Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea kuota labda umebarehe juzi.Wazanzibari wameongea kwa sauti, na wamesikika. Haki yao kupitia sanduku la kura ni iheshimike. Wazee wote wa kupindua meza wametangulia mbele za haki. Waliiobakia wakileta janja janja, watalitumbukiza taifa ktk mgogoro mkubwa sana.
Basi mmoja awe waziri mkuuRais akitoka bara mgombea mwenza lazima atoke Zanzibar kwa mujibu wa katiba!
UsitufokeeHa ha ha.. unatisha watu mkuu
Na hiyo ni Unguja ambako fisiemu hujigamba ili kuwatenganisha wazanzibari!!Wazanzibari wameongea kwa sauti, na wamesikika. Haki yao kupitia sanduku la kura ni iheshimike. Wazee wote wa kupindua meza wametangulia mbele za haki. Waliiobakia wakileta janja janja, watalitumbukiza taifa ktk mgogoro mkubwa sana.
Kwani mlishindaje 2015 na 2010? Jeshi lilimteka Jecha mchana kweupe mwaka 2015. Sijui mwaka huu mnakuja na mbinu gani. Nadhani hii ya polisi, walimu, magereza na wafanyakazi wa Tume kupiga kura siku moja kabla ya wengine itawatoaKwakweli maalim ni kisiki Znz.Huu ni ukweli ulio wazi.HUSEIN MWINYI hamuwezi Maalim.Kwa Znz tukae mkao wa kuliwa mwaka huu.Siioni namna ya kushinda.
kwa niaba ya Maalim Seif naitikia Marhabaa LIMBOMAMBOMAShikamoo maalim seif
Mataga washenz sanaWameedit
Sasa zitto na membe ndio watamzuia asiuze ushindi ?I said it before. Maalim amekuwa akihongwa na kuuza ushindi, mzee Nassoro Moyo amewahi kuliweka wazi hilo. Kwa timu aliyonayo Maalim mwaka huu hana tena nafasi ya kufanya ujinga ule. ACT kwa upande wa Zenji wakae mkao wa kula.
Walimu wana nini special hadi wapige kura a day before ?Kwani mlishindaje 2015 na 2010? Jeshi lilimteka Jecha mchana kweupe mwaka 2015. Sijui mwaka huu mnakuja na mbibu gani. Nadhani hii ya polisi, walimu, magereza na wafanyakazi wa Tume kupiga kura siku moja kabla ya wengine itawatoa
Hizo ndoto zitawapa headache.Na maalim akishinda Zenji ndio mwishowa CCM Bara. Na ndio mwanzo wa Zanzibar kuendelea na wananchi wake kuwa na maisha mazuri
2015 watanzania walipindua meza kote bara na visiwani lakini yaliyotokea sote tunajua.Kwakweli maalim ni kisiki Znz.Huu ni ukweli ulio wazi.HUSEIN MWINYI hamuwezi Maalim.Kwa Znz tukae mkao wa kuliwa mwaka huu.Siioni namna ya kushinda.
Angalau ka kideo ka mafuriko kangenogesha uziKwakweli maalim ni kisiki Znz.Huu ni ukweli ulio wazi.HUSEIN MWINYI hamuwezi Maalim.Kwa Znz tukae mkao wa kuliwa mwaka huu.Siioni namna ya kushinda.
Elites never betray.Sasa zitto na membe ndio watamzuia asiuze ushindi ?
Time will tellElites never betray.
Unatumia kinywaji gani mtani?Wezi wa rasilimali za nchi. Kupe wa Tanzania nyie. Mnaweledi wa kuganda kwa Watanzania. Mchwa wenye meno ya chuma nyie. Mwisho wenu unakuja. And no Mercy.
Maalim all the wayKwakweli maalim ni kisiki Znz.Huu ni ukweli ulio wazi.HUSEIN MWINYI hamuwezi Maalim.Kwa Znz tukae mkao wa kuliwa mwaka huu.Siioni namna ya kushinda.