Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi



Eti classmate . Ushawahi Sikia wapi mtu ana mu address classmate wake kwa jina la " dada fulani"?
Sema tu ukweli mkuu ulisoma Butimba TTC sio SAUT.

Endelea kuchafua chuo cha watu hivyo hivyo utakuja kushitakiwa wewe!!!
 
Arv za Ruge hakuvujisha yeye bhn
 
Zama atakua na roho mbaya kweli mana hata tuliwahi kusoma humu jf alihusika na kufukuzwa kazi dina marios,
Anajificha kwenye kivuli cha mtu mstaarab na yale magazeti yake anayoandika instagram ilhali ndani hafai!
Zama ni mnafikii na mjivunii, ila akiandikaga yale magazeti na essay zake bas ndo watu wana muona wa maana sanaa.

Sijui yukoje huyu Dada.
 
Ndiyooo na ndo ukweli wenyewee
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kaumbukaaa kweupeee Da Zama
 
Zama ni mnafikii na mjivunii, ila akiandikaga yale magazeti na essay zake bas ndo watu wana muona wa maana sanaa.

Sijui yukoje huyu Dada.
Anajua kuandaa waraka wa amani haswa
Nimeamini kweli akili hana maana wamesababisha mpaka watu huko instagram wanamtukana mh.waziri wakihisi kuwa ndo anawapa kiburi cha kutia watu ndani baada ya kumsweka rumande yule director wake!
 
Nilitaka nikuitee mlongo, ubuyu umetufikia walajiii.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anajua kuandaa waraka wa amani haswa
Nimeamini kweli akili hana maana wamesababisha mpaka watu huko instagram wanamtukana mh.waziri wakihisi kuwa ndo anawapa kiburi cha kutia watu ndani baada ya kumsweka rumande yule director wake!
N/waziri lazima atukanwee, maana yeye ni msanii na anajua kila kitu ktk tasnia kwann asisimaie haki? Anakaa kutazama tyuuh.

Zama akili aliyonayo kushusha magazeti na kujifanya mjuajii, mfyuuuuh.

Alipe deni LA watu, khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…