Mkuu zanzibar kuna jumla ya kura 580,000,Itabidi Tundu Lisu ampishe Membe awe mgombea urais wa upinzani!
Chukulia Membe na ACT yake anapata walau nusu ya izo yaani 290,000 hizo ni sawa na kura za jimbo la segerea tu kwa Lissu.
Ivyo utaona kura za zanzibar ni muhimu lakini hazina impact sana kwenye majumuisho ya kura zote Ki INCHI