Zanzibar 2020 Zanzibar: Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu (CHADEMA), afanya Mkutano Uwanja wa Kibandamaiti

Zanzibar 2020 Zanzibar: Mgombea Urais wa Tanzania, Tundu Lissu (CHADEMA), afanya Mkutano Uwanja wa Kibandamaiti

Lisu na kubenea ni marafiki wakubwa Lisu Ndie alimpa ushauri wa kusheria kubenea jinsi ya kumwekea pingamizi mgombea ubunge wa Chadema ubungo Boniphace Jacob
Pesa za laana mlizomlipa Kubenea zimemtoka puani
 
Wanahaha muda hata. Hata mambo ya mpira hawaruhusiwi kufatilia, nguvu na akili zote wameambiwa waelekeze kwenye kumnadi mgombea.
 
Tutegemee makubwa huko huyu ni level ya Juu kabisa
 
Achaneni na kibandamaiti angalieni TV kinachoendelea uwanja wa kirumba mwanza mjini .Kura tu za mwanza mjini zinatosha kumuweka raisi madarakani angalieni umati uliopo
Kumbe unakubaliana umati unaleta matokeo..sasa iweje wakiwa upinzani unahoji kama ni wapiga kura.
 
Nilikuwa nadhani kuwa Uchaguzi Mkuu huu ujao wa Oktoba 28, 2020 utakuwa mrahisi kwa Mgombea fulani na Chama fulani ila sasa naogopa mno.
Mkuu had the same idea down here but mambo kwa ground ni different
 
Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba Mh Tundu Lissu mgombea urais mwenye hoja nzito na asiyewatisha wananchi , leo atanadi sera zake Zanzibar kwenye viwanja vya Kibandamaiti.

Ikumbukwe kwamba hii Septemba 7 ndio kumbukumbu ya kushambuliwa kwake , ambapo watu waliotumwa na Shetani walimmiminia risasi zaidi ya 38 kwa lengo la kumuua ili kumridhisha shetani , hata hivyo Mungu alimfufua kutoka kwenye kifo baada ya shambulio hilo la kishamba kutoka kwa watu waoga walioshindwa hoja.

CHADEMA inakwenda kuwapa Uhuru wazanzibari kwa Katiba Mpya ya serikali 3, Niko zenji hap watu wanasubiri lissu kwa hamu sana.
 
Wanachofanya chadema uchaguzi huu
8b8772af65a848b2211cc750a1e7211b.jpg
 
Nilikuwa nadhani kuwa Uchaguzi Mkuu huu ujao wa Oktoba 28, 2020 utakuwa mrahisi kwa Mgombea fulani na Chama fulani ila sasa naogopa mno.
Mwaka huu ccm tunachukua madaraka tena asubuhi kabla jogoo hajawika.
 
Wangeliungana na ACT pangefurika. Watu Zanzibar wanamsubiri Maalim Seif tu!
Tatizo lenu mnakurupushwa hata siasa hamzijui zanzibar CDM haijamsimamisha mgombea urais kumpisha Maalim Seif hata leo kwenye mkutano anaweza kuwapo upo nyonyo stay tune mambo mazuri yanakuja mtaelewa tu
 
Hapo tayari nimemaliza Mkuu na nina uhakika wale wenye 'Akili' kubwa, wafuatiliaji wa 'Masuala' watakuwa 'wameshanielewa' yema sana tu Mkuu.
Hapo ndipo unapokosea Mkuu kila mtu Ana karama yake,Kuna wengine ni slow leaner,jinias huelewi hili?
Hebu funguka kwa hao wasio na akili kubwa Kama yako.
Kuwa na akili Ni pamoja na kujua udhaifu wa wengine.
Funguka jinias wetu.
 
Back
Top Bottom