Uchaguzi 2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

Hakuna sehemu kwenye katiba polisi aliporuhusiwa kumdhuru mwananchi kwa silaha ya moto ikiwa mwananchi huyo hana silaha ya moto.

Kama wakiwapiga risasi na wananchi hawana risasi wana la kujibu ,kama ni mawe kuna njia nyingi tu za kuwatawanyisha .
 
Waathirika wa vikwazo ni sisi wananchi na sio watawala,waadhibiwe watawala ikiwezekana physical na sio sisi wanan

ukitaka kujua ni usanii mtupu na hakuna namna ya kudeal na viongozi ambao nchi zinaingia machafukoni,rejea ya ruto wa kenya na ICC yake.saa hizi ni makamu wa rais na anatarajia kuwa rais ajaye wa kenya.
 
Kuna Message CCM wameipata kupitia huu uchaguzi ila kama ilivyokawaida mtu kuupokea ukweli na kukiri ni ngumu baadhi ya wakongwe wa chama wameamua kukaa kimya tu ila kuna ujumbe umeonekana tayari
 
Hakuna sehemu kwenye katiba polisi alipiruhusiwa kumdhuru mwananchi kwa silaha ya moto ikiwa mwananchi huyo hana silaha ya moto.

Kama wakaiwapiga risasi na wanachi hawana risasi wana la kujibu ,kama ni mawe kuna njia nyingi tu za kuwatawanyisha .

wewe unayajua mawe sawa sawa mkuu!!!

ukitaka dunia nzima ikutetee ingia barabarani match bila hata mwamvuli huku unaimba,halafu upigwe risasi.hapo kitanuka sio poa.
 
Simple sana ukiwa nyuma ya keyboard , cha msingi watu wapewe wanachokitaka si kuleta figisu daily, we unadhani malawi walichofanya juzi tu hapa inashindikana?
 

Tatizo ndio hapo mie na wewe tunapishana..

Unakubali huwezi kuwaridhisha wote.. lakini hapo hapo unajitoa wewe katika kundi la wasioridhika na kutengeneza kundi jipya la watanzania wote milioni sitini wasioridhika.

Yaliyofanyika kuna watu wasio watawala wameridhika na wanaendelea kunufaika nayo. Kuhamia Dodoma ni matokeo ya watanzania wenyewe miaka ya ya sabini yeye anatekeleza tuu..

Ndege hazijaajiri wabunge na wanaopanda sio mawaziri tuu.. na barabara wanendelea kuzitumia mimi na wewe na wengine.. uwanja wa Chato sioni kwann umeleta taharuki sana... I swear.

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
We unaota na wakati kumesha pambazuka ?
 
Mkapa hakwenda the Hague kwa sababu hakukuwa na Watanzania waliomshikia bango aende huko.

Sasa hivi watashikiwa bango ndani na nje ya nchi mpaka watafikishwa huko!. Waambie waue watu kisha waje waone!
 
Hii ndiyo maana ya uzalendo wa kweli .
 
Kwa hiyo mkuu we unafurahia kutokuwepo haki
 
Mkapa hakwenda the Hague kwa sababu hakukuwa na Watanzania waliomshikia bango aende huko.

Sasa hivi watashikiwa bango ndani na nje ya nchi mpaka watafikishwa huko!. Waambie waue watu kisha waje waone!

eh haaya[emoji16][emoji16].

kaandamane maana the hague ipo kwa ajiri yako.
 
kwa ufupi tu muelewe ,autatokea fujo la kiuhakika,weka mbali alishababu,sisi wenyewe kwa wenyewe ,watakaopata tabu na shida ni wanachama wa CCM wanaojifanya wanagemea na kubebwa na polisi.

Hawa hawakai kambini wamo humuhumu na wanajulikana kwa idadi na hao polisi ndugu na jamaa zao hawaishi kambini wamo humuhumu mitaani na wanajulikana,iwe ndugu zake wapo mtwara yeye yupo mwanza wananchi wanawaelewa.
CCM wanaosheherekea sapoti ya polisi wajitathmni.
 
Askari siku zote ndo chanzo cha vurugu tendeni haki na sio kuumiza watu kwa maslai ya wasiowaongeza mishahara Wala kujali maslai yenu
Jukumu letu kubwa ni kutenda yale ambayo sheria inatutaka kutenda.

Pia, Kudeal na raia wanaofanya mambo ambayo sheria haiwaruhusu kufanya hayo tu.

Hii kusema, Raia usijaribu kuvuka mipaka ya haki yako. Ni bora Ukadai haki yako kwa lawful means kuliko unlwaful means ambako lazima ukutane na Law enforcers
 
Mkishagawana fito msije mkadhani kuna mjomba wa kuwasitiri.
 
Look yaani wameshindwa kuondoka hata na mtupa Mawe mmoja tu wakamwonyeshe cha mtema kuni? Hapo ilitakiwa waondoke na sampuli moja tu..
Mkuu haya maneno yako yanaonesha kwamba wewe ni Intarahamwe.Mtu mwovu. Shetani Mbaya sana wewe.Wale askari wametumi busara na uumilivu mkubwa sana. Wameondoka eneo la tukio baada ya kuona kwamba wataweza kujikuta wanamwaga damu sababu ya mihemuko.Ni heshima sana kwa Jeshi La POLISI kuwa na weledi wa kujua ni wakati gani kutumia nguvu na wakti gani kutumia hekima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…