Zanzibar 2020 Zanzibar: Hali ilivyo mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia ACT- Wazalendo, Maalim Seif na Bernard Membe. Ni Mafuriko

Zanzibar 2020 Zanzibar: Hali ilivyo mapokezi ya Mgombea Urais Kupitia ACT- Wazalendo, Maalim Seif na Bernard Membe. Ni Mafuriko

Ivi jaman kwa mgawanyiko huu kweli tutaiweza ccm kweli??
Wapinzani huwa mnatuangusha sana wananchi au mna ajenda ya makusudi kubuy time ccm akiendelea kutawala?

Bila kuungana nawahakikishia hamtaing'oa ccm, mnatupotezea mda wapiga kula.
tena ni afadhali wkt ule tukiwa na ukawa ulituunganisha na ccm kama alikufa japo tume NEC iliwanusuru lkn kwa hali hii ya sasa mnajua mnapoteza mda tu ccm hamtaiweza.

KUMBUKENI,
UMOJA NI NGUVU UTENGANO NI UDHAIFI.

KIDOLE KIMOJA HAKIVUNJI CHAWA.

NDG WAKIGOMBANA CHUKUA JEMBE UKALIME WAKIPATANA CHUKUA KAPU KAVINE, MAANAKE NI HERI TUSHUGULIKE NA MAMBO YETU NYIE NI WASANII TU.

AHYA MTATWAMBIA..
Hapo ni zanzibar mkuu usiwaze
 
Shamba la migomba hilo.
JamiiForums397209842.jpg
 
lakini tuliwaambia apa chama kikuu saaahv kinatokea ACT ama NCCR wakasema lissu ameangaliwa na mabilion ya watu dunia nzima, madhara yake kaenda kuchukua form hakuna mtu ana ham nae. kabaki kupungia miti
Hivi kweli chadema ikikosa wabunge, hali yao itakua salama kweli?.
Chadema waliweka nguvu nyingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha act wazalendo inawahitaji sana cdm. Lakini mimi ninavyoona huko mbeleni chadema ndio itawahitaji sana act wazalendo, vinginevyo chama kinaenda kufa.
 
Hivi ndivyo hali ilivyo kwasasa huko Zanzibar, wananchi walio jitokeza kwenye mapokezi ya viongozi wa ACT wazalendo visiwani humo.
MAALIM SEIF mgombea urais Zanzibar na BERNARD MEMBE mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania wanao wasili leo visiwani Zanzibar.

Picha hizi ni kutoka bandarini ambapo wazanzibar wamejitokeza kwaajili ya mapokezi ya viongozi hao.

Swali: Je, nini kipo nyuma ya kiu kubwa ya madaraka aliyo nayo MAALIM SEIF? Kugombea zaidi ya Mara tano bila mafanikio si sababu sahihi ya kuwaachia wengine?

Wewe mbona hujawaachia wengine kuleta hii habari?
 
Cdm mumeona mapokezi ya membe na Maalim huko Zanzibar?? Ni hatari sana. Lissu kapata vipokezi kidogo sana akavimba kichwa kua ataingiza watu barabarani. Lissu angepata mapokezi kamaya membe huko zanzibar, ile kauli yake ya ataingiza watu barabarani, ingetulaza na viatu. Lakini tumeona ni porojo.
yale mapokezi siyo ya Membe wewe ni MAALIM SEIF, yote kwa yote Lisu ni habari ya mujini hadi jikoni
 
Siasa ina mambo mengi mkuu. Tatizo cdm imepoteza ushawishi. Ile piiiiiipooosssssss pawaaaaa imepoteza radha miaka ya hivi karibuni.
Huko unaposikia chama cha upinzani kinaongoza kura za urais , sio kazi ndogo mkuu. Chama tawala huwezi kukitoa kwa kuwekeza kwenye mitandao pekee.

Imepoteza ushawishi au rais aliye madarakani ana nongwa na chuki ya wazi dhidi ya cdm? Hivyo anatumia madaraka yake vibaya, kuwahujumu na kuwanyima haki ya kufanya siasa kwa faida ya chama chake. Nani kakuambia upinzani umewekeza mitandaoni, huku mitandaoni kwa ajili ya udictator wa rais, ndio sehemu pekee ya watu kuonyesha hisia zao bila kutekwa, kuuwawa au kuhujumiwa shughuli zao.
 
Ukitaka kuwa rais wa JMT hata usipopata kura moja ya Zanzibar, unakuwa rais bila shida yoyote. Wapiga kura wote wa Zanzibar hawazidi laki 6, huku wapiga kura nchi nzima kama ni kweli kwa mujibu wa tume isiyo huru ya uchaguzi ni 29m+. Lisu hata akipata asilimia 2 acha hiyo 20, hizo zitakuwa ni za halali, kuliko asilimia za ccm za maagizo ya rais.
Sawa!

Vipi utapiga kura?
 
Sawa!

Vipi utapiga kura?

Ndio, chini ya tume hii isiyo huru ya uchaguzi. Na sababu hasa ya kupiga kura ni uwepo wa Tundu Lisu ambaye hana lugha za Kuremba. Sio lile zee za ccm eti anamuachia Mungu. Safari hii tunapiga kura tukiweka wazi kabisa kuwa tume ya uchaguzi sio huru, na iko kuibeba ccm.
 
Akili za Zitto za ajabu sana. Yeye hagombei , badala amuache Membe awe pembeni ya Maalim ili wasiomjua huko ZNZ wajue, wampe kura za uraisi, Zitto anajiweka yeye fonti peji.

ACT wanategemea hizo kura kwenye mgawanyo wa ruzuku baada ya uchaguzi kama wasipokuwa chama kikuu bungeni.
 
Ndio, chini ya tume hii isiyo huru ya uchaguzi. Na sababu hasa ya kupiga kura ni uwepo wa Tundu Lisu ambaye hana lugha za Kuremba. Sio lile zee za ccm eti anamuachia Mungu. Safari hii tunapiga kura tukiweka wazi kabisa kuwa tume ya uchaguzi sio huru, na iko kuibeba ccm.
Kwahiyo Lisu atasababisha mtangazwe washindi?
 
Hivi kweli chadema ikikosa wabunge, hali yao itakua salama kweli?.
Chadema waliweka nguvu nyingi sana hapa jukwaani ili kuonyesha act wazalendo inawahitaji sana cdm. Lakini mimi ninavyoona huko mbeleni chadema ndio itawahitaji sana act wazalendo, vinginevyo chama kinaenda kufa.

tumewapa ushauri sana apa forum lakini wao si wanajikuta wanajua zaidi ya wananchi, juzi juzi mbowe alienda jimboni kwake kwa mara ya kwanza tangia wakoloni waondoke unafanya mkutano ambao wote hwakutaki ndo ilikua sku hio, ni kushukuru tu polisi walikuepo ila angekiona cha mtema kuni

1596969893666.png

ona sasa wamebaki wanajishangilia wenyewe
 
Back
Top Bottom