Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
Hiyo ni tisa kumi ambayo ni kiboko yao ni plan b aliyonayo Lissu kama CCM watafanya mchezo wao wa miaka yote wa Jechaism , mwaka huu wanaenda kuchemka believe me , this is from reliable source .Nilikuwa nadhani kuwa Uchaguzi Mkuu huu ujao wa Oktoba 28, 2020 utakuwa mrahisi kwa Mgombea fulani na Chama fulani ila sasa naogopa mno.