Zangira ni nani na katumwa na nani kuwashughulikia akina Lema huko ughaibuni?

Zangira ni nani na katumwa na nani kuwashughulikia akina Lema huko ughaibuni?

Dai katiba,hizi sheria zibadilishwe

Katiba kwangu haijawa kipaumbele maana hata hii hii tu inavunjwa kila siku....yapo yanayoweza kubadirishika bila hata hiyo katiba mpya tusiwe oyaoya....kama tuliokuwa nayo haijawahi kusimamiwa tunawezaje kuiita mbovu..?
 
Ata TL aliporipoti kufuatiliwa na wasiojulikana wakiwa kwenye gari ilisemwa ni kiki.

Lisemwalo lipo,huyu muuaji afuatiliwe na serikali za magharibi na ikibidi wamrudishe akiwa kwenye 'casket' ili waliomtupa wakazike uchafu wao
Mawazo mgando hayo
 
Huu ni uchonganishi na uzushi. Serikali ya awamu ya 6 iko busy kuboresha maisha ya watanzania kwa kuimarisha miundombinu ya afya, elimu, maji, usafiri, kilimo, uwekezaji nk
 
Kuna taarifa zimenistusha sana,zinarushwa kwa mtindo wa onyo hasa kwenye mtandao wa heshima...Twitter kuwa kuna mtu anaitwa Zangira ambae katumwa kuwashughulikia kimafia akina Lema na wenzake uko ughaibuni walipokimbilia kunusuru kesho yao.

Huyu mtu ni nani hasa na katumwa na nani?

Je 'muuaji' Zangira atafanikiwa au ameshashindwa kabla baada ya taarifa zake kujulikana?

Intelijensia ya magharibi itakubali uchafu ufanyike kwenye ardhi yao?

Je kuna wasiokubaliana na namna mambo yanavyoendeshwa na wameamua kuwa wavujishaji siri?

My take:
Kama yasemwayo ni kweli basi tumefika mahali pabaya sana na mh.Rais inabidi asimame imara sasa kusafisha uchafu huu unaofanywa na wachache na wasiojulikana vizuri bado. Kama ni kweli,Zangira adhibitiwe uko uko ili liwe fundisho kwa akina Zangira wengine.
Warafute namna.Get rid of the modafantasia as quickly as possible!
 
Kwa vyovyote vile kila mtu anapaswa kua makini.hizi nchi zakiafrika zina ujinga mwingi wa asili.Chuki,woga,fitina,wivu,hatupendi ukweli wala kukosoana na maujinga mengine mengi kama hayo kwahiyo tahadhari ni muhimu.Tuliona mambo mengi ya ovyo kwenye hii nchi,Bilionea kutekwa hadi leo ata uchunguzi hatujui ulikoishia,lissu kupigwa risasi,roma kutekwa,waandishi wa habari kuingia matatani,Ata mtandao wa Jamii Forum ulikua matatani kwa kiongozi wake kua na kesi mahakamani.Kwahiyo itoshe tu kusema kwa Afrika lolote linawezekana maana tunawaza kuumizana,kukomoana na ujinga zaidi kuliko maendeleo.
 
Sinema hizi, unafikiri unaweza kuua kirahisi mkimbizi wa kisiasa Canada na Belgium?...

Impact ya Lema na TL kwa nchi ni ipi kiasi cha nchi kuharibu image yake?.... kuna wakati zinatafutwa attention tu...

Waripoti hizo taarifa kwa mamlaka za nchi walizopo halafu uone moto wake...ukiona wameishia twitani tu ujue ni zile zile sinema tu..
Aya mawazo unayo wewe ila wengine hawawezi kuwaza kama wewe.kwahiyo wacha wahusika wachukue tahadhari.kwasababu likitokea lakutokea hutasaidia chochote zaidi yakusema walikufa kizembe na R.I.P.
 
Kagame hajawahi na wala hata subutu kuua Mtu kwenye Nchi ya Mzungu,madhara yake anayajua.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ninajua ni kwamba assassination haifanyiki kishamba km ya uku kwa kumiminia mtu risasi..

Uko wanawaua kikemia kwa kutrace mienendo yao kisha kuwapandikizia sumu ya muda mrefu na mfupi...let's be on alert nway
 
huko CDM bila shaka kuna wanasheria wasomi, kwahiyo tutasubiri CDM ishike dola ndio Makonda aburuzwe mahakamani? au tunasubiri huruma za watawala ndio tupate haki? hao wanasheria wetu hawana cha kufanya ili bwana Makonda aburuzwe kortini?


Mkuu naona unajivua nguo.

Mtu akiuawa hata hapo mtaani kwenu au kupigwa RISASI jukumu la serikali ni kuhakikisha Mhalifu anachukuliwa hatua.
Sio lazima uende kushtaki. Kazi moja wapo ya serikali ni kulinda Raia,

Uwe unajiongeza,
 
Mkuu naona unajivua nguo.

