Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Vp babu zako ndio walikua watumwa na vijakazi wa waarabu kutokea ujiji???Tumekuja kupinduwa sio watumwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp babu zako ndio walikua watumwa na vijakazi wa waarabu kutokea ujiji???Tumekuja kupinduwa sio watumwa
Wakulungwa ni wabantu wanajitambua na hawajachukua tamaduni za kigeni.Wakulungwa mana yake nini?
Huu ni uchokozi wa kijinga mpk wamejimikilisha na Ikulu wana ofisi yao, swali ofisi ya Rais Ikulu ya Zanzibar inatafuta nini bara?Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?
Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,
Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?
Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?
Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?
Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?
Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
Tangu lini umewahi kusikia Tanzania inamiliki ardhi Kenya? Nyie si mnasema ni Nchi? Hayo mambo ya utawala wa Sultan hayatuhusu hukuWatanganyika msichokijua kuhusu ZANZIBAR ni kwamba mwambao wenu wote ulikua chini ya mamlaka ya ZANZIBAR pamoja na pwani ya Mombasa ZANZIBAR kilikua Dola KUBWA kwati nyinyi mkiishi misituni
Kuhusu Ardhi inayodaiwa kumilikiwa na ZANZIBAR ni Ardhi iliyonunuliwa na Serikali yetu TOKA enzi za Aboud Jumbe Mwinyi na mpaka SASA ZANZIBAR ndio mmiliki WA Ardhi hiyoo
Nani mbara anamiliki ardhi Zanzibar? acheni ujinga hatuwataki huku ondokeni harakaMbona watu mna kuwa na mihemko isiyokuwa na maana..? Sikia haya: Ubalozi wa Vatican umeonya watu wanao vamia kiwanja chao Dodoma: Kanisa Katoliki limemega eka 10 na kujenga nyumba kutoka kwenye shamba lao lenye eka elfu sita!
Bakwata imekwenda mahakamani kudai shamba lake huko Moshi: mwekezaji amepewa ekari 6000 apande ufuta! Bakharesa amemilikishwa ekari nyingi aanzishe kilimo cha miwa Bagamoyo (huko huko)! Sasa kwanini mnabagua serikali ya Mapinduzi?
Tuwafukuze waondoke na mama yaoTangu lini umewahi kusikia Tanzania inamiliki ardhi Kenya? Nyie si mnasema ni Nchi? Hayo mambo ya utawala wa Sultan hayatuhusu huku
Wajinga sana hawa watu wa Zenji na niwabaguzi sana,nimepita pita sana visiwani huko.....wanaroho mbaya mnoTuwafukuze waondoke na mama yao
Wazanzibar waondoke kwetu hatuwataki kabisa ni wajinga sn na wabaguziWajinga sana hawa watu wa Zenji na niwabaguzi sana,nimepita pita sana visiwani huko.....wanaroho mbaya mno
tangu zamani lakini huwa munadanganyana wenyewe humu na wengine munahemkwa bila ya uthibitisho😀😀😀Mtanzania bara anaruhusiwa kumiliki ardhi Zanzibar? Tangu lini
Wazanzibar waondoke kwetu hatuwataki kabisa ni wajinga sn na wabaguzi.....Wajinga sana hawa watu wa Zenji na niwabaguzi sana,nimepita pita sana visiwani huko.....wanaroho mbaya mno
Hatutaki...hamna chenu huku kwendeni zenu hukoWatanganyika msichokijua kuhusu ZANZIBAR ni kwamba mwambao wenu wote ulikua chini ya mamlaka ya ZANZIBAR pamoja na pwani ya Mombasa ZANZIBAR kilikua Dola KUBWA kwati nyinyi mkiishi misituni
Kuhusu Ardhi inayodaiwa kumilikiwa na ZANZIBAR ni Ardhi iliyonunuliwa na Serikali yetu TOKA enzi za Aboud Jumbe Mwinyi na mpaka SASA ZANZIBAR ndio mmiliki WA Ardhi hiyoo
Hakuna chakwa mujibu Wala historia Kwa mana Hata kabla ya kuja huyo sultan Bara ilikua na falme zake zakieneo Kwa mantiki iyo sultan w zanzbr ni mvamizi Kama walivyokua wavamizi wengine wa Kigermany na Kiingerez...Tangazo ni la umma kwa wote.
Ni kutokujua tuu, ni kweli Zanzibar ina eneo lililokuwa Ranchi ya Makurunge.
Limevamiwa na wenyeji na watu wameuziwa
Sio kazi ya serikali kusema maeneo ya watu, ni jukumu la mmiliki kusema eneo lake na likivamiwa ana wajibu wa kuripoti sehemu husika ili hatua zichukuliwe.
Iko poa tuu ni kama mtu yoyote kumiliki eneo popote. Huu ni umiliki tuu na eneo hilo ni mali ya Zanzibar, lakini sio sehemu ya Zanzibar. Ni eneo la JMT linalomilikiwa na SMZ.
Kwa mujibu wa historia, eneo lote la maili 10 ya Pwani yote ya Africa Mashariki lilikuwa milki ya Sultan of Zanzibar.
P
Hivi visiwa Mali ya mama yako njoo nae mvichukuwe wenyewe senge weeWe sh-oga kwani hujui hii Zanzibar walikaa Wareno miaka 400? Muomani miaka 150? Serikali ya nyie nyani wenye asili ya Congo mlioletwa na Tiptip na kutelekezwa kwa ubovu, japo hamuna shukran kwa Oscar Kambona aliewakomboa, miaka 50?
Sasa nani mwenye visiwani? Mreno
(Povu hadi maji toa tu)
162 Km toka usawa wa Bahari ni eneo Lao.
Nikipata muda ntawawekea na reference.
Wakati mwingine unakuwaga kama....nani kakuuliza mambo ya "kwa mujibu wa historia?" kwani kuna ugumu gani kusema linamilikiwa tu na SMZ na sio na Zanzibar na wala sio sehemu ya Zanzibar na Rais wa JMT anaweza badili matumizi yake wakati wowote atapoona inafaa kama ambavyo hufanya kwa viwanja vinavyomilikiwa na watu wengine!!?? issue ndogo mnafanya ionekane kuuubwaa...Tangazo ni la umma kwa wote.
Ni kutokujua tuu, ni kweli Zanzibar ina eneo lililokuwa Ranchi ya Makurunge.
Limevamiwa na wenyeji na watu wameuziwa
Sio kazi ya serikali kusema maeneo ya watu, ni jukumu la mmiliki kusema eneo lake na likivamiwa ana wajibu wa kuripoti sehemu husika ili hatua zichukuliwe.
Iko poa tuu ni kama mtu yoyote kumiliki eneo popote. Huu ni umiliki tuu na eneo hilo ni mali ya Zanzibar, lakini sio sehemu ya Zanzibar. Ni eneo la JMT linalomilikiwa na SMZ.
Kwa mujibu wa historia, eneo lote la maili 10 ya Pwani yote ya Africa Mashariki lilikuwa milki ya Sultan of Zanzibar.
P
Aliyechanganya mchanga peke yake siku ile kawaachia Balaa.mkuu Kwahiyo Posta, Kariokoo, Magomeni, Ilala, Kigamboni, Manzese zote ndani? kwahiyo hapa DSM patabaki wapi?
Visiwani ni mali ya nani? Jibu ukweli bila kubwabwaja kizenjiHivi visiwa Mali ya mama yako njoo nae mvichukuwe wenyewe senge wee