Zanzibar 2020 Zanzibar: Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu (CHADEMA), afanya Mkutano Uwanja wa Kibandamaiti

Zanzibar 2020 Zanzibar: Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu (CHADEMA), afanya Mkutano Uwanja wa Kibandamaiti

Nilikuwa nadhani kuwa Uchaguzi Mkuu huu ujao wa Oktoba 28, 2020 utakuwa mrahisi kwa Mgombea fulani na Chama fulani ila sasa naogopa mno.
Hiyo ni tisa kumi ambayo ni kiboko yao ni plan b aliyonayo Lissu kama CCM watafanya mchezo wao wa miaka yote wa Jechaism , mwaka huu wanaenda kuchemka believe me , this is from reliable source .
 
Achaneni na kibandamaiti angalieni TV kinachoendelea uwanja wa kirumba mwanza mjini. Kura tu za mwanza mjini zinatosha kumuweka rais madarakani angalieni umati uliopo.
Hao watu mnaosomba na malori kutoka nyampande, kalemela na sehemu nyingine ndo mnajidanganya nao kwamba mlikuwa na nyomi
 
Hali ninayoiona ni upepo umebadilika gafla ni vizuri kujua ktk ushindani kuna mshindi na mshidwa. Kwa hiyo lolote laweza kutokea kwa muda husika
 
Magufuli ana kila dalili za kuchoka wakati kwanza hata wiki mbili hazijaisha. Sasa kama Lissu anaweza kuvuta watu kiasi hiki ZNZ basi itabidi CCM waje na plan B kuhakikisha kuwa jamaa anastahimili kampeni kipindi chote 2015 alijifanya anapiga push up. safari hii sidhani kama anahuo ubavu!! Walimdhihaki Lowasa .... sasa what goes around.
 
Magufuli ana kila dalili za kuchoka wakati kwanza hata wiki mbili hazijaisha. Sasa kama Lissu anaweza kuvuta watu kiasi hiki ZNZ basi itabidi CCM waje na plan B kuhakikisha kuwa jamaa anastahimili kampeni kipindi chote .... 2015 alijifanya anapiga push up .... safari hii sidhani kama anahuo ubavu!! Walimdhihaki Lowasa .... sasa what goes around ......!!
Mbali na diamond wamwongeze Lowasa na sumayi wawasaidie
 
Magufuli ana kila dalili za kuchoka wakati kwanza hata wiki mbili hazijaisha. Sasa kama Lissu anaweza kuvuta watu kiasi hiki ZNZ basi itabidi CCM waje na plan B kuhakikisha kuwa jamaa anastahimili kampeni kipindi chote .... 2015 alijifanya anapiga push up .... safari hii sidhani kama anahuo ubavu!! Walimdhihaki Lowasa .... sasa what goes around ......!!
Safari hii kabadilisha style anakula mahindi badala ya kupiga push ups
 
Wangeliungana na ACT pangefurika. Watu Zanzibar wanamsubiri Maalim Seif tu!
Act tuliaambiwa bara waungane na Chadema ili wagawane wabunge wakang'ang'ania mgombea wa kuazima toka ccm hao awauziki tangu lowsa alipotutenda,
 
Hahahaaa! Robert Amsterdam baba🤣🤣
Watanzania tumuombe atupe katiba na tume huru kwa umoja wetu tuishtaki serikali kupitia uwakili wake.Tumeona matunda yake kwa kweli ka Uhuru ka kusema angalau kidogo baada ya ujio wa Lissu.
 
Hao watu mnaosomba na malori kutoka nyampande, kalemela na sehemu nyingine ndo mnajidanganya nao kwamba mlikuwa na nyomi
zaidi ya mabasi 100 yamesomba watu kutoka mikoa ya jirani , haifahimiki gharama analipa nani ?
 
Mbona hii picha haiongelewi

1599501775620.png
 
Uchaguzi huu ulikuwa mwepesi sana kwa Yesu mtu, tatizo lugha za vitisho anazotumia wakati wa kampeni zinampunguzia credibility ajithamini kwa hilo ingawa bado nafasi ya yeye kuwa rais ni kubwa mno. Ila kwa Zanzibar kazi ipo kwa Hussein Mwinyi.
Sio mwinyi kama yeye binafsi, CCM haiuziki visiwani. Ina madudu mengi wala hayasemeki kwa post moja kama hii. Kiufupi CCM bila ya kuekwa na vyombo vya dola madarakani, hawauziki tena visiwani Zanzibar.

Kosa kubwa la CCM Zanzibar ni kujifanya vibaraka na kuacha kutumikia na kutetea maslahi ya watu wa Zanzibar. Thats like the bottom line, ukiacha jambo la msingi/basic huwezi salimika.

Farasi kashatoka bandani kwa maana wazanzibari washagundua kama muungano ulivyokuwa setup na CCM-Zanzibar ni kwa maslahi ya wachache tuu na familia zao. Wenyewe huwa na msemo pale Kisonge wanasema "CCM ndio inayoniweka mjini ...." kwa maana ya njaa na tumbo ndio shida.
 
Back
Top Bottom