Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Umechelewa.....uchaguzi wa. Mwaka huu ni wa Kuhistoria sanaaLook yaani wameshindwa kuondoka hata na mtupa Mawe mmoja tu wakamwonyeshe cha mtema kuni? Hapo ilitakiwa waondoe na sampuli moja tu...
Unajidai una hasira kumbe jinga tu lazima mkubali upinzani upo na una nguvu nyie jipangeni na hao polisi muone kama watawafikisha popote, dhuruma mwisho wake ni aibu na hanguko.gaidi wewe safari HII jiandae kuozea ndani ukaungane na wale magaidi mashehe
Sasa hiyo ggogle kwanini waneshindwa kuitumia kuwa baini warusha mawe...mitaa huhitaji kuijua siku hizi teknolojia ipo google map tu inakuonyesha kila kitu
Kwataarifa yako hao polisi ni nothing out of uniform...uniform zinawabeba Sanaa......Usitake wauawe kama kuku
Unajidai una hasira kumbe jinga tu lazima mkubali upinzani upo na una nguvu nyie jipangeni na hao polisi muone kama watawafikisha popote, dhuruma mwisho wake ni aibu na hanguko
Mulikuwa mnasifu mmefanya mengi asaiv mmeanza vitisho na lawama, lazima tuwatoe madarakani safari hii ccm ni upinzani watarajiwa.
Polisi ongezeni askari wasio na uniform mitaani hapo mbona ilikuwa rahisi tu kuwadaka hao watupa mawe sio lazima wadakwe wote mnakamata wachache tu katika wengi wanaotupa mawe halafu mnawabana korodani na koleo had I wakumbuke bibi zao waliofariki...
Magufuli, kwa uwezo mdogo wa kiutawala aliouonyesha mpaka sasa, na kutotumia busara/hekima/demokrasia nk.bali kupenda ubabe/chuki na visasi, huenda akaingia katika historia ya kuwa rais atakayeiingiza nchi hii kwenye civil war.
....... Wao wanahangaika na raia wasio na silaha Zanzibar. Huku ni kufeli kwa dola.
Ati civil war, you guys are so dumb, mnashindwa vizuri na hakuna cha civil war wala nini, si ni kesho kutwa tu. TutaonaWakishafungua kila kitu kitawekwa wazi na huo inawezekana ikawa ndio mwanzo wa CIVIL WAR .... Hata kwa Gadaffi yalianzia kama hivyo lakini mwisho hata Jeshi lilishindwa
Hamna namba nyinyi, nguvu ya uma as if you have a large support, si kesho kutwa tu, tutaonaMkuu hakuna jeshi linaloweza kuishinda nguvu ya UMMA , halijawahi kutokea mahali popote pale duniani. Raia wakisema sasa basi si risasi mabomu na maji ya pilipili yatakayozuia dhumuni lao la kupambana na uonevu.
Narudia tena uchaguzi was mwaka huu ni wakihistoria....hamtaaminiaskari anayefanya kazi nje ya uniform anafanya kazi yenye matokea makubwa kuliko unavyowaza.
kama huamini tukutane tareh 29 hapa.wasichofahamu wapemba wanaandamana na mamruki kibao humo,na ndio wanapambiza vurugu.wacha waendelee kujiachia.
Narudia tena uchaguzi was mwaka huu ni wakihistoria....hamtaamini
Demo ya kesho kutwaKuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Hamna namba nyinyi, nguvu ya uma as if you have a large support, si kesho kutwa tu, tutaona
Sawa..waache waendelee kutumia silaha zao duni za stone age.
Leo na kesho, Askari wa usalama wakianza kutumia chuma, serikali inaanza kuonekana ina matatizo na wananchi wake.
Wananchi Msijaribu kucheza na vyombo vya usalama na askari wake pasipo na sababu ya msingi.Tutawaumiza.
Wazanzibari - kofia kwenu. Shikilia hapo hapo. Bado kitambo tu, kutapambazuka. Mbarikiwe sana kwa ujasiri wenu. Na hawa waoga wa Bara watajifunza kitu toka kwenu.
Nashauri patokee Vita basi. Sioni dalili ya kuheshimiana nje ya vita
gaidi wewe safari HII jiandae kuozea ndani ukaungane na wale magaidi mashehe
Mrusha mawe ukidakwa unashambulia vyombo vya ulinzi na usalama hiyo ni kesi ya ugaidi utaozea ndani shauri yako
JWTZ ni jeshi la wananchi mwananchi mkorofi hawezi kulishinda
Hayo unayoyasema ni sawa na kumwaga petrol kwenye moto. Kumbuka wanccm wako mitaani wanajulikana na wao ndiyo walengwa wakuu.Polisi ongezeni askari wasio na uniform mitaani hapo mbona ilikuwa rahisi tu kuwadaka hao watupa mawe sio lazima wadakwe wote mnakamata wachache tu katika wengi wanaotupa mawe halafu mnawabana korodani na koleo had I wakumbuke bibi zao waliofariki...
Hadi Wamama hawataki ujinga.Wananipa furaha kubwa sana Wazanzibar. Hakuna cha Jecha babaake Jecha au polisiccm.
Mkuu Askari nao ni Binadamu kama sisi. Nao wamechoshwa na amri za kijinga toka kwa wanasiasa uchwara wa CCM.Look yaani wameshindwa kuondoka hata na mtupa Mawe mmoja tu wakamwonyeshe cha mtema kuni? Hapo ilitakiwa waondoe na sampuli moja tu...
Watu watunze kumbukumbu,wakifungulia tu mitandao baada ya uchaguzi,vielelezo vinawekwa hadharani.Kuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.