Zanzibar imemtangazia nani kwamba ina maeneo yake Bagamoyo?

Huu ni uchokozi wa kijinga mpk wamejimikilisha na Ikulu wana ofisi yao, swali ofisi ya Rais Ikulu ya Zanzibar inatafuta nini bara?
 
Tangu lini umewahi kusikia Tanzania inamiliki ardhi Kenya? Nyie si mnasema ni Nchi? Hayo mambo ya utawala wa Sultan hayatuhusu huku
 
Nani mbara anamiliki ardhi Zanzibar? acheni ujinga hatuwataki huku ondokeni haraka
 
Hatutaki...hamna chenu huku kwendeni zenu huko
 
Hakuna chakwa mujibu Wala historia Kwa mana Hata kabla ya kuja huyo sultan Bara ilikua na falme zake zakieneo Kwa mantiki iyo sultan w zanzbr ni mvamizi Kama walivyokua wavamizi wengine wa Kigermany na Kiingerez...
 
Hivi visiwa Mali ya mama yako njoo nae mvichukuwe wenyewe senge wee
 
Mmeshindwa kumiliki ardhi huku bara ambayo zimejaa Tele! Mnataka kumiliki ardhi Zanzibar ambayo nayo haiwatoshi wao! Kweli hiyo ni akili. Njoo Kisegese wilaya ya Mkuranga mkoa wa wani - ekari moja laki mbili! Utakataa ila unataka upate ardhi Zanzibar! kweli huo ujanja? Niambie ni Msukuma yupi au Mhaya yupi mwenye ardhi Kibosho Kilimanjaro! Hwajakutamkia kwamba hairuhusiwi, lakini haiwezekani - maana wakibosho ardhi haiwatoshi!
 
162 Km toka usawa wa Bahari ni eneo Lao.
Nikipata muda ntawawekea na reference.

mkuu Kwahiyo Posta, Kariokoo, Magomeni, Ilala, Kigamboni, Manzese zote ndani? kwahiyo hapa DSM patabaki wapi?
 
Wakati mwingine unakuwaga kama....nani kakuuliza mambo ya "kwa mujibu wa historia?" kwani kuna ugumu gani kusema linamilikiwa tu na SMZ na sio na Zanzibar na wala sio sehemu ya Zanzibar na Rais wa JMT anaweza badili matumizi yake wakati wowote atapoona inafaa kama ambavyo hufanya kwa viwanja vinavyomilikiwa na watu wengine!!?? issue ndogo mnafanya ionekane kuuubwaa...
 
Hii inaonesha nyerere hakuwa tofauti na chief mangungo.yaani alitoa hongo ya ardhi kwa zanzibar ili tuungane ambapo muungano huu wa kipuuzi huwezi kuuona sehemu nyingie duniani isipokuwa tu ni tz ambapo ni nyumbani kwa viongozi wajinga
 
mkuu Kwahiyo Posta, Kariokoo, Magomeni, Ilala, Kigamboni, Manzese zote ndani? kwahiyo hapa DSM patabaki wapi?
Aliyechanganya mchanga peke yake siku ile kawaachia Balaa.
Jiulize kwann wanaukumbatia muungano wa kihuni kwa nguvu kiasi hiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…