Zanzibar imemtangazia nani kwamba ina maeneo yake Bagamoyo?

Zanzibar imemtangazia nani kwamba ina maeneo yake Bagamoyo?

Ni mwananchi au pia serikali ya Tanganyika?

Tangu nimezaliwa sikuwahi kufahamu jambo hilo kwamba Zanzibar ina maeneo yake Bagamoyo huko Razaba,

Ni sababu zipi Zanzibar imeamua kulitangaza eneo lake leo?

Kumetokea nini? Na Je! Historia inasemaje?

Kwa nini serikali zetu hazikuwahi kuweka wazi mambo hayo tangu awali ili wananchi waelewe?

Kama ipo historia ya jambo hilo na kwamba Zanzibar inamiliki eneo nje ya kisiwa chake, hapo ikoje na ilikuwaje?

Kwa nini isiwe Bagamoyo yote kuwa ni sehemu ya Zanzibar
Huu ni uchokozi wa kijinga mpk wamejimikilisha na Ikulu wana ofisi yao, swali ofisi ya Rais Ikulu ya Zanzibar inatafuta nini bara?
 
Watanganyika msichokijua kuhusu ZANZIBAR ni kwamba mwambao wenu wote ulikua chini ya mamlaka ya ZANZIBAR pamoja na pwani ya Mombasa ZANZIBAR kilikua Dola KUBWA kwati nyinyi mkiishi misituni
Kuhusu Ardhi inayodaiwa kumilikiwa na ZANZIBAR ni Ardhi iliyonunuliwa na Serikali yetu TOKA enzi za Aboud Jumbe Mwinyi na mpaka SASA ZANZIBAR ndio mmiliki WA Ardhi hiyoo
Tangu lini umewahi kusikia Tanzania inamiliki ardhi Kenya? Nyie si mnasema ni Nchi? Hayo mambo ya utawala wa Sultan hayatuhusu huku
 
Mbona watu mna kuwa na mihemko isiyokuwa na maana..? Sikia haya: Ubalozi wa Vatican umeonya watu wanao vamia kiwanja chao Dodoma: Kanisa Katoliki limemega eka 10 na kujenga nyumba kutoka kwenye shamba lao lenye eka elfu sita!
Bakwata imekwenda mahakamani kudai shamba lake huko Moshi: mwekezaji amepewa ekari 6000 apande ufuta! Bakharesa amemilikishwa ekari nyingi aanzishe kilimo cha miwa Bagamoyo (huko huko)! Sasa kwanini mnabagua serikali ya Mapinduzi?
Nani mbara anamiliki ardhi Zanzibar? acheni ujinga hatuwataki huku ondokeni haraka
 
Watanganyika msichokijua kuhusu ZANZIBAR ni kwamba mwambao wenu wote ulikua chini ya mamlaka ya ZANZIBAR pamoja na pwani ya Mombasa ZANZIBAR kilikua Dola KUBWA kwati nyinyi mkiishi misituni
Kuhusu Ardhi inayodaiwa kumilikiwa na ZANZIBAR ni Ardhi iliyonunuliwa na Serikali yetu TOKA enzi za Aboud Jumbe Mwinyi na mpaka SASA ZANZIBAR ndio mmiliki WA Ardhi hiyoo
Hatutaki...hamna chenu huku kwendeni zenu huko
 
Tangazo ni la umma kwa wote.

Ni kutokujua tuu, ni kweli Zanzibar ina eneo lililokuwa Ranchi ya Makurunge.

Limevamiwa na wenyeji na watu wameuziwa

Sio kazi ya serikali kusema maeneo ya watu, ni jukumu la mmiliki kusema eneo lake na likivamiwa ana wajibu wa kuripoti sehemu husika ili hatua zichukuliwe.

Iko poa tuu ni kama mtu yoyote kumiliki eneo popote. Huu ni umiliki tuu na eneo hilo ni mali ya Zanzibar, lakini sio sehemu ya Zanzibar. Ni eneo la JMT linalomilikiwa na SMZ.

Kwa mujibu wa historia, eneo lote la maili 10 ya Pwani yote ya Africa Mashariki lilikuwa milki ya Sultan of Zanzibar.
P
Hakuna chakwa mujibu Wala historia Kwa mana Hata kabla ya kuja huyo sultan Bara ilikua na falme zake zakieneo Kwa mantiki iyo sultan w zanzbr ni mvamizi Kama walivyokua wavamizi wengine wa Kigermany na Kiingerez...
 
We sh-oga kwani hujui hii Zanzibar walikaa Wareno miaka 400? Muomani miaka 150? Serikali ya nyie nyani wenye asili ya Congo mlioletwa na Tiptip na kutelekezwa kwa ubovu, japo hamuna shukran kwa Oscar Kambona aliewakomboa, miaka 50?
Sasa nani mwenye visiwani? Mreno
(Povu hadi maji toa tu)
Hivi visiwa Mali ya mama yako njoo nae mvichukuwe wenyewe senge wee
 
Mmeshindwa kumiliki ardhi huku bara ambayo zimejaa Tele! Mnataka kumiliki ardhi Zanzibar ambayo nayo haiwatoshi wao! Kweli hiyo ni akili. Njoo Kisegese wilaya ya Mkuranga mkoa wa wani - ekari moja laki mbili! Utakataa ila unataka upate ardhi Zanzibar! kweli huo ujanja? Niambie ni Msukuma yupi au Mhaya yupi mwenye ardhi Kibosho Kilimanjaro! Hwajakutamkia kwamba hairuhusiwi, lakini haiwezekani - maana wakibosho ardhi haiwatoshi!
 
Tangazo ni la umma kwa wote.

Ni kutokujua tuu, ni kweli Zanzibar ina eneo lililokuwa Ranchi ya Makurunge.

Limevamiwa na wenyeji na watu wameuziwa

Sio kazi ya serikali kusema maeneo ya watu, ni jukumu la mmiliki kusema eneo lake na likivamiwa ana wajibu wa kuripoti sehemu husika ili hatua zichukuliwe.

Iko poa tuu ni kama mtu yoyote kumiliki eneo popote. Huu ni umiliki tuu na eneo hilo ni mali ya Zanzibar, lakini sio sehemu ya Zanzibar. Ni eneo la JMT linalomilikiwa na SMZ.

Kwa mujibu wa historia, eneo lote la maili 10 ya Pwani yote ya Africa Mashariki lilikuwa milki ya Sultan of Zanzibar.
P
Wakati mwingine unakuwaga kama....nani kakuuliza mambo ya "kwa mujibu wa historia?" kwani kuna ugumu gani kusema linamilikiwa tu na SMZ na sio na Zanzibar na wala sio sehemu ya Zanzibar na Rais wa JMT anaweza badili matumizi yake wakati wowote atapoona inafaa kama ambavyo hufanya kwa viwanja vinavyomilikiwa na watu wengine!!?? issue ndogo mnafanya ionekane kuuubwaa...
 
Hii inaonesha nyerere hakuwa tofauti na chief mangungo.yaani alitoa hongo ya ardhi kwa zanzibar ili tuungane ambapo muungano huu wa kipuuzi huwezi kuuona sehemu nyingie duniani isipokuwa tu ni tz ambapo ni nyumbani kwa viongozi wajinga
 
mkuu Kwahiyo Posta, Kariokoo, Magomeni, Ilala, Kigamboni, Manzese zote ndani? kwahiyo hapa DSM patabaki wapi?
Aliyechanganya mchanga peke yake siku ile kawaachia Balaa.
Jiulize kwann wanaukumbatia muungano wa kihuni kwa nguvu kiasi hiki.
 
Back
Top Bottom