Mtu akiuawa hata hapo mtaani kwenu au kupigwa RISASI jukumu la serikali ni kuhakikisha Mhalifu anachukuliwa hatua.
Sio lazima uende kushtaki. Kazi moja wapo ya serikali ni kulinda Raia,

Uwe unajiongeza,

Serikali imeshindwa kulinda raia wake sasa, wewe unachukua hatua gani kuhakikisha haki ya ndugu yako inapatikana? hapa ndipo poiny yangu ilipo... Au unakaa unasubiri huruma ya huyohuyo aliyeshindwa kukulinda?
 
Serikali imeshindwa kulinda raia wake sasa, wewe unachukua hatua gani kuhakikisha haki ya ndugu yako inapatikana? hapa ndipo poiny yangu ilipo... Au unakaa unasubiri huruma ya huyohuyo aliyeshindwa kukulinda?


Unajua maana ya serikali lakini?

Serikali ikishindwa kujenga Flyover au Hospital kubwa wewe utachukua jukumu gani?

Serikali kazi zake ni zile kubwa kubwa ambazo zinaikabili jamii,

Assume Mkeo kauawa na watu wasiojulikana, tukio hilo likafahamika na vyombo vya Dola, alafu uchunguzi haufanyiki, hakuna kinachoendelea, wewe utafanyaje? Utafikiria nini?

Au unataka kusema wachukue sheria mkononi?

Au wafanye uchunguzi Jambo ambalo ni KAZI YA serikali kupitia vyombo vyake.

Au unamaanisha wapambane na serikali? Ambayo kimsingi ndio yenye wajibu wa kufuatilia Jambo Hilo?
 
Kwa fikra za haraka kabisa tuseme tena labda, Lisu ndo angeweza kufuatiliwa kijasusi hadi nje.
Lakini hawa wengine jamani, hapana, hawana madhara ya nguvu kubwa kiasi hicho kutumika kuwafuata hadi nje, lakini kama wakiamua na Zangira kama yupo basi tayari atakuwa kamaliza mchezo, anachofanya sasa yeye ni kuhesabu tu siku za matokeo.
Lema alikuwa na madhara gani hadi aseme na yeye ni mkimbizi wa kisiasa, ok sawa, Lema alikuwa na ushawishi kuliko Kabwe na Mbowe, basi, maana siyo kwa kisiasa hizi.
Unatetea kitu gani ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Wazungu wanapokupokea kama mkimbizi wa kisiasa huwa wanapima pia impact yako kwao incase wakitaka kukutumia, ushawishi wako huko utokako na how smart you are...

wakishakupima na kugundua wewe ni potential kwa siasa zao ndani ya nchi utokako basi hukupa backup na kuweka pressure huko utokako, wakigundua huna msaada wanakuacha tu uishi na kukupa kila unachotakiwa kupata kama mkimbizi..

TL wazungu walitaka kumtumia kumpa pressure JPM baada ya yeye JPM kuwa mgumu kwenye baadhi ya mambo ambao wao weupe wanabenefit huku....wakagundua TL hayuko smart kwa wao kutimiza mission zao zaidi ya wao kutafuta suluhu na CCM kupitia walio ndani ya CCM na sytem...mwisho wake wamemuacha TL kama mkimbizi tu na harakati zake mwenyewe.. ..huo ndip ukweli..
Unaandika uongo jf kwa kudhani utamdanganya bwege gani ?

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Nani walimpiga risasi TL..


Unamuuliza kwani yeye ndiye mwenye jukumu la kumlinda Tundu Lisu?

Unaniuliza kwani yeye ndiye mwenye jukumu la kufanya upelelezi na uchunguzi?

Mkuu embu jaribu kutumia Akili yako vizuri.

Unauliza maswali Kama mtoto bhana
 
Unajua maana ya serikali lakini?

Serikali ikishindwa kujenga Flyover au Hospital kubwa wewe utachukua jukumu gani?

Serikali kazi zake ni zile kubwa kubwa ambazo zinaikabili jamii,

Assume Mkeo kauawa na watu wasiojulikana, tukio hilo likafahamika na vyombo vya Dola, alafu uchunguzi haufanyiki, hakuna kinachoendelea, wewe utafanyaje? Utafikiria nini?

Au unataka kusema wachukue sheria mkononi?

Au wafanye uchunguzi Jambo ambalo ni KAZI YA serikali kupitia vyombo vyake.

Au unamaanisha wapambane na serikali? Ambayo kimsingi ndio yenye wajibu wa kufuatilia Jambo Hilo?

Ok, kumbuka pia tunayemzungumzia sio mtu binafsi bali kiongozi wachama, chama ambacho ni taasisi yenye wings tofauti tofauti, wing ya masuala ya usalama na wing ya mambo ya nje...Hizo wings zimechukua hatua gani kuishinikiza Serikali?.... juu ya haki ya mhusika?..
 
Back
Top Bottom