Ninaona mengi sana kwenye hii picha lakini ujumbe wangu.
Naona naanza kupata hasira, acha niishie hapa. lakini hii siyo tangazo la furaha katika mahusiano wala tangazo la upendo, bali ni sauti ya mwanamke, baada ya kulia sana katika utumwa wa mapenzi, sasa anakata rufaa kwenye mahakama iitwayo dunia. Dunia ione, dunia iwe shahidi, dunia isuluhishe, dunia ifurahi, dunia icheke, dunia ijifunze, iamue na lolote litakaloendelea, baada ya hapa, "mama kanawa", ingawa kwa huzuni kubwa.
Wanawake acheni kuolewa na wanaume wasioonyesha kuwapenda, haijalishi umepitia mahusiano mangapi, haijalishi watu watakuonaje, lakini afadhali kuchelewa na kupata mme atakayekupenda na kujali upendo wako, kuliko kuwa mtumwa wa mapenzi na mwanamme asiyejali thamani yako. Matokeo yake ndiyo haya.
BANGO LIKO KWENYE PUBLIC DOMAIN, NA NDIYO NGUVU YANGU YA KUANDIKA NILIYOYAONA KWENYE PICHA ILE.
Na hata huyo anabadilishwa deile hapigwi mara mbili.Amtoe wapi maana Ana se-x partner tu
Alaf nilitaka nikuwish sema id inanichanganya saana.Kaka shemeji mbona ghafla sana?
Nina wasiwasi hata ka hela ka bango hakapo.Amekosa wa kumuweka kwenye bango
🤣🤣Alipigwaga na wale walinzi wa Suma jkt
Unamuonyeshaga mapenzi kwa njis gani?Ninae
Nilijua wachawi ka ninyi mtajitokeza tuu... Tatizo naona hujafanyiwa wewe na hujawahi kupendwa kwa thamani kubwa hivo wala hujua kupendaKumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba. Hivi unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh.
Huyu Mayunga mbona kama ana sitiresi.
Kumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba. Hivi unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh.
Kwan ukilipost unaota mbususu,wanaume msiokamili huwa mnajistukia sana kwannAlafu kuna mpaka wanaume wamepost hilo bango bila hata aibu 😊
Zamaradi kafanya yake kaprint bangooo kubwa lina picha ya mme wake kalitundika mji mzima ya dar, kuanzia stendi mpya uko mbezi kote ubungo hadi posta ni kubwa kama zile za kutangaza maonyesho ya 8,8.Aliyeielewa thd anieleweshe!
Nini kimetokea?
Hata mimi siwezi sema ninachoweza fanya ni status tu naweza mpost tofauti na hapo no. Wanaume wenyewe hawa hawa anakutafutia sababu ya ugonvi? Nyoloooooo zao.Write your reply...hata nikupende vp sikupost kokote kule ktkt mtandao ni btn mimi na wewe wajue nakupenda ili iweje sasa..huo.ni utoto
.
....
Dia wewe unaweza mtundika mmeo bangoni? Kimbuka adui wa mme ni rafiki zako siku moja watakuonesha kuwa kumtundika bangoni sio kupendwaSasa Shabani ana Hela gani?Kama issue Ni pesa wangepostiwa kina Salah na Mo
Wewe unamjua yupi?Mayunga yupi huyo?